Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Bila shaka wewe ni mvulana wa Dar
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Hanji Mangara tupo nae hadi kieleweke nguruwe la kisasa
 
"Jamani nyamazeni, Cha umbea kaja" kwa sauti ya Mwijuma Mumin
 
Hopeless Wewe..... Mwanaume kukimbiwa na Wake mara Mbili ni Sifa? Sasa kama si Aibu mbona anahaha Kuficha hili Jambo na hatimaye Mfukunyuaji Mightier nimelipata kama lilivyo?

Mwambieni aendelee tu Kubwabwaja!!
Anahaa kuficha vipi?! Tangu lini suala la kukimbiwa au kuachana na mwanamke likawa ni la matangazo?! Tangu kuzaliwa kwako umeshawahi kusikia pahala fulani kuna sherehe ya watu kuachana?!

Btw, hizi habari zimetapaa Instagram kitambo sana... sasa ingekuwa anahaa kuficha, hao watu wa Instagram wamezipata vipi?! Na hata akihaa kuficha kwani tatizo lipo wapi?
 
Ili kutambua tabia ya mtu, subiri apate pesa au umaarufu.
Namsikitikia yule msichana, alijitoa kwa mapenzi ya hali na mali.
Nadhani ile video ya kunengua na Wema Sepenga imechangia pia.
Maana ile mikatiko ilikuwa ni ya hatari sana.
Mume mwenye Mke kucheza hadharani anatakiwa kucheza kwa staha fulani na mwanamke yeyote akiwemo Mkewe wa ndoa.

Na pombe ndio catalyst mkubwa sana maana. Ina cause changes on substance huku iki remain unchanged at the end of chemical reaction.
Ya wema ya juzi tu issue ina week tatu hata wa kwanza alikimbia jamaa mlevi mgomvi anatukana hakukaliki ndani wa kwanza alikuwa anapigwa sana wakiwa choka mbaya uswahilini wakahamia mikocheni baada ya simba kumpa michongo na helA kuja bado kipigo kikaendelea dada wa watu akaokoa roho yake ndo akaolewa huyu sasa ambaye naye kakimbia
 
Ya wema ya juzi tu issue ina week tatu hata wa kwanza alikimbia jamaa mlevi mgomvi anatukana hakukaliki ndani wa kwanza alikuwa anapigwa sana wakiwa choka mbaya uswahilini wakahamia mikocheni baada ya simba kumpa michongo na helA kuja bado kipigo kikaendelea dada wa watu akaokoa roho yake ndo akaolewa huyu sasa ambaye naye kakimbia
Duh...inasikitisha sana, msichana alikuwa wife material kabisa.

Mwenye mawasiliano yake (mwanamke) anipe koneksheni.

Nitambembeleza awe japo mke wangu wa pili na sitatangaza mahali kuwa nimemwoa.
 
Sasa S umtaje tu funguka bhana mkuu
suku.jpg
humjui huyo??
 
Baadhi ya watu maarufu wanashindwa kudumu katika Ndoa.
Kwangu imenisikitisha sana swala zima la kukimbiwa na mke mara kwa mara.
Ndoa ni taasisi nyeti sana na neno la Mungu linasema.

Waebrania 13:4
"Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu."

Ndoa na iheshimiwe na walio ndani ya ndoa pia.

Ila wako watu hawawezi kudumu katika ndoa, sababu hawana tabia zinazotakiwa kwa wanandoa.
At least katika hao watu maarufu walioshindwa kudumu kwenye ndoa, somehow wameweza kudumu na timu zao
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Haji Manara ni msanii anayeteketea kwa kasi maana watu washamjuwa kuwa ni mnafiki na hajitambui. Mwanamke gani anataka kuishi na mtu kama Haji?
 
Back
Top Bottom