MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Ahhaahahhaa GENTAMYCINEMikia noma tayari wametutime, mvua sijuhi hata imetokea wapi.
Wazee wetu wameshindwa kabisa kuleta jua.
Lakini hamna namna lazima mikia wafungwe hata kama ikinyesha ya mawe.
Nilidhani south africa mlisingiziwaKapuya huko Kaliua amemaliza kazi
NdioNimeambiwa kuna mvua kubwa huko Mwanza mda huu vipi Simba na Yanga wachezaji si wataanguka anguka au tutaliona soka la kiufundi? Je Mayele atatetema?
Kapuya timu gani?Kapuya huko Kaliua amemaliza kazi
una presha ya kudunguliwa?Nipo kwa utulivu kabisa hapa VIP A nikiwa sijaweka chchote tumboni toka saa mbili asubuhi
Mbona kigoma liliwaka jua lakini yanga hakushinda?..Mikia noma tayari wametutime, mvua sijuhi hata imetokea wapi.
Wazee wetu wameshindwa kabisa kuleta jua.
Lakini hamna namna lazima mikia wafungwe hata kama ikinyesha ya mawe.
Bombay FcKapuya timu gani?
wazee wa Kigoma washaishiwa uchawi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo kwa utulivu kabisa hapa VIP A nikiwa sijaweka chchote tumboni toka saa mbili asubuhi
Bombay FC ya mbagala? ile inayoongoza msimamo wa ndondo kapu?Bombay Fc
Usiwe unakariri ujinga mkuu, mvua zinanyesha sehemu nyingi kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa ayo mengine ni ya kwako unavyotafsiri wewe matukioMikia noma tayari wametutime, mvua sijui hata imetokea wapi.
Wazee wetu wameshindwa kabisa kuleta jua.
Lakini hamna namna lazima mikia wafungwe hata kama ikinyesha ya mawe.