Si unyooshe tu maelezo mrembo! Unataka ukampikie na kumpakulia baada ya sisi Wananchi kumuajiri na hivyo kumlipa mshahara mnono!Kachukue nafasi ya Mkewe aliyemuacha.
Stupid my only JF account is Mightier ( alias ) Modern Genius okay?Kwani we jamaa una account ngapi dooh!?
kumbe hadi meno ni yello kweli ye ni utopolo damuHili hapa?View attachment 1968977
Haya Genta....Stupid my only JF account is Mightier ( alias ) Modern Genius okay?
Sasa unapitaje pale kapita utopolo fc.Sasa Kama nafasi ipo wazi si ufanye Juhudi uolewe wewe.
Kwani hizo tabia Hadi wanaoana hakuwahi kuzijua ! Au Mwanamke nae alitumwa kamaliza kazi yake ameludi kazn kupewa kazi nyingine ! Ilikuwa n mission ya kumleta Ahamie Yanga zoezi limekamilika Basi. Pia wapo wanawake ambao hutaka Ile heshima kwamba Alisha wahi kuolewa na Sasa ataki Tena kuishi na Mwanamme zipo Sabbu nyingi Sana so Ni Mambo binafsi waaachiwe wenyeweHuyo jamaa mbona alishaachwa na mke karibia week ya 3 sasa,kisa kulewa na ugomvi kila siku,mke anadai jamaa ana mdomo mchafu
Uliwai kulala nae??Huyu mademu wanamkimbia ni kwa sababu ni mlevi na akilewa huwa ana dharau sana kwa wake zake na anajikojolea hovyo kitandani pamoja na kujinyea.
Wale ma bodyguard walikuwa wapi wakati anakula kichapo? Naona unatudanganya.Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.
Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.
Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?
Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Du ila mademu wavumilivu sana nawapa kongolee 🙌Hili hapa?View attachment 1968977
Wewe na yeye sawa, mbona unaficha jina ni nani huyo!! Kama wewe ni Me jichunguze vizuri mwanaume apindishi ama kufichafichs habari, ni straight forward..Hopeless Wewe..... Mwanaume kukimbiwa na Wake mara Mbili ni Sifa? Sasa kama si Aibu mbona anahaha Kuficha hili Jambo na hatimaye Mfukunyuaji Mightier nimelipata kama lilivyo?
Mwambieni aendelee tu Kubwabwaja!!
Nimekuita? Mimi na Wewe nani ni Mbea?Wewe na yeye sawa, mbona unaficha jina ni nani huyo!! Kama wewe ni Me jichunguze vizuri mwanaume apindishi ama kufichafichs habari, ni straight forward..
duh hatari sana, yule wa kwanza katoka naye kwenye shida ila maisha yalipokuwa nafuu kipindi yuko simba akaamua kumkimbia jamaa maana inasemekana ni vurugu na matusi na kebehi hadi mwanamke wa watu akachokaKibaya zaidi Mmoja wa Wafadhili wake alipo sasa anamkazia pamoja na Yule Mwandamizi Mstaafu ndani ya Chama chake alichowaibia Magari na Kuyauza Kitapeli.
Kama kawaida wapambe wake mmeanza kulialia hilo lopolopo limesababishia watu wengi BAN hapa yakifumuka ya mzee tozi sijui itakuwajeMode wako wapi aisee hivi huu nao ni Uzi WA sports mbona kama ni Uzi WA kipumbavu Sana tena unazungumzia ndoa ya mtu.
Hili jamaa lianzsha thread sjui huwa Lina tatzo gani ngoja ninyamaze maana nayo ni hekima nisije TOA maneno makali kwa huyu ndugu.
Hili jukwaa siyo la kwako wewe...ukitaka kuleta fikra hizi za umbeya hazifai humu...JF ni ya umma...umbeya hatutaki humuNimekuita katika huu Uzi wangu? Hopeless!
Mi namtaja tu; atakuwa MANARA tu huyu!Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.
Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.
Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?
Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!