- Thread starter
- #81
Zambia na Guinea kwa sasa ndio wako kwenye PeakTupo katika nchi ya vibrant democracy halafu sifa wanapewa ZAMBIA..Sijapenda kiukweli..[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zambia na Guinea kwa sasa ndio wako kwenye PeakTupo katika nchi ya vibrant democracy halafu sifa wanapewa ZAMBIA..Sijapenda kiukweli..[emoji16][emoji16]
Mama alikuwa anatetemeka kwa sababu alikuwa anasoma uongo.Nchi ya ajabu sana hii, Mama alionekana akisoma speech huku akiwa nervous huku mataifa huru yakimsanifu kwa unafiki wake uliotukuka.
Halafu Chama cha Mazezeta kwa kutumia Tozo za kuwaniga Wananchi ndio zinatafunywA kwa kumfanyia Hangaya Tafrija.
Kha!
Ile speech ya Kikwete kwenye mazishi ya Mandela ilikua speech bora kuliko zote za karne hiiTokea yalipo elezwa ya kua anakwenda kuandika historia kwa kuhutubia baraza la umoja wa matiafa nikajaribu kurudia ya mkoa Kikwete na mwalimu nyerere walipokua wakifanya kitu kama hicho kwa kweli sijaona jipya au cha muhimu kuzidi walio mtangulia, na pengine walio mtangulia walikua Bora, mathalani hotuba ya Kikwete wakati fulani baraza la 66 ile hotuba ilikua bora kuliko, nadhani ilikua ya 2011, huko alielezea kuhusu Tanzania na nchi jirani na Tanzania na hata Afrika kwa ujumla.mengi aliyaongelea yaliokuwa yanavuta attention kuendelea kusikiliza tena.
Huyu wa kwetu zaidi ya promo kwa kweli na ujinga wangu kwenye mambo hayo sijaona la mno!
Yule mama PM Mia Motley wa Barbados aliwezaje?Zambia na Guinea kwa sasa ndio wako kwenye Peak
Kama hamna ubavu wa kumrudisha Magufuli kaeni mtulie! Kila zama na kitabu chake!UNGA umeisikia wapi?
Hakuna anayetamani roho mbaya ya Jiwe. Tunataka na Mama asirudie yale yale ya Jiwe. Ndio maana tunmshauri akitaka achukue akitaka aache.Kama hamna ubavu wa kumrudisha Magufuli kaeni mtulie! Kila zama na kitabu chake!
Tozo na Polisi kutofata PGOTozo imemuharibia kila kitu
Nalog off
Ndio hata Rais msimokee. Mna roho mbaya nyie.Tuna mambo mengi na ya msingi ya kufanya.
😅😅😅Raisi wa Zambia pamoja na kualikwa WH na kupongezwa na Dunia kwa Speech nzuri hajafanyiwa Tafrija
Sisi hapa upigaji wa Tozo ndio unatengenezewa mazingira.
Wanataka Mama ashangiliwe utadhani ametoka Kupigana Vita kuu ya DuniaYule mama PM Mia Motley wa Barbados aliwezaje?
Tupo kwenye nchi ya Single Party tutakuwa rated kivipi? Shamefully!
PGO inawapa shida sana mapolisi wetuTozo na Polisi kutofata PGO
Kwa sababu aliwaondoa wenzake kirahisi na yeye kudhani kwamba alivyojiita JIWE ndio hataondoka.Mbona mie nna access na mitandao ya kijamii wala hata sijafatilia kujua huyu mother kahutubia nini ila nasikia tu UNGA.
Kwanini lakini Magufuli uliondoka kirahisi hivyo!
Yaani kweli Marekani nzima hadhi aliyopewa Rais wa JMT ni kupokelewa na Mange?? inasikitisha sanaAligyopokelewa na Mange tu Biashara iliishia hapo
HahhaKwa sababu aliwaondoa wenzake kirahisi na yeye kudhani kwamba alivyojiita JIWE ndio hataondoka.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Wamempatia kweli kweli .. ameshindwa kujiongeza. Wanalichezea tu.Mama wamemwingiza chaka.
Lakini yeye pia ni memba. Hata yeye ana moyo wa nyama. ana hofuWamempatia kweli kweli .. ameshindwa kujiongeza. Wanalichezea tu.