Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Baadhi ya watu maarufu wanashindwa kudumu katika Ndoa.
Kwangu imenisikitisha sana swala zima la kukimbiwa na mke mara kwa mara.
Ndoa ni taasisi nyeti sana na neno la Mungu linasema.

Waebrania 13:4
"Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu."

Ndoa na iheshimiwe na walio ndani ya ndoa pia.

Ila wako watu hawawezi kudumu katika ndoa, sababu hawana tabia zinazotakiwa kwa wanandoa.
Huyu mademu wanamkimbia ni kwa sababu ni mlevi na akilewa huwa ana dharau sana kwa wake zake na anajikojolea hovyo kitandani pamoja na kujinyea.
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Ila we jamaa ni mbeya sana aisee,

Makolo muli bwanji babaa.
 
Kwa Domo lile na Meno yale ataachaje Kukimbiwa kwa mfano Ndugu?
Hili hapa?
JamiiForums-351257054.jpg
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Kwani we jamaa una account ngapi dooh!?
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Dah...kiwango Cha chini mno Cha fikra....duh...
 
Haji Manara ni msanii anayeteketea kwa kasi maana watu washamjuwa kuwa ni mnafiki na hajitambui. Mwanamke gani anataka kuishi na mtu kama Haji?
Kibaya zaidi Mmoja wa Wafadhili wake alipo sasa anamkazia pamoja na Yule Mwandamizi Mstaafu ndani ya Chama chake alichowaibia Magari na Kuyauza Kitapeli.
 
Huyu mademu wanamkimbia ni kwa sababu ni mlevi na akilewa huwa ana dharau sana kwa wake zake na anajikojolea hovyo kitandani pamoja na kujinyea.
Umeshajua kwanini huwa anajinyea? Mtafute aliyempa Trip ya kwenda Dubai ( UAE ) alipoachana na Simba SC na Mtu mwingine ndani ya Klabu yake alipo sasa hao wana Majibu ya Kutosha juu ya huko kupenda Kujinyea Kwake hovyo.

Tunaomjua tokea akiwa Ilala Bungoni jirani na Kwao Mchezaji Ibrahim Ajib na pale Buguruni Malapa Maskani ya akina Samora ( Mchezaji wa zamani wa Boom FC na Simba SC ambaye pia ni Mdogo wake Dua Said ) tunayajua yake mengi na tulikuwa tunamchora tu.
 
Back
Top Bottom