Tusubiri wapate chanjo itakayodhibiti aina mbalimbali, kama wao tu wamejichanja saizi wanasema corona nyingine inatoka A. Kusini, itabidi wajichanje tena, nyingine sijui Brazil itabidi wajichanje. Tusubiri tuKuna chanjo inasambazwa kwenye nchi mbalimbali duniani Tanzania bado hatujaruhusu chanjo hiyo kuingia.