#COVID19 Kudhibiti maambukizi ya COVID-19: Wasafiri kutoka Tanzania wapigwa marufuku kuingia Uingereza

#COVID19 Kudhibiti maambukizi ya COVID-19: Wasafiri kutoka Tanzania wapigwa marufuku kuingia Uingereza

Walitabiri kutakuwa na maiti mtaani zikidondoka ... lakini wapi !! Tuna njia zetu za asili kupambana na hivi vitu wamuulize lissu .. tuna dawa ya NIMR ile NIMRCAF kuna kujifukiza na yale majani ... kuna mchanganyiko wa tangawizi ... kwa ufupi sisi ndio wataalam wao watulie tu wajifungie sisi milango ipo wazi
lissu kashuka airport anakuta wafuasi wake mbali na kumsiliza lakini hawana barakoa,kucheki taifa watu hawana barakoa wanamuaga mzee mkapa,kufika ufipani ndio kabisaa hata sanityzer hakuna[emoji23][emoji23],akaona aaaaaagh sivai namimi bana liwalo na liwe,na halikutokea lolote,maisha yakaendelea.

ila kwa sababu tu fulani mtu anaendelea kuimba huo wimbo akitamani kitu,ila haiwezekani kutokea.
 
Kwa hiyo wewe unataka lockdown? Halafu tuishi vipi?
huyo hata ukimuuliza jinsia yake hana uhakika nayo.

swali unalomuuliza ni gumu sana kwake.
kuna kitoto kilikuwa advance mwezi may,kipindi shule zinafungwa.kikawa kinalaumu kwanini si total lockdown!!!!

nikakiambia mdogo wangu,uko shule unalipiwa ada,ukiwa home unakula na kuvaa,hujui wazazi wako/walezi wanatafutaje hayo yote.wakifungiwa ndani wiki moja tu hakuna kitakachokuwa kinaenda kama kilivyo,hata mlo mmoja utakosa,maana hela mnayo ndio,ila vya kununua si ajabu visiwepo.
 
Wave ya kwanza ya COVID dunia nzima iliuwa kwenye tafrani, hata Ulaya supermarket zilifunguliwa kwa masaa na foleni ilikua ndefu. Baada ya utafiti na kuona madhara ya uchumi. Wave ya pili imekuwa na ahueni.
**** mambo mengi wamejifunza kwenye ile wave ya kwanza na wamejizatiti. Mfano, PPE, sheria ya kuvaa barakoa, till screen partitions or shields, hand sanitizer dispensers, chemical wipes, track and trace system, n.k
 
Swali la kujiuliza ni je wenye total lockdown with "barakoa" every second mbona bado hawajamaliza tatizo tunakaribia mwaka sasa? Kuna nchi zimeua watu wao kwa vipigo vikali na kuwafungia ndani na njaa, wamechukua misaada na mikopo ya covid lakini ndiyo kwanza maambukizi yako juu.

Ninadhani kila mmoja apambane kivyake. Matokeo ndiyo yatasema. Alianza kusema TAL akiwa kwa wakubwa wake na akaja na barakoa mia nane. Alipofika hakuvaa hadi kura zilipomkataa akaondoka na barakoa kwenda kuvalia alikonunulia sijui kupewa.
Madhumuni ya lockdown ni ku slow spread of infection na sio kumaliza. Hii ni kupunguza pressure kwenye mahospitali!
 
Madhumuni ya lockdown ni ku slow spread of infection na sio kumaliza. Hii ni kupunguza pressure kwenye mahospitali!
sasa hapa bongo umeona hospital gani kuna msongamano wa wagonjwa!!!!

wao wajipange na mapambano kivyao bana.
 
Rasmi nasimama na rais wangu, mabeberu hawafai na wanatumia corona kutaka kututawala.. Rais endelea na msimamo nakuunga mkono na katika maeneo nitakayokuwa naelezea jinsi ambavyo mabeberu hawafai.
Bahati mbaya Corona ipo neutral na haina siasa haijali beberu, mzalendo, CCM wala Chadema yenyewe inachinja tu hadi dawa ipatikane. Covid itasimamishwa na wanasayansi na siyo wanasiasa. Serikali zote dunia zimeshindwa kupata majibu sahihi ya kutokomeza Corona.
 
Kwanini watoe data za corona wakati tatizo letu zaidi ni Malaria?? Au kwa kuwa wazungu wanataka hivyo?? Kumbuka corona ni ugonjwa unaowauza zaidi wazungu ndiyo maana wanahangaika sana kama ugonjwa huu ungekuwa umetuasiri zaidi Waafrika ungewaona wazungu na ubaguzi wao kama ambavyo walikuwa wanatubagua wakati wa HIV. Kwa hiyo Waafrika tufike sehemu tuwe na mbinu zetu za kushughulikia matatizo yetu siyo kila mara tufuate mbinu za kizungu tuuu!!
Hahahahahaha, walete chanjo ya malaria kwanza.......
 
sasa hapa bongo umeona hospital gani kuna msongamano wa wagonjwa!!!!

wao wajipange na mapambano kivyao bana.
Mimi siungi lockdown hapa kwetu. Lakini tusisitize kunawa mikono, barakoa na social distancing badala ya kuhubiri hakuna covid 19.
 
Sasa mbona huko ulaya na Marekani pamoja na lockdown zao bado wanakufa tu kama kuku wa kizungu?
Lockdown ni kwa ajili ya kupunguza spidi ya maambukizi ya Covid 19 ili hospitali ziweze ku cope. Mfano UK kusingekuwa na lockdowns, health care system yao ingeweza ku collapse na hatimaye kusababisha vifo vingi!!
 
Bahati mbaya Corona ipo neutral na haina siasa haijali beberu, mzalendo, CCM wala Chadema yenyewe inachinja tu hadi dawa ipatikane. Covid itasimamishwa na wanasayansi na siyo wanasiasa. Serikali zote dunia zimeshindwa kupata majibu sahihi ya kutokomeza Corona.
Tatizo hofu ya corona ni kubwa kuliko corona yenyewe ilivyo na athari zake.
 
Lockdown ni kwa ajili ya kupunguza spidi ya maambukizi ya Covid 19 ili hospitali ziweze ku cope. Mfano UK kusingekuwa na lockdowns, health care system yao ingeweza ku collapse na hatimaye kusababisha vifo vingi!!
Na hiyo ndio sababu kipindi watu kuona kuwa corona ikiingia africa basi hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Muda mwalimu mtamu sana ....IPO siku tutaelewa ...pia watalii hawaji nchi haitaki chanjo ...no budget support
 
Madhumuni ya lockdown ni ku slow spread of infection na sio kumaliza. Hii ni kupunguza pressure kwenye mahospitali!
Mkuu,swali liko palepale, kwa nini korona haijaisha Wala kupungua Kwa Nchi zilizotegemea barakoa?
 
Hii taarifa inapingana na idea za watoto wa "vidudu" labda ikiwa lugha hapa inakupigia chenga hapo utakuwa mtoto mchanga kutoka mtoto wa vidudu

The new variant was first detected in Kent in September. It is now the most common form of the virus in England and Northern Ireland, and has spread to more than 50 other countries.
The Pfizer and Oxford-AstraZeneca vaccine are both expected to work against the variant that emerged in the UK.
However, Sir Patrick said there was more concern about two other variants that had emerged in South Africa and Brazil.
He said: "They have certain features which means they might be less susceptible to vaccines.
"They are definitely of more concern than the one in the UK at the moment and we need to keep looking at it and studying this very carefully."
The prime minister said the government was prepared to take further action to protect the country's borders to prevent new variants from entering.
"I really don't rule it out, we may need to take further measures still," he said.
Last week the government extended a travel ban to South America, Portugal and many African countries amid concerns about new variants, while all international travellers must now test negative ahead of departure to the UK and go into quarantine on arrival.

Any level headed person should take these crooks seriously by bringing them to books kutokana na ku-doctor virusi vya corona na kuzalisha strains/variant ambazo have nothing to do na masuala ya mutation! Waingereza hao waulizwe imekuwaje sehemu zote walizo sambaza au kufanyia majaribio ya chanjo zao za Oxford mfano: Brazil, Afrika Kusini na Kenya ndipo pakumbwe na variat ambayo ni unique na ni Waingereza tu ndio waishtue Dunia kuhusu new variant na si W.H.O, nani kawapa Waingereza ruhusa ya ku poka mamlaka ya W.H.O wakajifanya wao ndio wasemaji wakuu, kuna kitu gani wanataka ku-pre empty kama sio wahusika wakuu wa ujinga huu - mara Waingereza waseme - oh, unajua hivi sasa chanjo za Oxford-AstraZeneca hazina uwezo wa ku-deal na aina mpya ya virusi lakini watabuni mbinu za ku-deal navyo!

Wanamdanganya nani wakati kila binadamu mwenye akili timamu anajua jinsi makampuni makubwa ya kutengeza madawa na chanjo wana mbinu nyingi za kuchezea watu akili na hasa katika kuleta taharuki kwa jamii wakiwa na malengo mawili - la kwanza: wanataka chanjo/dawa zao zisambazwe kwa wingi Duniani ili wapige hela ndefu, hilo la kwanza - la pili: Kutekeleza nia ovu ya ajenda za siri za Bill Gates na genge lake lenye lengo la kutaka ku-depopulate idadi ya watu kwenye Dunia ya tatu, nayarudia rudia haya mara nyingi tu lakini kwa bahati mbaya ni wachache wanao nielewa!

Tumshukuruni Mungu kwa kutupatia Rais msomi na mwana sayansi ambaye si rahisi Makampuni Makubwa ya madawa na chanjo kumdangaya kitu kwa kubuni horror stories za kutia Taifa taharuki zisizo
kuwa na kichwa wala miguu.

Tunakumbuka vizuri Rais Magufuli alivyo wabana /corner kisayansi walio kuwa wanapima idadi ya maambukizi ya Corona nchini, alisema mashine zao zina walakini mkubwa - sikuona WHO ikimpinga wazi wazi au kumubeza, walifyata mkia. Siku moja niliwahi kumsikia Rais Donald Trump akimsifia Dk. Magufuli kutokana na ubunifu wake, alisema haya yeye hana imani takwimu zinazo tolewa Nchini mwake kuhusu idadi ya mahambumkizi ya CORONA alisema idadi inakuwa highly inflated for political reasons ili hasiweze kushinda kiti cha urais for a second term na hicho ndicho kilikuja kumukumba.

Repeat dont you forget kwamba all Big Pharma companies na maabara kubwa za utafiti wa kibiolojia huko Ulaya na Merikani zote zinakuwa heavily funded na mfuko wa Bill/Melisa Gates foundation hivyo ni rahisi sana Bill Gates kuwapa instruction wana sayansi walio ajiriwa na taasisi tajwa kufanya chochote anacho kitaka yeye ikiweno ku-tinker around na gnomes za viruses ili wa-creat strains mpya ambazo ni more virulent kuliko vya mwanzo-kuna watu wanajaribu kusingizia mutation,wana sahau kabisa kwamba wana sayansi wana uwezo mkubwa wa ku-manipulate virus vya COVID-19 vikabadirishwa vikawa Chimera akina Gates na genge lake akili zao fyatu kabisa, watu hawajui tu akili za baadhi za mabillionea hawa za ajabu sana, kuna wakati fulani wao na CIA waliwapa maagizo wana sayansi kwenye maabara wafanye tafiti kuhusu make up za bone marrows za binadamu wenye asili ya Urusi na Uchina eti kuzifanyia tafiti, kwani nani ambaye hajui kwamba bone marrows zina play a pivotal role kwenye masuala ya (Immunity) kinga ya mwili - walikuwa wanazitafuta ili wafanye nini kama sio kutaka kuzalisha virus na vimelea vingine vyenye malengo ya kuwadhuru binadamu wenye asili za Urusi na China.

Ninacho taka kukumbusha tena hapa ni kwamba Viongozi wetu wawe makini sana na chanjo/madawa ya kudhibiti COVID-19 - hasa hasa madawa na chanjo yanayo zalishwa na makampuni Makubwa ya huko Ulaya na Merikani, tukumbuke kwamba makampuni hayo yana fadhiliwa kwa wingi na funds za Bill&Melisa foundation. Nimezungumzia kuhusu madawa na chanjo za kuzuia COVID-19.

Kuna watu wengine wanakuja na hoja hapa eti: mbona madawa na chanjo nyingi zinazo tumiwa nchini zinatoka Ulaya na Merikani, wanacho sahau hapa ni kwamba tunacho zungumzia ni ugonjwa wa COVID-19 ambao WHO wame-declare kwamba ni pandemic ie umesambaa Dunia nzima - sasa Makampuni yenye lengo la ziada ni raisi kutumbukiza ajenda zao za siri maanake wanajua fika kwamba Dunia nzima sasa haina ujanja watu wote watalazimika kuchanjwa, hutaruhusiwa kutembelea Mataifa mengine bila ya kuwa na cheti cha kuthitisha kwamba umepatiwa chanjo - kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19 kote Duniani ndio kumewapatia fulsa Makampuni makubwa ya madawa na chanjo ili yaweze kupiga hela ndefu na mengine kutumbukiza ajenda zao za siri za muda mrefu kwa kuwa watu wote Duniani watapaswa kudungwa sindano za chanjo.
 
Ushawahi kujiuliza kwanini Magufuli anaudharau huu ugonjwa? ikiwa rai wa kawaida anaona corona ipo Tz na watu wanakufa sasa iweje mtu ambaye ana taarifa za kujua nini kinaendelea lakini ila bado anadharau corona? Ni kwamba haogopi kufa au ni kipi anachokijua?
Ni rais mjinga kupindikia!
 
Ni rais mjinga kupindikia!
Kusema tu ni mjinga ni jibu rahisi,ila sidhani kama ni mjinga kiasi cha kutojali afya yake hasa kwa nafasi ambayo inamfanya kujua zaidi ni nini kinaendelea kuliko sisi wengine.
 
Lakini hii sirikali yetu inachekesha sana, ni kweli maambukizi ya korona sio makubwa nchini. Kuna ubaya gani wa kutoa data za hao wagonjwa?

Nchi yetu sio kisiwa ina muingiliano na mataifa mengine yaliyoathirika sana na wala ugonjwa huu sio wa aibu haujaanzia kwetu...kuna tatizo gani kusema hali yetu nchini kuhusu korona ikoje.

Yaani li sirikali lipo kimya japo hata kuendelea kuhamasisha raia wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa ambao dhahiri bado ni tishio duniani.
Wakati mwingine jaribu kuilewa mamlaka, inasemekana tatizo ni panic. Wakati wenzetu wakiambiwa kuna corona manesi na madaktari wanaongeza juhudi kuokoa maisha huku kwetu unakimbiwa hata kama huumwi corona. Ukionekana na kamasi tu hakuna nesi atakaye kushika. Kipindi cha matangazo ya covid watu walikufa wengi wasio na corona sababu ya panic.

Halafu kujikinga ni lazima serikali itangaze? Jikinge tu, nawa mikono, vaa barakoa kwenye mikisanyiko ukiona haitoshi jifungie. Hakuna atakaye kukamata.
 
Any level headed person should take these crooks seriously by bringing them to books kutokana na ku-doctor virusi vya corona na kuzalisha strains/variant ambazo have nothing to do na masuala ya mutation! Waingereza hao waulizwe imekuwaje sehemu zote walizo sambaza au kufanyia majaribio ya chanjo zao za Oxford mfano: Brazil...
Well said mkuu.
 
Kusema tu ni mjinga ni jibu rahisi,ila sidhani kama ni mjinga kiasi cha kutojali afya yake hasa kwa nafasi ambayo inamfanya kujua zaidi ni nini kinaendelea kuliko sisi wengine.
Wewe na mimi tunajua uhalisia wa corona kuliko mjinga asiyependa kuambiwa ukweli.
 
Back
Top Bottom