Kuchunguza simu ya mpenzi wangu mwisho ilikuwa 2017, siwezi na sirudii

Kuchunguza simu ya mpenzi wangu mwisho ilikuwa 2017, siwezi na sirudii

Ila kwann mpemzi wako asishike simu yako unaficha nini huko....
Mie simu lazma nishike ka nikikuta madudu kila mtu ashike njia yake kisa cha kukaa kinafiki nini
Ndio maana yangu imejaa password, we shika ila utaishika kama rimoti au calculator tu.
 
Nakumbuka nilikuwa sina sana iyo tabia kiivo na ilipelekea kila mmoja wetu kutokuwa na password katika Simu.

Iyo siku shetani alipitia na ndio uhusiano wangu ulivunjika ambao nliuamini ntazeeka nao, Tulitoka kuzika sasa si unajua ukifiwa pole nyingi na unakuwa bize kuzijibu, Tukafika home shemeji yenu njia nzima alikuwa bize na simu, tulivofika home akawa ameiacha juu ya friji akaingia kuoga, kashetani kakanipitia nkachukua, weee nliyoyakuta ndio nliyokuwa nayatafuta,

Mademu kama wa4 wote wanasema polee mme wangu, kuna demu mpya ndio anatongozwa. Kiukweli nlitaka kuzuga ila alikuta nmelala na simu, Shuka na pillow zimelowa machozi, Tukasuluhisha mpak kwa wakubwa zetu ila moyo ulishaingia mshtuko nlishindwa kukubali yaishe.

Nkamsamehe na nlikaa kwake week lengo lao tuyamalize niwe sawa, akanionea huruma maana kama nipo jela. Nalia mda mwingi kuliko kuongea nae, akanionea huruma akanirudisha kwetu nitulie hata week, Ndio nkawa nmemuacha kabsa na alipigania mno tuwe sawa nlishindwa.

Hii ilinifundisha mambo mengi, Kwanza ilinipotezea mme(kiukweli sijawahi kuhisi tupo wawili jamaa alisimama katika nafasi yake). Nlijifunza hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja ila anapenda mwanamke mmoja tu,

Nkajifunza kuangalia jamaa anakuheshimu, kukujali, anasimama kwenye nafasi yake na una uhuru kwake. Nlijifunza kila mtu ashike simu yake kama unataka uhusiano Ufike utakapo na unapenda Amani . Wanawake wenzangu, Acheni kupekua simu za wanaume zenu, Malaya ni Malaya tu hata ukague vipi, Sanasana unampa kichwa kuwa huwa unafuma ana cheat ila unamsamehe.

Kwaiyo Hofu anaipunguza, hakikisha ukichunguza ukikuta majibu uwe na maamuzi magumu maana moyo bana ukiingia doa ni kasheshe.Mnaweza kupendana bila kushikiana simu japo kuna vitu hata ujapekua unaviona iyo ruksa nyumba kuwa Tarime.
Pole kwa kumpoteza mume jamani ila nadhani hutorudia tena huo mchezo. Binafsi siigusi simu ya mume wangu kwa sababu kubwa 3;
1. Nina moyo mdogo kama nukta, naogopa untimely death.
2. Sitaki talaka kabisaaa maana nina watoto na kipato changu hakikidhi kuwalea wanangu, I need my husband katika hili vibaya mno hahaha
3. Kwani akichepuka anaacha mb** huko au anakuja nayo home? As long as anarudi nayo na nina access nayo akuuuu, life is good.
 
Pole kwa kumpoteza mume jamani ila nadhani hutorudia tena huo mchezo. Binafsi siigusi simu ya mume wangu kwa sababu kubwa 3;
1. Nina moyo mdogo kama nukta, naogopa untimely death.
2. Sitaki talaka kabisaaa maana nina watoto na kipato changu hakikidhi kuwalea wanangu, I need my husband katika hili vibaya mno hahaha
3. Kwani akichepuka anaacha mb** huko au anakuja nayo home? As long as anarudi nayo na nina access nayo akuuuu, life is good.
Chukua U-Fresh nakuja kulipa[emoji4]
 
wanawake mna viherehere sana........yaani hamuachi kabisa.... hata mkiwa wazee....hiyo tabia mmeumbwa nayo hakika..(na mwanamke utakuwa na wivu kwa bwana wako).....ishi ukiamini ni wako peke yako.......na wanaume ni kosa kukubali hata kama ni live........ukikubali mwanamke atakunyanyasa mpaka kaburini....
 
Pole kwa kumpoteza mume jamani ila nadhani hutorudia tena huo mchezo. Binafsi siigusi simu ya mume wangu kwa sababu kubwa 3;
1. Nina moyo mdogo kama nukta, naogopa untimely death.
2. Sitaki talaka kabisaaa maana nina watoto na kipato changu hakikidhi kuwalea wanangu, I need my husband katika hili vibaya mno hahaha
3. Kwani akichepuka anaacha mb** huko au anakuja nayo home? As long as anarudi nayo na nina access nayo akuuuu, life is good.
Malkia wa nguvu ndio WEWE....hakika...
 
Pole kwa kumpoteza mume jamani ila nadhani hutorudia tena huo mchezo. Binafsi siigusi simu ya mume wangu kwa sababu kubwa 3;
1. Nina moyo mdogo kama nukta, naogopa untimely death.
2. Sitaki talaka kabisaaa maana nina watoto na kipato changu hakikidhi kuwalea wanangu, I need my husband katika hili vibaya mno hahaha
3. Kwani akichepuka anaacha mb** huko au anakuja nayo home? As long as anarudi nayo na nina access nayo akuuuu, life is good.

Upewe ulinzi jmn
 
Kuna mmoja huku namuona yupo busy kuwinda simu yangu [emoji2][emoji2] namuangalia tu...ila anacho kitafuta atakipata.

Sawa bana mimi namtakia all the best katika ufukunyufu wake
 
[emoji1787][emoji1787] pole sana .. simu ya mwanaume usishike ata siku moja.. shika labda kutuma pesa na mambo ya kijamii.. simu ya mwanaume ukipekua utakutana na mazito sababu mwanaume ni mtu anayetumiwa (picha na video) kutoka mchepuko ili amdatishe so ujipange ukiamua kushika
Kweli kabsa.
 
Ukimwi upo kwenye simu?yaani malaya ni malaya tu,kelele azimfanyi mtu kuacha tabia yake,aya unakagua simu,unatembea nae mda wote?Anaejielewa anajielewa tu.
Mkisha olewa mkazaa uzuri unaisha na mvuto kwishnei.Lazima atafute wa poozea hisia..tena kama pesa iko..mbona nyie mkiwa mabinti mnabeba waume za watu?
 
Back
Top Bottom