Kuchinjwa kwa binti wa mchungaji Mtungutu

Kuchinjwa kwa binti wa mchungaji Mtungutu

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Wakati niko Safarini tokea Dar kulelekea kijijini kwenye msiba wa babu yangu, njiani kwenye njia ya kutokea Chemba kupitia kijiji kinaitwa Mtungutu, Pembezoni mwa barabara nilikuta gari la polisi likiwa na askari kadhaa, na upande mwingine wa barabara nikaona wanakijiji wengi wamekusanyika kwa huzuni, sikutaka kusimama kujua zaidi, nikakamua mashine kuendelea na safari.

Sasa wakati wa kujengea nyumba ya babu nikaanza kusikia wale mafundi wakipiga story kwamba kuna binti wa mchungaji Mtungutu amechinjwa na aliyekuwa mume/ mpenzi baada ya fumanizi, na wameacha katoto kadogo, na jamaa kakimbia, anatafutwa. Hivyo nikaconnect dots ya lile tukio la gari ya polisi na mkusanyiko wa watu, na wakaniambia ndio tukio hilo.

Kuna mwenye nyama za kuongezea juu ya sakata hili?
 
Maelezo yako yametimia.
Facts mtu kajinjwa
Mtendaji Mume
Chanzo wivu wa mapenzi.
Rubaa hii imetimia
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba
 
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba
Kweli kabisa ana gari na amemjengea babu yake nyumba. Rubaa hii
 
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba
Umesahau hili.. mleta uzi anaishi Dar
 
Maelezo yako yametimia.
Facts mtu kajinjwa
Mtendaji Mume
Chanzo wivu wa mapenzi.
Rubaa hii imetimia
... who, where, why, and what are clear although briefly. It lacks when?
 
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba
Biashara matangazo!!
 
Nasikia jamaa alimuingilia kabla ya kutekeleza mauaji, maana mbegu zilikutwa kwenye nguo ya ndani. Pia naye alienda eneo la tukio akijifanya analia, baadae watu wakasikia alikuwa na ugomvi nae usiku uliopita, kuona wameshtukia akapotea ghafla kusikojulikana
 
Tuweke mambo wazi.
Hivi sasa dunia imechafuka. Kitu kinachoitwa "Ngono" kimekuwa kama burudani fulani ya kawaida kama vile kucheza mpira, kuangalia sinema, kunywa bia, kuogelea, nk. Ile heshima ya tendo la kujamiiana kwa kusudi lililokusudiwa(kupata familia) halipo tena.
Mfano kwenye mikesha, hasa miezi ya December na January. Wengi wako likizo. Kukiwa na mkesha fulani, basi kisingizio tayari. Wote mnakutana nyumbani asubuhi. Baba, mama, watoto.
Kisingizio: "Mkesha"
Ndoa, kama wanavyosema wenyewe: "Ni kuondoa mikosi na vilevile kuweka heshima katika jamii kwamba umewahi kuoa/kuolewa katika maisha yako.
Hivyo ukioa kwa kupenda kwa dhati hasa binti mrembo mwenye shepu inayovutia, kwa uhakika tegemea mambo mawili:
1.) Kuuwa (mke/aliyefumaniwa, au wote wawili.
2.) Kujiuwa
 
Back
Top Bottom