Pasco katika hili nakubaliana na wewe kiasi fulani.
M4C iko kwenye right track hizo kasoro unazojaribu kuzionyesha ni vitu vidogo sana ambavyo haviwezi kuzuia ushindi wa Chadema 2015 kama wananchi wataendelea kupokea elimu ya uraia kama inavyoenezwa na Chadema kupitia M4C.
Mkuu Mwita Maranya, kwanza nawapongeza sana kwa M4C so far so good!.
Kubwa ambalo bado ni "umimi" wenu!, peke yenu hamuwezi!, mark my words and time will tell!.
Pamoja na anticipation kubwa yote ushindi kwa uchaguzi wa 2015, naomba niwape angalizo ya badiliko kubwa kwenye rules of the game kwa uchaguzi ujao wa 2015 litakaloletwa na katiba mpya!, ushindi sasa sio simple majority tena bali ni 51% win kwa Tanzania bara na Tanzania visiwani, hivyo uchaguzi wa rais, utakuwa na re-run kama mtu hajafikisha hiyo 51% majority na katiba yetu itafungua room ya coalition govt between parties ili kufikisha ile 51% majority hivyo mtake msitake, mkubali mkatae, lazima mkae chini na CUF mzungumze!.
Look at this scenario, suppose CUF imeshinda Zanzibar, 51% majority kwa uras wa Zanzibar na Chadema imeshinda bara, ili uwe rais wa muungano lazima upate 51% ya kura za Wanzanzibar, bila back up ya CUF, mgombea wa Chadema atapata wapi 51% ya Zanzibar?
Ili kuutwa urais wa Muungano, baada ya Chadema kushinda lets say 80% ya bara na 10% ya Zanzibar, huku CCM imeshinda 20% ya bara na 30 % ya Zanzibar, CUF itatangazwa mshindi wa urais kwa Zanzibar akisubiri kuunda serikali ya mseto na whoever atakayeshinda kwenye re-run ya Zanzibar.
Kwa vile both CCM na Chadema, hakuna aliyepata 51% majorty kwa kura za muungano, then uchaguzi wa Rais wa muungano unarudiwa wote regardless ile 80% victory ya Chadema huku bara, hivyo determinant ya nani anashinda urais lies with kura za CUF kule Zanzibar, CUF iki side na CCM, ni CCM ndio itakayoshinda ile 51% majority ya Zanzibar, hivyo issue ya Zanzibar inakuwa settled kuwa ni CCM na CUF, ngoma sasa inakuja kuchezwa bara, kwa Chadema kulazimishwa coalition na CCM ambayo obviously ita run 2nd!
Kama Chadema, watakubali kuachana na pride yao na kujishusha kuinyenyekea CUF, 2015 kura za CUF kwa urais wa muungano zitaelekezwa Chadema, hivyo mgombea wa Chadema ku scoop 51% majority from each side, in this case, CCM itatupwa out!.
NB. This is only hypothesis tukisubiri matokeo ya katiba mpya!.
Pasco.