Kudhani wanawake waliofikisha miaka 30 bila kuolewa ni wanawake ambao wamekosa soko ni upumbavu wa hali ya juu...!Njoo and listen to me Matured MAN!

Hawa wanaponzwa sana na familia zao...familia ndo zinawaponza...

wenyewe hua wanakuà realy ila huhitaji kukidhi matakwa ya familia!
 
Mkuu sijaandika ili kujionyesha nikoje. Nimetoa sababu nyingine muhimu kwanini wenye 30+ wamejikuta kwenye hiyo hali. Na mimi kwa sasa ninawakataa kwa sababu kama hawajawahi kuwa na hisia nami hawawezi kuwa na hisia nami kwa sasa.
 
Kuna watu leo wataingizwa matumboni upya na watapachuliwa upya Pachuuuuuu....🤪🤪🤪🤪
 
Mkuu sijaandika ili kujionyesha nikoje. Nimetoa sababu nyingine muhimu kwanini wenye 30+ wamejikuta kwenye hiyo hali. Na mimi kwa sasa ninawakataa kwa sababu kama hawajawahi kuwa na hisia nami hawawezi kuwa na hisia nami kwa sasa.
Duniani tungekua watu tunazaliwa mara mbili hizi pisi zungetukazia zaidi ya hapa🤪🤪
 
wewe bana age go hao.
Washatumika , wanauhakika gani hao watakao kuja watadumu nao
Kila kitu ni kamari.
 
Age as go as realy wife as Come...

Just take it🤪
 
Huyu demu Ana miaka 20 kazaliwa 2004 hivo ndio kanijibu
 

Attachments

  • Screenshot_20250209_163612.jpg
    413.2 KB · Views: 1
Huyu demu Ana miaka 20 kazaliwa 2004 hivo ndio kanijibu
Familia mzee baba,trust me tuna mizoga mingi inazubaa kitaa kwa misimamo yao as because as family is Concerned...

Japo hawezi kusemea msimamo wake umetoka wapi but trust me all of them familia inahusila...

Wanatazama nani kafanya nini na wao wafanye nn kuwafikiw wale...


Sasa hawajui kwma muda una tambaa...na itapasa waogope muda unao tambaa..

maana si muda wataonekana vibibi!
 
Ni mtoto wa mwsho kwao alinambia kaka zake wa namuona bado mtoto kuolewa kwahyo wazazi wamempeleka degree akasomee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…