#COVID19 Kudhania janga la Covid 19 litakuwa mtaji wa kisiasa ni kufilisika kisiasa

#COVID19 Kudhania janga la Covid 19 litakuwa mtaji wa kisiasa ni kufilisika kisiasa

... Mfano Mkuu wa nchi anaesema tutumie mask ambazo tunao uhakika wa usalama wake kiafya, hii imekuwa kama hoja kwa upinzani na wafuasi wake. Je hii itawabeba?
Mkuu hebu twende taratibu, huenda kuna habari zimenipita jana na leo. Kuna kiongozi wa upinzani aliyetoa kauli ya kupingana na ya mkuu wa nchi kuhusu matumizi ya mask?
 
Kiki ipi wakati ccm ndo iko mjengoni walishatwaa dola, na wanaendesha vita vya uchumi. Mbinu nyingi znatumika na unazijua.
Hakuna korona bali changamoto za ipumuaji. Data hazipo sababu korona haipo.
Barakoa ni imani haba.
Barakoa si salama nk.
Zipo dawa asili chanjo haiminiki.
Kwa akili zako nani anatumia siasa, au hujfikiria?
Kati ya yote uliyosema, hii changamoto ya kupumua ni ugonjwa mpya?? Najiuliza tu ni ugonjwa gani huu ambao watu wanasema tusikusanyike bila sababu, tuvae barakoa zetu na tujifukize! Ugonjwa ambao tunasema chanjo zake si salama na kushauriwa kutumia NIMCAF? Kuna asthma ambayo mtu hupatwa na changamoto ya kupumua pia. Nilidhani "changamoto ya kupumua" ni dalili ya ugonjwa - sasa naona inatumika kama jina la ugonjwa. Je ni ugonjwa gani huo?
 
Nmesoma kichwa cha habari tu

Ila niamin nachokuambia, Ni MJINGA WA KIWANGO CHA LUMUMBA, ndio anaweza kutenganisha, corona na Siasa !!!

Kama sio mtaji wa Kisiasa, Kwann Jiwe alilitumia wakati wa Kampeni??????.

Ka sio mtaji wakisiasa, Jiulize kwann uko kwenye Mataifa ya watu, Viongozi wamepoteza nafasi zao za kuteuliwa upya, wengine wamejiuzulu kwa sababu ya corona??

Kama sio mtaji, jiulize kwann maDemos waliitumia ktk kumuagusha D.Trump???
Kwa hiyo unakubali kuwa hicho ndo kiliwafanya chadema na wenzake kuangukia pua uchaguzi ulioisha kwa upumbavu wao kudandia corona kwa lockdown na kukimbia bungeni?

Kwa hiyo bado hamjajifunza mnarudia makosa hayo?
 
Mkuu hebu twende taratibu, huenda kuna habari zimenipita jana na leo. Kuna kiongozi wa upinzani aliyetoa kauli ya kupingana na ya mkuu wa nchi kuhusu matumizi ya mask?
Unajua kusoma mkuu?
 
Mleta mada una PhD ya upumbavu.

Izo masks huyu mjinga mwenzio anazo sema zina corona kwani ndo mara ya Kwanzaa kuingia Tz. Tengenezeni za kwenu kama mmnauwezo huo.
 
Mleta mada, kufirisika ndio kufilisika?
Umekitathmini vyema ulichoandika?
Unajua upinzani ulionya yale mawazo 'hasi' kuhusu COVID wakapuuzwa?
Unajua yanayondelea kwa sasa baada ya kupuuza ile awamu ya kwanza?
Andika yako inaonyesha upeo wako wa kufikiri ni mdogo mno mno, ni bora ungekaa kimya kuficha ujinga wako.
Chukua ufuto ufute urekebishe nilipokosea. Ujumbe umeupata.
 
Mleta mada una PhD ya upumbavu,
Izo masks huyu mjinga mwenzio anazo sema zina corona kwani ndo mara ya Kwanzaa kuingia Tz. Tengenezeni za kwenu kama mmnauwezo huo
Mask kibao zinatengenezwa Tanzania bibie. Au ulitaka utengenezewe bikini ndio ulidhike?
 
Kama umeshindwa kupata majibu kupitia maelezo hayo juu

Hata hapa nikikujibu. Bado hutoweza kuelewa.
Jibu swali........ITAWABEBA??
Acha porojo!
FB_IMG_1613967691755.jpg
 
Una muda wa kupima Barakoa lakini huna muda wa kupima corona?

Unahimiza watu wasivae Barakoa kwa kuzikosoa na kwamba wasaidizi wako wanaogopa kuvaa kwa sababu wewe bosi wao huvai. Unawasifu wasivaa na kuwananga wanaovaa, bado unajiona unapambana na corona?

Wapinzani hawapo tafuteni wa kusingizia.
 
Mtaji wa kisiasa ni akili yako na siyo kuficha taarifa za matatizo kwa sababu unaogopa kuwa umeshindwa,uwazi na ukweli ni mtaji wa mwanasiasa yeyote yule, Trump yuko wapi?
 
Mtaji wa kisiasa ni akili yako na siyo kuficha taarifa za matatizo kwa sababu unaogopa kuwa umeshindwa,uwazi na ukweli ni mtaji wa mwanasiasa yeyote yule,Trump yuko wapi?
Wewe hapo ulipo umefichwa taarifa gani?
 
Una muda wa kupima Barakoa lakini huna muda wa kupima corona?
Unahimiza watu wasivae Barakoa kwa kuzikosoa na kwamba wasaidizi wako wanaogopa kuvaa kwa sababu wewe bosi wao huvai. Unawasifu wasivaa na kuwananga wanaovaa, bado unajiona unapambana na corona?
Wapinzani hawapo tafuteni wa kusingizia.
Unazidi kufilisika kisiasa.
 
Wanasema uchaguzi mkuu utarudiwa mwaka huu[emoji3104][emoji3104][emoji3104][emoji3104]
 
Back
Top Bottom