msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 842
- 1,197
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] simu ya mtu wako limekuwa kama Bomu la kutegwaNilishika adabu mbona, kwa sasa kama nikiishika basi nitamuomba kwanza ili kama ana mambo yake afute nisione na nitafanya kile nachohitaji kama kutumia internet basi yaan yale mambo ya msingi