Kuchomekea T-shirt ni ushamba?

Kuchomekea T-shirt ni ushamba?

View attachment 3082924

Baadhi wanasema kuchomekea T-shirt sio sawa lakini mimi nafanya hivyo mara kwa mara na sioni kama ni tatzo.

Wadau wa mitindo, je ni sawa kufanya hivyo au ni ushamba?

Wewe, Raymanu KE na wa namna zenu mtajua kuvaa kuliko hawa waliochomekea t-shirts zao?

IMG_20240830_213131.jpg


IMG_20240830_212833.jpg


GettyImages-1188075152.jpg


Ama kwa hakika hakuna mnachokijua kuhusu mavazi!

Kwa mawazo kama yenu, no wonder:

IMG_20240824_065438.jpg
 
Sahihi kabisa mkuu, kama hiyo ndyo style yako basi naamini inakukaa vyema ndyomaana unaipendelea zaidi.

Pia mtu akiona mtindo fulani unamfaa basi ni vyema kuutimiza bila kujali maneno ya walimwengu
Shukran sn mkuu. Ila kuvaa t shirt na kuchomekea sio ushamba 💯.

-T shirt + jeans.(Not over sized)
- leather belt (black /brown)
-watch with leather belt (black/brown)
-leather boots (black/brown) not over sized
-ray band glass/Gucci.
-smells good...(Parfum)

Watazame sana watu weupe wanavyovaa..
Especially french/British

Sometimes wale watu wanaojifanya wajuaji kuvaa ndy washamba wenyewe sasa..
 

Baadhi wanasema kuchomekea T-shirt sio sawa lakini mimi nafanya hivyo mara kwa mara na sioni kama ni tatzo.

Wadau wa mitindo, je ni sawa kufanya hivyo au ni ushamba?
T-shirt 'form six' inachomekewa kama kawaida, isiyochomekewa ni roud colar(kimao).

Na mwanaume kuulamba(kutokelezea) bila mkanda nje ni kuvaa mdebwedo, tuseme kuchomekea ni takwa la lazima.
 
Kama huna hela na sio mtu wa golf au hio tshirt yako haina kafaras Og please nakusihi sana usichomokee
 
Kama huna hela na sio mtu wa golf au hio tshirt yako haina kafaras Og please nakusihi sana usichomokee
Kuchomekea ni kwa mtu yoyote sio lazima uwe mwana michezo au mtu mwenye hela nyingi
 
T-shirt 'form six' inachomekewa kama kawaida, isiyochomekewa ni roud colar(kimao).

Na mwanaume kuulamba(kutokelezea) bila mkanda nje ni kuvaa mdebwedo, tuseme kuchomekea ni takwa la lazima.
Sawa kabisa mkuu, kuchomekea ni ishara ya unadhifu
 
Uvaaji wa nguo ni vile mvaaji unavaa pasipo kujishitukia yaani kama ukichomekea T-shirt na unaona ni kawaida na wala huhisi umekosea basi tambua upo sahihi kwa utaratibu wako. Lakini ukiwa kwa level Kila unapovaa nguo cha kwanza ni kujishitukia kama upo sahihi au la, basi tafuta mtu / designer kabisa kabisa.

Otherwise, Kwa sie wakalakala hata kuchomekea suruali chini kwenye soksi kwetu fresh kikubwa kichwani tunaona sawa (saikolojia tu) ni kama Diamond na Koffi Olomide wanavyovaa yale mabwanga na wapo fresh huku akili ya kawaida ya mtaani haikushiwi kuvaa kama wao. Hoja yangu kama halmashauri ya kichwa haikusumbui kwamba umekosea "dress code" basi upo sahihi kuchomekea T-shirt
 
Hoja yangu kama halmashauri ya kichwa haikusumbui kwamba umekosea "dress code" basi upo sahihi kuchomekea T-shirt
Mkuu naunga mkono hoja yako, kweli kama mtu unaona ni sawa haina haja ya kusita au kusikiliza maneno ya walimwengu.... Chamsingi ni peace of mind
 
Back
Top Bottom