Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Itakua mtoa mada ameinunua simu aliyokua akiitumia marehemu warumi
 
Pole zake Msemaji wa timu, Si achumbie Binti mwingine tu ambaye atakubali kuja kuzaa mbegu nyeupe?. Hapo Uto si kuna totoz nyingi tu zenye mvuto?
 
Sio mke wa pili ni mke wa tatu na umalaya umemponza juzi alikuwa anajipooza na wema sepetu.
Hafu stress za mkewe akawa anaishambulia Simba, huyo manara asipo jirekebisha stress atajiua
 
Hao hawakupendana kuna mmoja alikuwa anamjaribu tu mwenzake aone inakuwaje.
Kitaalamu watu wanaopendana na kuoana kama hakuna tukio la fumanizi basi wanadumu katika ndoa japo mwaka mmoja.
Manara alikuwa malaya wakubadili wanawake ka chupi ulitaka huyo dada amuvumilie mwaka Ili amuletee maradhi, pia huyo manara alikuwa mkorofi na jeuri kisa maarufu
 
Msukule mlevi huyoo a.k.a mzungu toleo la mwishoo
kuna siku nilikutananae kwenye night club moja mitaa ya arusha....jamaa anakula mitungi na kuvuta sigara kama hana akili nzuri.

manara ni mtu wa bata sana.
 
Dada mzuri ilikuwaje akaolewa na huyo kichaa au vile alikuwa maarufu. Hafu humu JF Kuna mtu alimtabiria manara kuwa akiondoka Simba na mke atamuacha tu lazima
Manara anavyoropoka unadhani ataweza kuishi na mke,press anazofanya zile kelele kibao kutukana waandishi unadhani ndani ya nyumbani kwake wanaishije ,Yule anakoelekea ni kama umaarufu unamponza hasa alivyoondoka Simba inaonekana ameumia ingawa yote anayofanya ni kukomoa
 
Mzee Tozi alijidai siyo kwa uno hiliView attachment 1969129
Si bure....

Wewe jamaa unapenda sana kushabikia wengine wakidhihakiwa na kupewa shutuma zisizo na ushahidi...........halafu ukibanwa katika hoja silaha yako ni kuwaita wengine "mas...ga"...si mara 1 Wala 1000......

Haiwezekani mtu apende kurudia kauli hizo kwa kila anayekinzana naye kihoja halafu wote hao anaokinzana nao wawe kweli ni "mas....ga"....

Jitathmini ndugu....
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Mambo binafsi ya mtu tuyaache kama yalivyo, tujaribu kuwa na staha kidogo kwenye masuala binafsi ya watu, ata wewe apo aujakamilika inawezekana tukianza kukufukunyua unavyoishi nyumbani kwako na familia yako tunaweza kukuta uozo zaidi ya kukimbiwa na mke, ivyo basi mijadala Kama hii nafikiri inafaa kuwekwa kwenye jukwaa la umbea na udaku uko kwingine
 
Dada mzuri ilikuwaje akaolewa na huyo kichaa au vile alikuwa maarufu. Hafu humu JF Kuna mtu alimtabiria manara kuwa akiondoka Simba na mke atamuacha tu lazima

Kuna watu humu hahah
 
Manara alikuwa malaya wakubadili wanawake ka chupi ulitaka huyo dada amuvumilie mwaka Ili amuletee maradhi, pia huyo manara alikuwa mkorofi na jeuri kisa maarufu

Manara anapendwa na wanawake ee?
 
Mleta mada acha mambo yako, aisee hakuna mwanaume asiyekuwa na msukosuko na mke wake, na hii inatokana na kuwa na hela
 
Back
Top Bottom