#COVID19 Kudhania janga la Covid 19 litakuwa mtaji wa kisiasa ni kufilisika kisiasa

#COVID19 Kudhania janga la Covid 19 litakuwa mtaji wa kisiasa ni kufilisika kisiasa

Hivi efficacy ya nyungu ni asilimia ngapi? tunapinga vya wengine lakini za kwetu hatuna data sahihi
 
Mleta mada una PhD ya upumbavu.

Izo masks huyu mjinga mwenzio anazo sema zina corona kwani ndo mara ya Kwanzaa kuingia Tz. Tengenezeni za kwenu kama mmnauwezo huo.
Na condom zinazoingizwa nchini nazo zina virusi? Kama kuna njama basi ingeanzia kwa condom maana ni kwa mamilioni na zimegawiwa bure na kuuzwa. Sasa walishindwa ndipo wamedandia kondomu?
 
Wana JF, hii kasumba ya wanasiasa wa upinzani kuwa wanasubiri majanga au kadhia flani itokee alafu wao wanufaike kisiasa ni kukosa busara za kisiasa.

Sasa hivi kila mwanasiasa wa upinzani amekomaa kuikosoa serikali ya Ccm bila hata kuwa na hoja zenye mashiko.

Mfano Mkuu wa nchi anaesema tutumie mask ambazo tunao uhakika wa usalama wake kiafya, hii imekuwa kama hoja kwa upinzani na wafuasi wake. Je, hii itawabeba?

Achana na hilo, bado wapinzani walitaka kupata kick ya kisiasa kutaka kuaminisha umma na jumuia ya kimataifa kuwa serikali haijachukua hatua madhubuti kupambana na jaga la covid 19. Jambo ambalo kiuhalisia sio kweli. Mlitaka hatua zipi zichukuliwe ili muone serikali inapambana na janga hili? Maana zipo taratibu za kupambana na haya majanga na ni lazima kiwango cha hatari kijulikane.

My take; Tusidhanie kuwa Covid 19 itakuwa mtaji wa kisiasa. Kama Watanzania tuonyeshe umoja kupambana na hili janga.
Labda kama inasema jiwe kwa nyuma😁😁😁😁😁
 
Wana JF, hii kasumba ya wanasiasa wa upinzani kuwa wanasubiri majanga au kadhia flani itokee alafu wao wanufaike kisiasa ni kukosa busara za kisiasa.

Sasa hivi kila mwanasiasa wa upinzani amekomaa kuikosoa serikali ya Ccm bila hata kuwa na hoja zenye mashiko.

Mfano Mkuu wa nchi anaesema tutumie mask ambazo tunao uhakika wa usalama wake kiafya, hii imekuwa kama hoja kwa upinzani na wafuasi wake. Je, hii itawabeba?

Achana na hilo, bado wapinzani walitaka kupata kick ya kisiasa kutaka kuaminisha umma na jumuia ya kimataifa kuwa serikali haijachukua hatua madhubuti kupambana na jaga la covid 19. Jambo ambalo kiuhalisia sio kweli. Mlitaka hatua zipi zichukuliwe ili muone serikali inapambana na janga hili? Maana zipo taratibu za kupambana na haya majanga na ni lazima kiwango cha hatari kijulikane.

My take; Tusidhanie kuwa Covid 19 itakuwa mtaji wa kisiasa. Kama Watanzania tuonyeshe umoja kupambana na hili janga.
Kutoka general hospital dodoma watu wanakufa kwa makumi kwenye kodi. Sababu wamekosa oxygen. Madaktari hawana vifaa Tiba sababu serikali haijanunu?
In life every human being is a political animal.
Unafikiri siasa ni kuiba kura tu???
 
Kutoka general hospital dodoma watu wanakufa kwa makumi kwenye kodi. Sababu wamekosa oxygen. Madaktari hawana vifaa Tiba sababu serikali haijanunu?
In life every human being is a political animal.
Unafikiri siasa ni kuiba kura tu???
Mtapata kick ya kisiasa?
 
Ili wakutoe kimaisha, ndio maana unaishia kuanzisha vijimada uchwara vya siasa
Wakishanitoa? Kwani sasa sijatoka kivyangu? Unadhani wewe kukosa ubunge ndio udhanie kila mtu anategemea siasa kuishi?
 
Mtapata kick ya kisiasa?
Every human being is a political animal. Ni Tanzania tu unakuta kuna mipaka. Yaani hata mwanafunzi anasoma POLITICAL SCIENCE anaambiwa asijihusishe na siasa. Na wananchi hawaruhusiwi kabisa kujadili mambo kinyume na fikra za mwenyekiti.
Huyu anaeanzisha hivi vijimaneno ni muumini wa fikra za mwenyekiti zidumu. Wengi wetu ushatoka huko
 
Every human being is a political animal. Ni Tanzania tu unakuta kuna mipaka. Yaani hata mwanafunzi anasoma POLITICAL SCIENCE anaambiwa asijihusishe na siasa. Na wananchi hawaruhusiwi kabisa kujadili mambo kinyume na fikra za mwenyekiti.
Huyu anaeanzisha hivi vijimaneno ni muumini wa fikra za mwenyekiti zidumu. Wengi wetu ushatoka huko
Tumia akili we kidampa. Ishu sio kujihusisha na siasa.Je kutumia Covid 19 kama janja ya kupata kick kisiasa itakusaidia wewe na mabwana zako?
 
Bora anayetegemea siasa kuishi kuliko anayetegemea upumbavu kuishi kama wewe
Huyu bwege alikosa ubunge amebaki kulia kama demu amepigwa mashine alafu hajalipwa. Wewe na yeye mmejaa makamasi kichwani. Muulize lazima awe mbunge?
 
Wana JF, hii kasumba ya wanasiasa wa upinzani kuwa wanasubiri majanga au kadhia flani itokee alafu wao wanufaike kisiasa ni kukosa busara za kisiasa.

Sasa hivi kila mwanasiasa wa upinzani amekomaa kuikosoa serikali ya Ccm bila hata kuwa na hoja zenye mashiko.

Mfano Mkuu wa nchi anaesema tutumie mask ambazo tunao uhakika wa usalama wake kiafya, hii imekuwa kama hoja kwa upinzani na wafuasi wake. Je, hii itawabeba?

Achana na hilo, bado wapinzani walitaka kupata kick ya kisiasa kutaka kuaminisha umma na jumuia ya kimataifa kuwa serikali haijachukua hatua madhubuti kupambana na jaga la covid 19. Jambo ambalo kiuhalisia sio kweli. Mlitaka hatua zipi zichukuliwe ili muone serikali inapambana na janga hili? Maana zipo taratibu za kupambana na haya majanga na ni lazima kiwango cha hatari kijulikane.

My take; Tusidhanie kuwa Covid 19 itakuwa mtaji wa kisiasa. Kama Watanzania tuonyeshe umoja kupambana na hili janga.
Wewe ni mwehu, Wapinzani hawana mamlaka, hawana media, hawaruhusiwi kuongea chochote mahali popote, hawajawahi kupewa mimbara Ibadani wahubiri. Ni Wapinzani gani unaowasemea hapa? Au unaizungumzia CCM? Akili zitawakaa sawa soon
 
Huyu bwege alikosa ubunge amebaki kulia kama demu amepigwa mashine alafu hajalipwa. Wewe na yeye mmejaa makamasi kichwani. Muulize lazima awe mbunge?
Mm sijasomea ubunge ila sijui wewe ulisoma nini ?
 
Mm sijasomea ubunge ila sijui wewe ulisoma nini ?
Sio wewe kibwengo usie na mbele wala nyuma. Namzungumzia huyu bwege anaelia kuibiwa kura kana kwamba ana mkataba na wapiga kura
 
Wakishanitoa? Kwani sasa sijatoka kivyangu? Unadhani wewe kukosa ubunge ndio udhanie kila mtu anategemea siasa kuishi?

Ningetaka cheo chochote cha kisiasa nchi hii ningepata kwa kujipendekeza tu kama ww.
 
Back
Top Bottom