Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa na watu mil. 1 tu kwenye mikoa 10, kimsingi ni kwamba Magufuli na CCM yake wamekataliwa kabla ya wakati

Na wewe kwanini umeweka alama ya ulizo katikati ya sentensi,hujui ni sawa na ukurupukaji ?
Unless you are quoting or writing conversation, you would not put a question mark in the middle of a sentence or a compound sentence as you have written.

Wewe na wenzako Ndutulyama KIGENE mr chopa stakehigh , vilaza mliosapoti na kutoa likes...shule ya kata mumeenda kusomea ujinga? Viazi kabisa.πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈ
 
Msamehe mpare wa Ugweno bwana Idd πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Maskini wa-tz wengi bado kuunda sentensi na matumizi ya punctuation marks ni tatizo. Blames be to CCM.
 
Kwani alitakiwa adhaminiwe na watu wangapi mkuu? Au tupe basi reference ya waliopita ilikuwaje! Huh!?
 
Kabisa! Kama wanachama wa CCM wako karibia milioni 11,lakini waliomdhamini ni 10% huenda hata CCM wamemchoka.
Na huenda hizo ndizo kura atakazopata wakati wa Uchaguzi.
 
Mkuu wangu sikuwezi maana hata hueleweki.
siyo tu kwamba huniwezi tu , bali pia hujui kitu , nimekuwekea hadi picha za masaki ( chumba maalum ) cha bao la mkono chini ya january na kinana lakini bado hujaelewa
 
Hii ni hatua ya udhamini bado hatujafikia uchaguzi mkuu kamanda.
 
Msamehe mpare wa Ugweno bwana Idd πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Maskini wa-tz wengi bado kuunda sentensi na matumizi ya punctuation marks ni tatizo. Blames be to CCM.
Kumbe ni Mpare wa Ugweno! Hahaha! Hiyo bow tie yake tu utajuwa.
 
Niulize tu, kwani udhamini ni kwa kila mtu au wanachama wao?
 

Mnalinganisha na 1.8 m waliomdhamimi lowassa
Wanasema wale walipewa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…