Nguvu inayotumika kujengea watu hofu kuhusu corona ni kubwa mno kuhusu ukweli wa corona yenyewe
Hadi pale jabali fulani litakapotikiswa kila mtu ana mdomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguvu inayotumika kujengea watu hofu kuhusu corona ni kubwa mno kuhusu ukweli wa corona yenyewe
Corona Ni ugonjwa wa propaganda.acheni watu waishi.
Halafu wao wanatuletea corona, ikishatapakaa wanatuzuia kwenda kwao.Japo sijafungua link...Ila sisi tunawapokea wazungu kwa vigezo kuwa wao ni watalii na wanachangia pato la Taifa.
Watozuiwa kuingia Airports za UK ni wale wasio raia wa Uingereza na Ireland na wazururaji wengine.Sasa mnamlaumu Jiwe kwa sababu ya South Africa covid variant? Ingekuwa Tanzania covid variant ningeelewa mantiki ya hiyo ban. Vinginevyo ni upuuzi na kuchanganyikiwa kwa hao wazungu wa UK.
Ok tumepigwa ban kuingia UK....kwa nchi na mtu anayejielewa hiyo ban should not be our problem, it is UK problem. UK ni paradiso?
"tumeishinda corona kwa maombi na kujifukiza,au nasema uongo ndugu zangu" 🤣
Huyu mtu ni disaster
Mitano tena
Ilimu yangu ni madrasaHivi hata Kiswahili unakijua kweli wewe?
"Eti mfano wako halisi." Huo kaa nao!
Eti "unasaidia" - ufinyu mkubwa wa akili. Muendelezo ule ule wa kujifanya donor kantre huku maskini hohe hahe.
Elimu yako tafadhali.
Kipimo dola mia"tumeishinda corona kwa maombi na kujifukiza,au nasema uongo ndugu zangu" [emoji1787]
Huyu mtu ni disaster
Mitano tena
Na ndio wanaotuletea..Japo sijafungua link...Ila sisi tunawapokea wazungu kwa vigezo kuwa wao ni watalii na wanachangia pato la Taifa.
Angalia usije ukawa mmoja wa wajinga wa jiwe wanaopinga ugonjwa unaoua watu kila uchwao, tafadhali acha kupinga ukweli.Naona uanze wewe kabwera, unayeishi kwa kusaidiwa kuwaza.
😀😀😀😀😀eti jiwe hili jina linachekesha kweli😀😀😀😀Imebaki tu kwa jiwe kuugua na kufa ndio utakuwa mwisho wa kudharau ugonjwa huu.
Lakini hii sirikali yetu inachekesha sana, ni kweli maambukizi ya korona sio makubwa nchini...kuna ubaya gani wa kutoa data za hao wagonjwa?!.
Nchi yetu sio kisiwa ina muingiliano na mataifa mengine yaliyoathirika sana na wala ugonjwa huu sio wa aibu haujaanzia kwetu...kuna tatizo gani kusema hali yetu nchini kuhusu korona ikoje.
Yaani li sirikali lipo kimya japo hata kuendelea kuhamasisha raia wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa ambao dhahiri bado ni tishio duniani
Na sisi kama tuna ubavu tupige marufuku raia wa Uingereza kuingia humu nchini wakati tunategemea watalii kupata fedha za kigeni.
Kuna nchi zingine zitaiga hatua hii ya UK na mwisho wa siku tutajikuta tumetengwa.
Jiwe kavurunda sana kwenye issue ya Covid.
Malaria ina dawa zake covid19 haina dawa.Tutatoaje data za wagonjwa wa mafua ? Covid ni mafua makali malaria inaua kuliko covid mbona huombi data zake
Hapo kwenu kuna mgonjwa yeyote? Kama hakuna hayo ni mafua ya kawaida piga kazi acha blah blahLakini hii sirikali yetu inachekesha sana, ni kweli maambukizi ya korona sio makubwa nchini...kuna ubaya gani wa kutoa data za hao wagonjwa?!.
Nchi yetu sio kisiwa ina muingiliano na mataifa mengine yaliyoathirika sana na wala ugonjwa huu sio wa aibu haujaanzia kwetu...kuna tatizo gani kusema hali yetu nchini kuhusu korona ikoje.
Yaani li sirikali lipo kimya japo hata kuendelea kuhamasisha raia wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa ambao dhahiri bado ni tishio duniani
Walishasema na kuutangazia ulimwengu kwamba corona imetoweka nchini, sasa wataanzaje tena kutoa data za maambukizi!?Lakini hii sirikali yetu inachekesha sana, ni kweli maambukizi ya korona sio makubwa nchini...kuna ubaya gani wa kutoa data za hao wagonjwa?!.
Nchi yetu sio kisiwa ina muingiliano na mataifa mengine yaliyoathirika sana na wala ugonjwa huu sio wa aibu haujaanzia kwetu...kuna tatizo gani kusema hali yetu nchini kuhusu korona ikoje.
Yaani li sirikali lipo kimya japo hata kuendelea kuhamasisha raia wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa ambao dhahiri bado ni tishio duniani
Ambako hawana disaster wao wameshinda korona kwa njia gani?"Tumeishinda corona kwa maombi na kujifukiza au nasema uongo ndugu zangu" [emoji1787]
Huyu mtu ni disaster
Mitano tena