#COVID19 Kudhibiti maambukizi ya COVID-19: Wasafiri kutoka Tanzania wapigwa marufuku kuingia Uingereza

#COVID19 Kudhibiti maambukizi ya COVID-19: Wasafiri kutoka Tanzania wapigwa marufuku kuingia Uingereza

With all due respect,Rais Magufuli aendelee kuwa makini na the way analihandle suala la covid.
Kweli ni ugonjwa ila mimi naona ndani yake wameingiza agenda nyingine ambazo tukikubali watupelekeshe,tutaicheza ngoma yao ya kuona faida hapa mwanzoni ila baadae we will find ourselves rotten in their cage.
Na haya mambo wanayapeleka kwa phase.
Lakini kinachonisumbua hata usipokubaliana nao watahakikisha wanakuharibia na kukutia umaskini.
Kuna mtu aliwahi kuonya kwamba resistance ambayo mwili ya waafrika imeonyesha kwa covid unaweza shangaa kunaibuka kirusi kingine kinachoweza kubypass kinga yetu tukaumizwa zaidi..and there it is in South Africa!
Inabidi wale wote wanaoelewa mini kinaendelea chinichini duniani na hawapendi washikamane ndio njia pekee kukabili this mighty dark force ambayo some of us tunatambua inakotaka kutupeleka na hatukubaliani na hili.
In this matter,I stand with the President.

Well said mkuu, barikiwa sana - niliwahi kuonya tangu mwanzo lakini cha ajabu baadhi ya members wa JF wananijia juu na kubeza beza - hakuna cha maana wanacho changia zaidi ya ubishi tu, calling people names and what have you.

Reading between the lines nikaja guduwa kwamba kumbe majority ya wachangiaji wa mada wana kuwa driven na masuala ya itikadi za vyama na siasa kuliko kitu kingine cha maana, they thrive on ridiculing JPM's efforts to build our Nation, ni hilo tu.
 
Kucheckiwa hapa ??

Hatuwezi kuaminika tena kwenye suala hilo maana ilishaonekana hatuko serious.
Hii taarifa inapingana na idea za watoto wa "vidudu" labda ikiwa lugha hapa inakupigia chenga hapo utakuwa mtoto mchanga kutoka mtoto wa vidudu

The new variant was first detected in Kent in September. It is now the most common form of the virus in England and Northern Ireland, and has spread to more than 50 other countries.
The Pfizer and Oxford-AstraZeneca vaccine are both expected to work against the variant that emerged in the UK.
However, Sir Patrick said there was more concern about two other variants that had emerged in South Africa and Brazil.
He said: "They have certain features which means they might be less susceptible to vaccines.
"They are definitely of more concern than the one in the UK at the moment and we need to keep looking at it and studying this very carefully."
The prime minister said the government was prepared to take further action to protect the country's borders to prevent new variants from entering.
"I really don't rule it out, we may need to take further measures still," he said.
Last week the government extended a travel ban to South America, Portugal and many African countries amid concerns about new variants, while all international travellers must now test negative ahead of departure to the UK and go into quarantine on arrival.
 
Hujui chochote kuhusiana na mutation ya virus. Variant kusemwa ni ya South Africa sio lazima ilianzia huko! Angalau huko wanapima! Sisi huku vipi? Mutations hazina mipaka!!! UK sio wajinga, tuendelea kufurahia yaani. Ni utamu tu yaani.
Endeleza "utoto" naona unapenda maziwa
 
"Wengi tumeipata na tumevuka." Hayo ni maneno yako.

Sina hakika kama waliotangulia au jamaa zao wanaweza kuwa na kauli fyongo kama hiyo. Wako wapi wale wabunge, yule mstaafu na wengi wengine achilia mbali wasiokuwa na majina makubwa makubwa nao kuwa habari?

Aliyesema "usipoziba ufa utajenga ukuta" hakuwa mjinga kihivyo.

Kwamba Agha Khan wana tiba? Kwani hawazijui medical journal zinazoshughulika na taarifa nyeti kwa afya ya dunia na kwenye dharura kama hii?

Warundi wahead nyie. Msitake kutufanya sote tu mazuzu wa kumshabikia Mrundi mwenzenu kijinga jinga tu hata kama tunaopukitika ni sisi.

Hata hivyo mola wetu ni mkubwa na tulipo yetu macho. Wako wapi kina Nkurinziza?

Eeh mola wetu na ukatudhihirishie ukuu wako dhidi ya miungu watu hawa wanaojitanua na kutelekezea watu wako gonjwa linaowapukutisha hali lingeweza kuepukika. Na ikawe fundisho kuwa kwa hakika hayupo aliye mkuu Ila wewe.
(Warundi wahead nyie. Msitake kutufanya sote tu mazuzu wa kumshabikia Mrundi.)
Unamuita Rais Mrundi we fu*kn rasist?
Kwanza,warundi si binadamu kama wewe.
Hivi we mpuuzi, gorilla mmoja hivi unapata wapi mamlaka ya kutuambia rais tuliyemchagua ni Mrundi?
Utafikiwa ulipo utoe uthibitisho nyau we.
 
Kwani umekufa au bado?
kama unaogopa kufa ondoka tz kwanza mpaka siku wakitangaza hao unaowaaamini kuwa hakuna corona ndo urudi.
Unapiga kerere kwenye keyboard huku hujavaa barakoa na wala hunawi mikono na kukaa distance hata kujifungia ndani hutaki ila unataka waseme kuna corona ndo ufurahi.
Jinga kabisa, ungekua na maana kama unge vaa hata barakoa tu.

Mijamaa ya chama fulani ni mijinga na mipumbavu na hii ni kuliko maelezo. Hujidhania hata ina hati miliki ya hii nchi.

Hujidhania inajua kila kitu. Huongea lolote kumpendezesha bwana yule. Makondakta, hili hapa jingine na yote ya namna hiyo midomo utadhani limefungiwa motor kuongea upuuzi tu.

Endeleeni hivyo hivyo hadi mdudu atakapomsalimia yule bwana. Hapo ndipo akili zitapowakaa sawa. Sasa hivi mtajiona werevu mno.

Kwa mawazo yenu, mnadhani makao makuu ya Mungu ni Tanzania na makazi yake halisi yako pale chatto.

Idiots!
 
Sky Eclat ni kweli tahadhari ni bora kuliko tiba.

Ila mimi nikiwaza hawa watoto wetu wadogo mashuleni huko, naendelea kumtanguliza Mungu kwakweli

Sisi wenyewe hatuwezi
Watoto maambukizi wanapata na kupona fasta huna haja ya kuwa worried i work with them.
My Vaccination in 2 weeks 😊
 
(Warundi wahead nyie. Msitake kutufanya sote tu mazuzu wa kumshabikia Mrundi.)
Unamuita Rais Mrundi we fu*kn rasist?
Kwanza,warundi si binadamu kama wewe.
Hivi we mpuuzi, gorilla mmoja hivi unapata wapi mamlaka ya kutuambia rais tuliyemchagua ni Mrundi?
Utafikiwa ulipo utoe uthibitisho nyau we.

Wewe ni paka nyau kabisa aka kimbulu pori.

Kumbe rais ni Mrundi kama ulivyo sema wewe? Asante kwa taarifa.

Baada ya hapo si haba kukuitisha usitufokee wala kututisha mbuzi wewe.

Povu limekujaa mpaka mgongoni. Kwani hata unahitaji kununua sabuni? Nenda kafulie hilo kabla halija kukauka.

Idiot!
 
Watoto maambukizi wanapata na kupona fasta huna haja ya kuwa worried i work with them.
My Vaccination in 2 weeks 😊

Kuna bush doctor alisikika ana chanjo mitaa ya huku dongobeshi. Au ni wewe jombi?
 
Wewe ni paka nyau kabisa aka kimbulu pori.

Kumbe rais ni Mrundi kama ulivyo sema wewe? Asante kwa taarifa.

Baada ya hapo si haba kukuitisha usitufokee wala kututisha mbuzi wewe.

Povu limekujaa mpaka mgongoni. Kwani hata unahitaji kununua sabuni? Nenda kafulie hilo kabla halija kukauka.

Idiot!
💩
 
Si kuna chanjo?
Chanjo ndio imetoka. Nchi nyingi hata bado hawaja fanikiwa ku vaccinate 10 percent ya population yao.
Halafu vaccine itself haiwezi kupunguza infection spread haraka. Inabidi iende samba samba na kunawa mikono, social distancing na barakoa.
 
Je, kama ume-test negative?
Hizi nchi wanafanya maamuzi yao kutokana na research data. Hawaangali mtu mmoja mmoja bali majority.
Hapa kwetu tunakataa hakuna covid 19. Lakini hatuelezei kwanini haipo wakati majirani zetu kama Uganda, Kenya, Rwanda wanatatizo la covid 19!
 
Kwa mawazo finyu unaweza kufikiri lockdown ni solution. Mbona haijesha huko Ulaya na Marekani? Hivi unajua kuwa wengi tumeipata na tumevuka? Siamini kupigana na zimwi lisiloonekana bali kujizatiti tu.
Madhumuni ya Lockdown ni kwa ajili ya ku slow infection spread ili na sio kumaliza infection.
 
Aga Khan hospital has reportedly developed a special formula for the treatment of Covid-
Aga Khan ni hospital na sio pharmaceutical au biotechnology firm. Hawausiki na kuvumbua dawa na hata hawana kibali hicho.
Unataka kusema hao wanajua zaidi ya walio vumbua hizo dawa!!
Mbona wanasiweke wazi ni dawa gani hizo?!
 
Aga Khan ni hospital na sio pharmaceutical au biotechnology firm. Hawausiki na kuvumbua dawa na hata hawana kibali hicho.
Unataka kusema hao wanajua zaidi ya walio vumbua hizo dawa!!
Mbona wanasiweke wazi ni dawa gani hizo?!
Huelewi kijana, wao wana mchanganyiko ambao unatibu. Sijasema waketengeneza dawa. Think and read outside your sphere
 
WHO hawalali wanahangaika usiku na mchana kupata dawa hawajakaa wakitegemea maombi, sisi (Tz) wala hatujishughulishi hata kujaribu chanjo zilizopo tunasubiri rehema za Mungu.

Kwa hiyo kazi ya WHO ni kutafuta dawa ?
 
Huelewi kijana, wao wana mchanganyiko ambao unatibu. Sijasema waketengeneza dawa. Think and read outside your sphere
Huo mchanganyiko mbona wasiweke wazi? Hata wangeandika kwenye medicine journals ili watu wengine wachambue!
 
litapiga wapi wewe

mwaka mmoja toka Covid 19 imetangazwa!unatamani balaa litokeee lakini haiwi,umebaki kusononeka tu.

Walitabiri kutakuwa na maiti mtaani zikidondoka ... lakini wapi !! Tuna njia zetu za asili kupambana na hivi vitu wamuulize lissu .. tuna dawa ya NIMR ile NIMRCAF kuna kujifukiza na yale majani ... kuna mchanganyiko wa tangawizi ... kwa ufupi sisi ndio wataalam wao watulie tu wajifungie sisi milango ipo wazi
 
Unasema je kama tuliokosea ni sisi? Ama kweli "nyani haoni kundule."

Eti tuendelee kujifukiza tusife hadi dawa rasmi ipatikane. Kwa nini kujifukiza kusiwe ndiyo dawa rasmi basi?

Eti tuendelee kutengeneza pesa!

Hii inaitwa, "tamaa mbele, mauti nyuma."

Mawazo duni kabisa.
Kwa hiyo wewe unataka lockdown? Halafu tuishi vipi?
 
Back
Top Bottom