Naomba nijue kama kudeka ni usumbufu kwenu wanaume
Mapenzi hakuna siku hizi, ukiona mtu anadeka sana kuna fursa atakuwa ameiona.Bahili wewe inaonekana
Uko je?Mimi mbona sipo ivyo
Hakuna kiumbe wa namna hiyoNadeka tu sipendi pesa
Wenye vibamia wanabaguliwa tusio na hela m atukwepa kama ukomaUbaguzi uho
Jipigie makofiMImi hapa nimepatikana
Hakuna mwanamke anayedeka bila kutarget kitu flani,mbona maskini hawadekewiSio kweli