Kudorora mapokezi ya Rais Samia kutoka Marekani Tatizo limeanzia hapa...

Hotuba yake ilijaa ujinga mwingi, nimeisoma yote chakushangaza neno Covid 19 limejirudia zaidi ya mara kumi, Tanzania tunashida nyingi sana na kama tunahitaji mchango kutoka nje angejikita huko.

Muhimu zaidi, umasikini, ujinga, maradhi ni matatizo sugu way way back before hiyo Covid yao.
 
Hotuba yake ilijaa ujinga mwingi, nimeisoma yote chakushangaza neno Covid 19 limejirudia zaidi ya mara kumi, Tanzania tunashida nyingi sana na kama tunahitaji mchango kutoka nje angejikita huko.
Alidhani atapatia Kiki kwa kuwa mtangulizi wake akiwaudhi Mabeberu kwa kuwa Chief Dinier in Covid
 
Alidhani atapatia Kiki kwa kuwa mtangulizi wake akiwaudhi Mabeberu kwa kuwa Chief Dinier in Covid
Umelenga mulemule, hotuba iliandaliwa kishamba sana na kwa sasa ni dhahiri kaonyesha ni kwa jinsi gani anaweza kutumiwa akatumika, kama alitumika na Magufuli na akaicheza ngoma ya kisukuma vilivyo, leo imewekwa ngoma nyingine ya pwani ndio hivyo sasa anaserebuka nayo kuliko kawaida. Pathetic.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Sahihi anaweza akatumika vyema. Proved.
 
Walialikana hawajafika??
[emoji848][emoji848]
 
Watanzania ni waelewa sana, kama hawapendi kitu wanakaa kimya!
Kwenye hotuba yake amesahau kuuambia Ulimwengu
"nimekuja kujitambulisha" bila kusahau jinsia yake!
Ziara zake zote ni hasara tu, kama nchi tumeliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…