Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa na watu mil. 1 tu kwenye mikoa 10, kimsingi ni kwamba Magufuli na CCM yake wamekataliwa kabla ya wakati

Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa na watu mil. 1 tu kwenye mikoa 10, kimsingi ni kwamba Magufuli na CCM yake wamekataliwa kabla ya wakati

Subiri kimbunga kinakuja


'…Urais sio asali ya kila mtu kuramba na kuondoka au uji wa kila mtu kuja kuonja…' ~Dr Salmeen Amour Rais wa mwisho wa Znz kamili 1990~2000
.......Mukulu ya Bango FUNGUKA
 
MUNGU mbariki magufuli

Wapinzani wote washindwe na kulegea
 
Kimbunga kipi kama mwanaume mngemuachia member mbona kikwete alimuacha lowasa akabana anavyojua kwanini yeye amshindwe member make mkijua tabia yake yakujiona mungu MTU kuwatishia tishia watu aliowateua ndio itamkost hao hao watu ambao wameshika nafasi watamla kichwa maana wanafanya kazi pasipo kuju hatma ya kesho yao
Tupe data za kura za JK 2 vs Lowasa 2010 kama Lowasa aligombea
 
Tupe data za kura za JK 2 vs Lowasa 2010 kama Lowasa aligombea
kama mgani was siasa za inchi hii tulia ujui jk alikuwa Mwenyekiti was chama kipindi lowasa anataka urais tena awe mgombea was ccm JK aliacha figisu zifanyike hakufukuza mpaka dakika ya mwisho
 
Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .

DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil 2 unusu , sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa ccm ni mil 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa .

Mwisho wa ccm bila shaka yoyote umefika rasmi .
Bro kumbuka wazamini ni sie wanaccm majeruhi.
 
Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .

DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil 2 unusu , sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa ccm ni mil 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa .

Mwisho wa ccm bila shaka yoyote umefika rasmi .
Wadhamini ni wanachama wa CCM sio watanzania wenye kadi za mpiga kura wala umri wa kupiga kura!
 
Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .

DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil 2 unusu , sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa ccm ni mil 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa .

Mwisho wa ccm bila shaka yoyote umefika rasmi .
Ngoja tuone Tundu Lissu atadhaminiwa na wangapi.
 
Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .
Muhimu ni kutimiza idadi,na Rais alikua anaifanya kazi mwenyewe kimya kimya kasoro zanzibar tu Dr Shein alisimamia
Tembezeni za mgombea wenu apate wadhamini milioni kumi,tukutane kwenye sanduku
 
Wadhamini walitakiwa 250 tu, kwani hawajatimia au umeshagonga faru John? Halafu toka hapo nje kwenu Lori la konyagi limepata ajali, mshtue na DJ MboweView attachment 1493881
Hizi picha zenu kama MOD hazichukulii hatua kwa wanaozibandika hapa basi sasa mapigo yatakuja kwa kuleta picha 'jiwe limeinamisha kidoti' hapa jukwaani na patachafuka
 
Back
Top Bottom