Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Lakini sio t-shirt zote, zipo baadhi zinafaa kuchomekeaKuchomekea T-shirt ni ushamba was kiwango Cha pro max
Ikishaitwa t-shirt basi jua haifai kuchomekewa.Lakini sio t-shirt zote, zipo baadhi zinafaa kuchomekea
Hao ni wale Matozi wa zamaniKuna wazee walikuwa wanasimamisha kora sijui ndo kala ya shati, Hawa vipiπ
Lakn sio zoteIkishaitwa t-shirt basi jua haifai kuchomekewa.
Ipi unaona inafaa kuchomekewa?Lakn sio zote
Yoyote ambayo ipo simple na haina mambo mengi, yaani haina picha au maandishi yoyote.Ipi unaona inafaa kuchomekewa?
Siuzi vyombo lakini navaa hivyo Sometimes, Ila sio mara zoteKama unauza mabeseni na vyombo vya plastic siyo ushamba ndo unatakiwa uvae hivyo
Wapo wengi wanachomekea t shirt na wanapendeza, ila ukijaribu kuchomekea suruali kwenye soksi watakuita mnyasaHivi,zile jezi za kuchezea mpira wa miguu huwa zina tisheti?Hawachomekei?Vipi kuhusu wacheza golf?Huwa naona wanachomekea tisheti zao.
NB:Mkinisumbua tu,nachomekea na suruali kwenye soksi miguuni kabisa.
Labda polo t shirt, kaini zingine ngumu sanaYoyote ambayo ipo simple na haina mambo mengi, yaani haina picha au maandishi yoyote.
Labda hiyo ya polo t shirt.Hivi,zile jezi za kuchezea mpira wa miguu huwa zina tisheti?Hawachomekei?Vipi kuhusu wacheza golf?Huwa naona wanachomekea tisheti zao.
NB:Mkinisumbua tu,nachomekea na suruali kwenye soksi miguuni kabisa.
Kanzu unachomeka mwenye suruali au chini kwenye viatu πUsinipangie maisha,πππππ
Tutachomekea mpaka kanzu dadek
Kuchomekea iwe shati au tisheti ni mazoea ya tangu awali kwa muhusika.Kuna wengine wameanza hadi kuvaa suti na raba.Nao tusemeje?Siuzi vyombo lakini navaa hivyo Sometimes, Ila sio mara zote
Ndymaana nikasema zipo baadhi ya t-shirt zinafaa, ila zipo nyingine kiukweli hazifaiLabda polo t shirt, kaini zingine ngumu sana
Kweli katika swala la mavazi kila mtu ana style yake, japo nyingine zinashangaza lakini ni maamuzi yao wahusikaKuchomekea iwe shati au tisheti ni mazoea ya tangu awali kwa muhusika.Kuna wengine wameanza hadi kuvaa suti na raba.Nao tusemeje?Kuna wanaovaa suti za mikono mifupi(wanaume).Hao nao inakaaje?Kuna wanaovaa mashati na tai halafu wanakunja mikono ya mashati.Hao nao ni akina nani?Kuna wanaovaa suti na tai maridadi halafu wanavaa kapelo.Imekaaje hiyo?