Kudorora mapokezi ya Rais Samia kutoka Marekani Tatizo limeanzia hapa...

Watanzania siku hizi hawana maneno mengi Ni vitendo tu.
 
Hawaaminiki unaweza kuta dreamliner ilitumika. Kwani wanalipa kodi? Kwani wanaijua chungu ya mizigo ya tozo wanayotutwisha?
Matumizi mabaya ya tozo. Sisi tunafunga mkanda tujenge nchi watu wanazitumia kwenda kulia bata marekani.
 
Daaaaa kumbe kipusa ana rudi leo du watz tuna roho mbaya hata kumpokea kipusa katoka un
 
Daaaaa kumbe kipusa ana rudi leo du watz tuna roho mbaya hata kumpokea kipusa katoka un
Watu hawana habari kabisa. Chama kikubwa kukaa kimya hivi ujue kuna tatizo.
 
πŸ˜… bora hata sijapoteza MB zangu kuangalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…