mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Kina sisi hapa.....nimetembea sana na huo unyamweziHao ni wale Matozi wa zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina sisi hapa.....nimetembea sana na huo unyamweziHao ni wale Matozi wa zamani
Shida ipo wapi mkuu?
Kwanini?Kama unauza mabeseni na vyombo vya plastic siyo ushamba ndo unatakiwa uvae hivyo
Kama unaauliza kwa kupata tu maoni it's okay,lkn usiruhusu mtu akwambie ni nini cha kuvaa na sio kuvaa madam huvunji tamaduni na mila zetuMimi nipo comfortable na hiyo style,navaa mara kwa mara na nimeuliza humu ili kupata maoni ya wengine kuhusu style hiyo
Hata waimba mziki wakati huo hiyo ndiyo ilikuwa fashion yaoKina sisi hapa.....nimetembea sana na huo unyamwezi
Sahihi kabisa mkuu, hili ni jukwaa la mitindo na ni vyema kubadilishana mitazamo kuhusu style za mavaziKama unaauliza kwa kupata tu maoni it's okay,lkn usiruhusu mtu akwambie ni nini cha kuvaa na sio kuvaa madam huvunji tamaduni na mila zetu
Mkuu kama hupendi kuvaa hivyo ni sawa tu wala hakuna shida, watu wote wana style zao za mavazi na zinatofautianaMimi katika vitu vimenishinda kabisa ni kuvaa hutu tusuruali tufupi, tunakobana, halafu bila soksi! Kifupi mimi siwezi kuvaa viatu bila soksi.
View attachment 3082960
Mkuu kwaiyo hiyo niliyovaa mimi haifai kuchomekea?
Kikubwa usiwe na kitambi 😀Polo shirt rukhsa kuchomekea.
Mzee wangu as long as nguo umenunua mwenyewe, mwili wako wewe hata ukiamua kuchomekea kaunda suti chomekea tu.Mkuu kwaiyo hiyo niliyovaa mimi haifai kuchomekea?
Sawa mkuu, nimekupata vyema.Mzee wangu as long as nguo umenunua mwenyewe, mwili wako wewe hata ukiamua kuchomekea kaunda suti chomekea tu.
Walimwengu hawakosi kasoro.
Sio ushamba ila kama huyo ni wewe mkuu fanya bidii uongeze lisheView attachment 3082924
Baadhi wanasema kuchomekea T-shirt sio sawa lakini mimi nafanya hivyo mara kwa mara na sioni kama ni tatzo.
Wadau wa mitindo, je ni sawa kufanya hivyo au ni ushamba?
Mkuu hapo nimetosheka kabisa na hakuna haja ya kuongeza mwiliSio ushamba ila kama huyo ni wewe mkuu fanya bidii uongeze lishe
Vyema sana....
Yeah ila mtu asipokua na kitambi ndio ananouga zaidi