Sawa tumeshajua kuwa unakaa hapo ( huko ) Masaki ambako Wewe umepajua Ukubwani ila Mightier nimezaliwa Mtaa huo huo, kusomea St. Peters Kindagarten hapo kisha Oysterbay Primary ambapo Mwalimu Mkuu wangu akiwa ni Marehemu Mwalimu Ng'ambi nikisoma na Watu kama akina Idi Janguo, Aluta Warioba na Dada Brenda Msangi Boss wa CCBRT.
Na Mimi na Kaka zangu ndiyo Waanzilishi wa hizo Beach Mbili za Coco Beach na kule Slipway enzi hizo tukiwa na Wadau wengine akina Marehemu Ngapasa Mapunda na Nicky Ngonyani wa Magic FM.
Watambie Washamba wenzio kuhusu Masaki na siyo Mimi sawa? Na mpaka sasa hata aliyenileta duniani anaishi hapo hapo Masaki tena Nyumba yake ikitizamana na Bahari.
Pimbi mkubwa Wewe.....!!!!