xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,338
Mi ni mfanya biashara najua nachokisema,,na namaanisha nachokizungumza,,kukopa kwa kuanzisha biashara wengi wanakwamaKwani Ukikopa na kuanzisha biashara una uhakika kuwa hiyo biashara haitakufa na kukutia hasara?
Kuna mtu alikopa 5m akanunua bajaji, ndani ya wiki moja bajaji ikatekwa na kuibiwa, na haikuwa na comprehensive insurance!!
Kukopa ukiwa mfanyakazi kwa makato yako utaishi ila kwa tabu
Kukopa ili ununue kisichozalisha ni tabu kwako,tabia ya hela moja kuzungusha na kuwekeza,usipofanya kimoja wapo utaishi huku moyon unaugulia... Naheshim mawazo yako pia,ila siwez kukopa kama sina hela