Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wapo serious kabisa. Na wengine ni komedi tu kama Misomisondo na Kingwendu.Kweli katika swala la mavazi kila mtu ana style yake, japo nyingine zinashangaza lakini ni maamuzi yao wahusika
Ile ya Max NzengeliIpi unaona inafaa kuchomekewa?
Tafuta pesa acha kuhangaika na watu wanavaaje bwege weweView attachment 3082924
Baadhi wanasema kuchomekea T-shirt sio sawa lakini mimi nafanya hivyo mara kwa mara na sioni kama ni tatzo.
Wadau wa mitindo, je ni sawa kufanya hivyo au ni ushamba?
Wengine wanavaa kanzu na njumu za kuchezea mpiraWengine wapo serious kabisa. Na wengine ni komedi tu kama Misomisondo na Kingwendu.
Sawa kabisa mkuuSio ushamba ni mtindo tu .
Sasa matusi ya nini mkuu, kama uzi haujakupendeza ni vyema ukapita kimyaTafuta pesa acha kuhangaika na watu wanavaaje bwege wewe
Njumu tena?Kazi ipo.Wengine wanavaa kanzu na njumu za kuchezea mpira
SwagireeeSwaga
Ile ilikuwa usela tu miaka fulani fulani social media wakati hazipo 😀Kuna wazee walikuwa wanasimamisha kora sijui ndo kala ya shati, Hawa vipi😁
🤣🤣Kun mwamba anashinda na bukta ya mpira siku nzimaNjumu tena?Kazi ipo.
Lakini naona bado Kuna watu Wana Fanya hivyoIle ilikuwa usela tu miaka fulani fulani social media wakati hazipo 😀
Njumu ndyo, mimi nilishawahi kuona mmoja, sasa sijajua ni Shekhe alitoka mazoezini au LaNjumu tena?Kazi ipo.
Ila siyo kama miaka ya zamaniLakini naona bado Kuna watu Wana Fanya hivyo
Na hao ndiyo huwa kuchomekea iwe shati au tisheti ni changamoto sana kwao.Mazoea.🤣🤣Kun mwamba anashinda na bukta ya mpira siku nzima
Mimi nipo comfortable na hiyo style,navaa mara kwa mara na nimeuliza humu ili kupata maoni ya wengine kuhusu style hiyoIfike mahala watu mjitambue wewe ni nani,unapenda nini,kipi kinakufanya uwe na furaha
Msiishi kwa tafsir za watu,fashion ni kile kinachokufanya uwe comfortable,na unajihisi okay
Tuache ujinga