Kamkuki
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 1,732
- 1,093
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanini unaandika kwa herufi kubwa? Hujui ni sawa na upayukaji?
No etiquette?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanini unaandika kwa herufi kubwa? Hujui ni sawa na upayukaji?
No etiquette?
.......Mukulu ya Bango FUNGUKASubiri kimbunga kinakuja
'…Urais sio asali ya kila mtu kuramba na kuondoka au uji wa kila mtu kuja kuonja…' ~Dr Salmeen Amour Rais wa mwisho wa Znz kamili 1990~2000
........Ujenge viwanda 8,477 na ucreate ajira 6,039,299 just in 5 years halafu uishie kupata udhamini wa Watanzania milioni 1 tu kati ya million 60 less than 2% ya Watanzania inaonyesha wazi jinsi ULIVYOFULIA.
Sasa hapa ndipo ambapo Magufuli hataki hata kupasikia , kishadanganywa na Bashiru kwamba vijana wote wa Tanzania ni UVCCM ! halafu naye kaingia chaka !.....Watani hii kitu mmefeli ...kuna mamilioni ya vijana HAWANA AJIRA
Tupe data za kura za JK 2 vs Lowasa 2010 kama Lowasa aligombeaKimbunga kipi kama mwanaume mngemuachia member mbona kikwete alimuacha lowasa akabana anavyojua kwanini yeye amshindwe member make mkijua tabia yake yakujiona mungu MTU kuwatishia tishia watu aliowateua ndio itamkost hao hao watu ambao wameshika nafasi watamla kichwa maana wanafanya kazi pasipo kuju hatma ya kesho yao
Labla kwa records za twawezaChadema ina wanachama mil11 na laki 7
kama mgani was siasa za inchi hii tulia ujui jk alikuwa Mwenyekiti was chama kipindi lowasa anataka urais tena awe mgombea was ccm JK aliacha figisu zifanyike hakufukuza mpaka dakika ya mwishoTupe data za kura za JK 2 vs Lowasa 2010 kama Lowasa aligombea
Bro kumbuka wazamini ni sie wanaccm majeruhi.Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .
DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil 2 unusu , sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa ccm ni mil 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa .
Mwisho wa ccm bila shaka yoyote umefika rasmi .
Wewe lijinga SanaKumbuka kwamba Mungu hataniwi .
Umewafumbulia fumbo jepesi kirahisi... HAWAELEWI LUGHA KAMA WASIVYOELEWA MATENDO!!nadhani wewe ndiye usiyeelewa , ikiwa ni 200 tu kama sheria ya ccm inavyotaka , unadhani wamefikaje mil 1 ?
Wadhamini ni wanachama wa CCM sio watanzania wenye kadi za mpiga kura wala umri wa kupiga kura!Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .
DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil 2 unusu , sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa ccm ni mil 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa .
Mwisho wa ccm bila shaka yoyote umefika rasmi .
Ngoja tuone Tundu Lissu atadhaminiwa na wangapi.Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .
DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil 2 unusu , sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa ccm ni mil 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa .
Mwisho wa ccm bila shaka yoyote umefika rasmi .
Muhimu ni kutimiza idadi,na Rais alikua anaifanya kazi mwenyewe kimya kimya kasoro zanzibar tu Dr Shein alisimamiaKama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana .
Hizi picha zenu kama MOD hazichukulii hatua kwa wanaozibandika hapa basi sasa mapigo yatakuja kwa kuleta picha 'jiwe limeinamisha kidoti' hapa jukwaani na patachafukaWadhamini walitakiwa 250 tu, kwani hawajatimia au umeshagonga faru John? Halafu toka hapo nje kwenu Lori la konyagi limepata ajali, mshtue na DJ MboweView attachment 1493881
Mzee unabishana na mbwa ambao wameajiriwa kwa kazi moja tu ya kupamba uovu.nadhani wewe ndiye usiyeelewa , ikiwa ni 200 tu kama sheria ya ccm inavyotaka , unadhani wamefikaje mil 1 ?