Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kachukue nafasi ya Mkewe aliyemuacha.
Si unyooshe tu maelezo mrembo! Unataka ukampikie na kumpakulia baada ya sisi Wananchi kumuajiri na hivyo kumlipa mshahara mnono!

Wale Wahubiri wako wataishia tu kukutoa mapepo! Huku ukishindia matikiti maji.
 
Huyo jamaa mbona alishaachwa na mke karibia week ya 3 sasa,kisa kulewa na ugomvi kila siku,mke anadai jamaa ana mdomo mchafu
Kwani hizo tabia Hadi wanaoana hakuwahi kuzijua ! Au Mwanamke nae alitumwa kamaliza kazi yake ameludi kazn kupewa kazi nyingine ! Ilikuwa n mission ya kumleta Ahamie Yanga zoezi limekamilika Basi. Pia wapo wanawake ambao hutaka Ile heshima kwamba Alisha wahi kuolewa na Sasa ataki Tena kuishi na Mwanamme zipo Sabbu nyingi Sana so Ni Mambo binafsi waaachiwe wenyewe
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Wale ma bodyguard walikuwa wapi wakati anakula kichapo? Naona unatudanganya.
 
Hopeless Wewe..... Mwanaume kukimbiwa na Wake mara Mbili ni Sifa? Sasa kama si Aibu mbona anahaha Kuficha hili Jambo na hatimaye Mfukunyuaji Mightier nimelipata kama lilivyo?

Mwambieni aendelee tu Kubwabwaja!!
Wewe na yeye sawa, mbona unaficha jina ni nani huyo!! Kama wewe ni Me jichunguze vizuri mwanaume apindishi ama kufichafichs habari, ni straight forward..
 
Wewe na yeye sawa, mbona unaficha jina ni nani huyo!! Kama wewe ni Me jichunguze vizuri mwanaume apindishi ama kufichafichs habari, ni straight forward..
Nimekuita? Mimi na Wewe nani ni Mbea?
 
Naona afisa habari wa Namungo amepiga kijembe

1633768464917.png
 
Kibaya zaidi Mmoja wa Wafadhili wake alipo sasa anamkazia pamoja na Yule Mwandamizi Mstaafu ndani ya Chama chake alichowaibia Magari na Kuyauza Kitapeli.
duh hatari sana, yule wa kwanza katoka naye kwenye shida ila maisha yalipokuwa nafuu kipindi yuko simba akaamua kumkimbia jamaa maana inasemekana ni vurugu na matusi na kebehi hadi mwanamke wa watu akachoka
 
Mode wako wapi aisee hivi huu nao ni Uzi WA sports mbona kama ni Uzi WA kipumbavu Sana tena unazungumzia ndoa ya mtu.
Hili jamaa lianzsha thread sjui huwa Lina tatzo gani ngoja ninyamaze maana nayo ni hekima nisije TOA maneno makali kwa huyu ndugu.
Kama kawaida wapambe wake mmeanza kulialia hilo lopolopo limesababishia watu wengi BAN hapa yakifumuka ya mzee tozi sijui itakuwaje
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Mi namtaja tu; atakuwa MANARA tu huyu!
 
Mzee Tozi alijidai siyo kwa uno hili
 
Back
Top Bottom