Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

import technology, tengeneza bidhaa ziwafaidishe wananchi, zikiwa nyingi wauzie wazungu kama wanashida nazo, hivi tutaendelea kuwa watumwa wa akili mpaka lini, this is the best solution.

bahati mbaya watu wenye akili kama zako niwachache sana tz yetu hii, na bahati mbaya viongozi waliopo walishaidharau teknolojia, si ajabu kumkuta waziri hajui hata kutumia simu vizuri au pc, sasa mtu kama huyo ukimpa maono ya kuwa tunaweza kuchimba wenyewe na kutengeneza viwanda vya kuzitumia raslimali hizo atakuona mchonganishi
Atakuona unamchelewesha, shida yetu viongozi wa nataka pesa za Leo Leo kabla hajamaliza awamu
 
Unapoona kasoro ya kila marais wetu sikuelewi. Gombea Pengine uwe wewe rais sahihi
Marais wetu hawana kasoro? Miaka 60 watu hawana Maji, Wana nyumba za nyasi na miti, wanalima na kajembe ka mkono.
 
ukiwa na njaa utauza kila kitu, sasa mchanga wa bahari ndiyo upi? na nasikia mchanga huu hauchimbwi kwenye fukwe kama wengi mnavyodhani hapana, ni km kadhaa toka fukwe.

Hii project ina usiri usiri na ndiyo maana diwani akawaambia wananchi waugomee hadi waambiwe manufaa ni yapi ili waupokee katika maeneo yao.
Kigamboni watu wanaitamani sana iwe yao,nadhan kuna siri kubwa iliyofichika.
 
Wazungu wana bahari kubwa kuliko waafrika, na mchanga wa bahari uko kwenye fukwe na ndani ya maji Bahraini. Swali ni kwanini wazungu waje kuchimba mchanga huo TANZANIA? Je, huu mchanga wanaotaka kuchimba kwetu haupatikani kwenye nchi nyingine Africa, Asia, ulaya au marekani ila Kigamboni tu?

Ndugu zangu kuchimba mchanga kwenye fukwe za bahari kunasababisha makubwa yafuatayo:
1. Kunatanua ukubwa wa bahari kuelekea nchi kavu. Inafahamika kuwa theluthi mbili (2/3) ya dunia yote imefunikwa na Maji, na 1/3 tu ndio nchi kavu, hivyo kuchimba mchanga kwenye fukwe kunazidi kuipunguza nchi kavu. Wazungu wanaifunika bahari (reclamation) sisi tunaifunua bahari.

2. Kuharibu fukwe za kupunzikia watu wetu siku zijazo: fukwe nzuri zilizoendelezwa zinazalisha pesa, ajira na furaha kuliko pesa na hasara tutakayopata kwa kuzibomoa kuchimba mchanga kama madini.

3. Ecology kuharibika: mimea na viumbe vitauawa na Kuhamia sehemu nyingine ya dunia.

4. Kugeuzwa wajinga: Wazungu wanahifadhi kwao kuvutie na kuharibu fukwe zetu.

5. Mafuriko: tunakaribisha mafuriko mabaya sana kwa watu wetu.

Jamani na mimi naungana na wale wote wenye wasiwasi na uwekezaji wa aina hii, tufikirie mbali sana wakati tons and tons tans and tons tons And tons Za mchanga huo utakapoondolewa kwenye fukwe hiyo itakuwa Je? Tuache umangungo katika zama hizi za mwanga. Ni heri tubaki maskini kuliko uwekezaji wa aina hii.
We kiroboto,Kati ya wazungu na wewe nani ana uhitaji mkubwa wa pesa?
 
Wa
Ukisikia mkataba wa Siri jua tumeliwa.Yaani Mzungu atoke aje achimbe mchanga wa kujengea afrika? Hata ukimuona mgeni analima ana mashamba analima vijijini kwa jicho la tatu alimi anachomaanisha,kilimo ni njia rahisi ya kuficha lengo kusudio Siri anayo mlimaji.
Mzungu atoke ulaya aje kulima nyanya,sijui vitunguu bongo halafu yupo porini.
Wakoloni waliacha mali nyingi maporini wakati wanaondoka,wanafahamu sehemu nyingi zenge mali maana walikaa muda mrefu sana hapa
 
Mkuu fact yako iko vizuri kwenye upanda wako wa ecologia... ila kumbuka tukisema tuangalie hoja ya mazingira! je tusifanye economic development..kwa kuhofia issue za environmental impact. make kila project ina kuwa na impact kubwa kwenye issue zima ya environment.
Ni lazima tuangalie potential benefits, kwanza then ndo tuangalie ecologia

Mfano mdgo kwani unapo ishi wewe ahuja- interrupt ecologia ya hapo, kwa kujenga na kwa kufanya- movement mbalimbali.

The big deals ni kuandaa good policy and memorandum of understanding kwa wanchi..
Mkuu umefafanua vizuri, isipokua ni lazima katika maendeleo yoyote uzingatie pia maendeleo endelevu ambayo kimsingi yanahusisha matumizi bora ya rasilimali kwa faida ya vizazi vilivyopo na vijavyo.

Ni muhimu sana waafrika tujitahidi kutunza urithi wetu bila kuwa wachoyo na wabinafsi.

Bila kuzingatia sera zilizo bora kwa maendeleo endelevu. Tutabakiwa na magofu na mashimo makubwa yasiyo na faida wala manufaa.
 
Mkuu fact yako iko vizuri kwenye upanda wako wa ecologia... ila kumbuka tukisema tuangalie hoja ya mazingira! je tusifanye economic development..kwa kuhofia issue za environmental impact. make kila project ina kuwa na impact kubwa kwenye issue zima ya environment.
Ni lazima tuangalie potential benefits, kwanza then ndo tuangalie ecologia

Mfano mdgo kwani unapo ishi wewe ahuja- interrupt ecologia ya hapo, kwa kujenga na kwa kufanya- movement mbalimbali.

The big deals ni kuandaa good policy and memorandum of understanding kwa wanchi..
Sawa lakini sio kwa kubomoa kingo za bahari, this one is too much.
 
Mkuu umefafanua vizuri, isipokua ni lazima katika maendeleo yoyote uzingatie pia maendeleo endelevu ambayo kimsingi yanahusisha matumizi bora ya rasilimali kwa faida ya vizazi vilivyopo na vijavyo.

Ni muhimu sana waafrika tujitahidi kutunza urithi wetu bila kuwa wachoyo na wabinafsi.

Bila kuzingatia sera zilizo bora kwa maendeleo endelevu. Tutabakiwa na magofu na mashimo makubwa yasiyo na faida wala manufaa.
Nchi za ulaya na marekani ziko zenye madini mengi, mafuta mengi na misitu mingi, lakini hawazivuni hizo rasilimali zao kwa kujali hatima ya mazingira yao na maisha yao kama watachimba madini au kuchimba mafuta yao Sasa. Mazingira na maisha ni muhimu kuliko pesa.
 
mchanga una asili ya kurudi maji yakijaa.
Waanza lini hyo kazi tukaombe ajira.
 
Wa

Wakoloni waliacha mali nyingi maporini wakati wanaondoka,wanafahamu sehemu nyingi zenge mali maana walikaa muda mrefu sana hapa
Tena wazikuta bwerere zimejaa hazina mwenyewe,
 
Ndo ume. sema nini Sasa? . Shida yetu Tanzania a ni mitaala yetu ya shule kukosa somo la critical thinking,na professional thinking. Hayo madini hapo baharini Yana uhusiano mkubwa sana na maisha ya viumbe majini na ulinzi wa nchi kavu dhidi ya Maji ya bahari. Ukiyaondoa hapo yalipo maisha ya viumbe hayatabaki kama yalivyo Sasa. Lakini baya zaidi ni kuongeza speed ya Maji ya bahari kuimeza nchi kavu,huo mchanga na miamba ndio kinachoyazuia maji yasije nchi kavu kwa speed. Hii ndio maana mungu na asili imeyaweka madini hayo hapo yalipo. Ni ujinga ku justify kuyachimba eti kwakuwa ulaya hayapo. Weak reasoning. Kuyaondoa hapo ni sawa na kuyatengenezea njia Maji yaje nchi kavu kwa urahisi. Tuache ujinga,wazee wetu walituachia nchi hii ikiwa safi kabisa. Umangungo wa viongozi wetu utaiharibu nchi.
 
Ndo ume. sema nini Sasa? . Shida yetu Tanzania a ni mitaala yetu ya shule kukosa somo la critical thinking,na professional thinking. Hayo madini hapo baharini Yana uhusiano mkubwa sana na maisha ya viumbe majini na ulinzi wa nchi kavu dhidi ya Maji ya bahari. Ukiyaondoa hapo yalipo maisha ya viumbe hayatabaki kama yalivyo Sasa. Lakini baya zaidi ni kuongeza speed ya Maji ya bahari kuimeza nchi kavu,huo mchanga na miamba ndio kinachoyazuia maji yasije nchi kavu kwa speed. Hii ndio maana mungu na asili imeyaweka madini hayo hapo yalipo. Ni ujinga ku justify kuyachimba eti kwakuwa ulaya hayapo. Weak reasoning. Kuyaondoa hapo ni sawa na kuyatengenezea njia Maji yaje nchi kavu kwa urahisi. Tuache ujinga,wazee wetu walituachia nchi hii ikiwa safi kabisa. Umangungo wa viongozi wetu utaiharibu nchi.
nakumbuka niliusona uzi moja wa P.Mayala hapa ndani alisema hivi.lengo la mero maxince japo nitalikosea jina lake kidogo ilikuwa ni kwa ajili ya great thinkers kubadilishana ideas.lkn kwa sasa jf imegeuka kuwa uwanja wa wapuuzi wachache kuleta hoja za kipuuzi.si lazima kila kitu kinachoandikwa humu ndani watu wachangie.vingine unasoma na kupita kama wafanyavyo wengine kuliko kuchosha watu kusoma upuuzi.
 
Ideally madini yanachimbwa sana baharini, its easy kwa sababu yapo mengi zaidi,

Na kwa ukanda wa madini uliopo TZ, seems tutakuwa na madini mengi sana, so hakuna uchimbaji mkubwa baharini ni mostly kuokoteza yaliyopo juu juu tu.

Ila wakiosema wanakuja kuokoteza madini mtawaringi kama nyererer alivowaringia ndo maana wanasema kuchimba madini
Allah atunusuru na majanga ya ardhi yake endapo tutafanya kwa tamaa za kutaka pesa viongozi wetu
 
Back
Top Bottom