Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Iwe Chadema au CCM, ifikapo 2015 Watanzania tusifanye makosa ya kuchagua Rais asiyekerwa na umaskini wetu ndani ya nchi yenye resources zote za kutufanya tuwe nchi tajiri na mfano Afrika. Tulikosea miaka ya nyuma, tusirudie makosa. Ee Mwenyezi Mungu tusaidie.
 
Unataka wafanane na magamba sio, wao ndio wanajuwa kuvumiliana hata kama ukiwa fisadi watakuvumilia tu, na ni bora kuwatimua wanakiuka katiba ya chama licha ya kupewa mda wa kuombaradhi wanakuwa viburi, hii ni nzuri kuliko kuwaacha watu wawe juu ya chama
 
sina uhakika, lakini nasikia sumaye aliomba kuingia chadema ili agombee urais. kama chadema wakimkubalia, basi bila shaka chadema kitapoteza wana chama wengi tu na kitaanguka vibaya. kama kimewaza kufika hapa bila kuwategemea hao mafisadi ambao wakishindwa ndiyowana ona umuhimu wa chadema. na nina uhakika chadema wana mtaji mzuri tu wa kuandaa viongozi bora wanaoweza kugombea nafasi ya urais

Kwa nini watu mnapenda kukausha koo zenu hata pale ambapo hapastahili kupigwa yowe?? Mpaka CDM imuombe Lowasa kugombea urais ni kwamba tunataka kuamini kauli za Sita?! Kama anakuja kama mwanachama wa kawaida wa kuongeza idadi ya kura, basi anakaribishwa. Karibu ndugu LOWASA.
 
Kwa nini watu mnapenda kukausha koo zenu hata pale ambapo hapastahili kupigwa yowe?? Mpaka CDM imuombe Lowasa kugombea urais ni kwamba tunataka kuamini kauli za Sita?! Kama anakuja kama mwanachama wa kawaida wa kuongeza idadi ya kura, basi anakaribishwa. Karibu ndugu LOWASA.

Okay nakubaliana na wewe kabisa, nili ova luku kidogo, kama atakubaliwa kama mwana chama wa kawaida tu. thanx
 
Mjadala huu ni very constructive.Niliona niwe msomaji zaidi ili niwe focused katika kujifunza,kweli wachangiaji wengi wametoa lecture ya kutosha kabisa!Bravo
 
Hivi CHADEMA itakapochukua nchi mwaka 2015 na kumkomboa mtanzania kutoka kwa mkoloni wakijani ungeshauri tuwatendeeje hawa waliotufikisha kwenye janga hili lakitaifa ambalo ni ufisadi, umaskini, elimu duni,sanaa michezo nautamaduni wa Mtanzania kufikia hapa tulipo leo tuwafanyeje je? tuwaache tusherehekee ukombozi pamoja au wafanyiwe kama china wanavyofanyiwa tafadhali toa maoni yako weka uzalendo mbele.
 
Wapewe kazi ya kufukia yale mashimo yote ya migodi iliyomalizwa madini na kuachwa mahandaki. Inauma sana aisee
 
Kwa wale wanaofaham comptition wataelewa wanacho kifanya cdm wanaleta ushindani wa kutenda mazuri kuwaongeza mashabiki wake,ndio hivyo itakavyo kuwa ikingia madarakani itapenda kutenda mahajcu ili ionekane ccm walikuwa wanawapotezea mda tu watanzania tuichague cdm ili ilete ush
 
Wanabodi, Preamble: "Kwa opinion yangu, Uchaguzi wa 2015, Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!"!Trend za Upepo wa Kisiasa kuelekea 2015, zinavuma kwa Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is nothing to stop it kuchukua nchi mwaka 2015 iwapo...
  • Chadema is doing the right thing!. Doing the right thing alone, doesn't guarantee sweet clear victory for Chadema, it got to do things right!. Hii inamaanisha ili Chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
  • Hivyo ndugu zangu viongozi wa Chadema najua 2015 mmedhamiria kwa dhati kuchukua nchi kwa ushindi wa kishindo!, lakini ili lengo hili litimie, ni lazima kwanza mkubali kusikiliza, pili mkubali kuzifanyia kazi hizi hoja na tatu mkubali kubadilika!.
  • Imethibitika pasi shaka kuwa uchaguzi wa 2015, Ikulu ni ya Chadema, hivyo sasa kuelekea 2015, kila dalili zinaelekeza Chadema kuchukua nchi, ila kwa maoni ya wengi serious waliochangia thread hii (ukiondoa wale wa ushabiki), wengi wamekubali Chadema iko on the right track, ila ili kutimiza lengo hilo la kubisha hodi ikulu, na kukubaliwa kuwa mpangaji rasmi wa jengo lile, lazima Chadema ikubali kubadilika, apart from doing the right thing kama inavyofanya sasa, it got to do things right!

  • Asanteni

    Pasco.
Naendelea kufanya rejea, haya ndio yaliyokuwa matumaini ya Chadema kuchukua nchi!, kwa hiki kinachoendelea sasa, kweli bado kuna matumaini?!.
Pasco.
 
Mkuu BAK, determinant factor ya ushindi wowote kupitia ballot box ni idadi ya kura halali!. Matokeo yakishatoka, "the end justify the means", kama mshindi alihonga ili apigiwe kura au alichakachua, kura batili zika its way into ballot box, mshindi ni aliyeshinda no matter what!. Hao wanahongwa pilau, t-shirt na kofia na kupiga kura zao in favour ya CCM, kura zao ni halali kwa sababu hiyo ndiyo ridhaa yao!.
No doubt you are one of the most premium great thinker!mie tunatofautiana kwa mzee wako Yule!ccm itashinda kwa kishindwo Kama haitamsimamisha your only one!hii saccoss inaaminika majukwaani tu,inafaa sana Kuwa upinzani kwani inachangamsha kila idara lakini nakuhakikishia haifai kiongoza nchi hasa Tanzania!umaarufu kidogo tu wanataka kutoana Roho Vipi wakipewa nchi?
 
Wanabodi, Preamble: "Kwa opinion yangu, Uchaguzi wa 2015, Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!"!Trend za Upepo wa Kisiasa kuelekea 2015, zinavuma kwa Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is nothing to stop it kuchukua nchi mwaka 2015 iwapo...
  • Hakuna ubishi kuwa siku zote, CCM imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali "kihalali" na mtaji wao mkubwa wa ushindi ni "watu".
  • Hakuna ubishi kuwa CCM kama chama, kimechoka, dalili zote za chama kichovu kinachosubiri kifo, tayari, zimeisha jitokeza kwa CCM, kinachosubiriwa sasa its only a matter of time ni lini kitaangwa rasmi, hiyo 2015 naiona kama vile ni mbali, unless wamsimamishe their one and only jewel!.
  • Hakuna ubishi kuwa wengi wa hao "watu", wamekuwa wakiichagua CCM sio kwa sababu wanaipenda sana!, (waipende kwa lipi?), la hasha!, "watu" wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu!.
  • Hakuna ubishi, kuwa wengi wa hao "watu" waliokuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, sasa wameichoka, hivyo uchaguzi wa 2015, hawatachagua tena chama kwa mazoea, bali watachagua chama kwa "sababu"!.
  • Hakuna ubishi kuwa Chadema, ndicho chama kinachokubalika zaidi kwa sasa kuliko CCM, hivyo ule mtaji mkubwa wa CCM iliyoutegemea kwa miaka nenda miaka rudi, sasa umehamia Chadema!.
  • Kama ambavyo CCM imekuwa ikichaguliwa kwa mazoea tuu, na sasa CCM imechokwa, vivyo hivyo kwa sasa Chadema haina lolote la kukifanya kipendwe, bali kinapendwa kwa sababu "watu" wameichoka CCM!.
  • Kama uchaguzi utaitishwa leo, Chadema itashinda kwa kishindo kikubwa cha ajabu, lakini ukiwauliza hao watakaokipa Chadema ushindi, ni sababu zipi za kuichagua Chadema, hawatakupa sababu yoyote zaidi ya kuichagua Chadema kwa sababu wameichoka CCM!.
  • ili Chadema iweze kupata ushindi wa Tsunami kwa uchaguzi wa 2015, lazima Chadema ikubali kubadilika, isiendelee kuutegemea huu umaarufu wa muda kwa kushangiliwa na umati wa watu walioichoka CCM, bali Chadema sasa lazima iwape Watanzania sababu za kuichagua Chadema!.
  • So far so good, Chadema is doing a good job chini ya Uongozi Shupavu wa Kamanda Mbowe na kinara wa M4C, Dr. Wibroad Slaa, Chadema is doing the right thing!. Doing the right thing alone, doesn't guarantee sweet clear victory for Chadema, it got to do things right!. Hii inamaanisha ili Chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
  • Hivyo ndugu zangu viongozi wa Chadema najua 2015 mmedhamiria kwa dhati kuchukua nchi kwa ushindi wa kishindo!, lakini ili lengo hili litimie, ni lazima kwanza mkubali kusikiliza, pili mkubali kuzifanyia kazi hizi hoja na tatu mkubali kubadilika!.
Naomba kumalizia kwa nukuu kutoka kwa mmoja wa wanachama wetu humu jf.Kwa wale wapenzi wa Chadema, for sure, Uchaguzi wa 2015, Chadema inaweza kabisa Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If "Itabadilika" and provided that CCM haitamsimamisha yule mgombea wangu!. Japo ni vema kuwa na great expectations on Chadema kuchukua nchi 2015, only if Chadema itabadilika, vinginevyo keep hopping for the best na kama Chadema haitabadilika, you better get prepared for the worst kwa sababu 2015 itakuwa ni CCM Tena!.NB. Msiniulize Chadema wabadilike nini, wahusika wameshaambiwa imebaki kusikiliza na kutekeleza!.Naomba kuwasilisha.Pasco.
UP DATE 1.Kufuatia maswali mengi kuhusu Chadema wabadilike nini, naomba kumnukuu mmoja wa great thinkers wetu humu jukwaani

NB. Kwa maswali yoyote kuhusu haya mambo ambayo Chadema inahitaji kubadilika, naomba uyaelekeze moja kwa moja kwenye thread husika hapa.CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
UPDATE 2: Input ya Mchambuzi.

UPDATE 3: CLOSING REMARKS YA MKUU NGURUVI3



CLOSING REMARKS.
Wababodi, baada ya 25 pages each with twenty posts, with a total 500 Posts Plus, imethibitika pasi shaka kuwa uchaguzi wa 2015, Ikulu ni ya Chadema, hivyo sasa kuelekea 2015, kila dalili zinaelekeza Chadema kuchukua nchi, ila kwa maoni ya wengi serious waliochangia thread hii (ukiondoa wale wa ushabiki), wengi wamekubali Chadema iko on the right track, ila ili kutimiza lengo hilo la kubisha hodi ikulu, na kukubaliwa kuwa mpangaji rasmi wa jengo lile, lazima Chadema ikubali kubadilika, apart from doing the right thing kama inavyofanya sasa, it got to do things right!.

Baada ya maneno haya, sasa kwa heshima na taadhima naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa hawa wafuatao.
  1. Mkuu Mkandara, topic yako ya ndio was the inspiration ilionifanya kuanzisha hii thread na niliepuka kukutaja wala kukuquote popote kwa sababu maalum. Asante kwa kujitanabaisha kama mwana Chadema ambaye uko tayari kusimama na ukweli, "no matter what"
  2. Mzee Mwanakijiji , ile quote yako niliyoitumia humu, imekuwa kama ndio "colabo" ya hit single kwa mwanamuziki mchanga, kumshirikisha "star mkubwa" ili atoke!, ndivyo ilivyokuwa hii thread, imefikisha record hits kwa mada yangu yoyote kufikisha posts 500 in two days, hii ndio mara yangu ya kwanza, na naamini kuna wachangiaji walichangia thread hii kwa ajili ya quotation yako. Ingawa wewe binafsi hukuchangia kwa sababu ambazo ninazifahamu fika, thanks for being you, who you are!.
  3. Mkuu Mchambuzi, ule uzi wako wa ndio the subject matter ya hii mada, kwa jinsi ninavyokusoma humu, naamini wewe ni genius kwenye politics zetu, kama Chadema wanakusoma na kuzifanyia kazi hoja zako, 2015, hatuzungumzii ushindi wa Chadema, bali how big the margin is, kati ya mshindi na mshindwa!.
  4. Mkuu Nguruvu3, wewe ni other political genius wetu humu, nilikufahamu kupitia theory yako ya "demage control" na kuendelea kukufuatilia kule kwenye Jukwaa lako, hii closing remarks yako, ni faraja kubwa kwangu, kuendelea kuibua topic ambazo sio popular kwa wana jf wengi, ila huu ndio ukweli halisi ambapo siku zote, kweli itasimama.
  5. Na mwisho, napenda kuwashukuru, wachangiaji wote mlioungana nami katika mada hii, ni vigumu kumtaja kila mtu, lakini shukrani za pekee ziende kwa wachangiaji changamoto akiwemo Mag3, J Mushi, Nicholas, na wengine wengi ambao japo hatukubaliani, lakini tumeishia kukubali kutokubaliana na hii ni healthy kwenye mjadala wowote. Mimi pia ni binadamu kama binadamu wengine, huwa nakwazika na kuwakwaza wengine, na especial kwenye mada yoyote inayomhusu "yule mgombea wangu"! tusameheane na tuzidi kusonga mbele kwa maslahi ya taifa.

Nakufikia hapa, naomba sasa ku declare rasmi, mjadala huu, umefungwa rasmi!
this Topic is officially Closed by the thread starter!!
Nafanya rejea nilivyoiona Chadema 2012, na hii Chadema ya sasa kuelekea 2015!.
Pasco
 
Wanabodi,
Ushauri huu niliutoa 2012, leo miaka miwili baadae, naupitia na kuukuta ushauri wangu huu bado ni very valid, naanza kuukumbushia kidogo kidogo kadri 2015 inavyokaribia, ili baada ya 2015, nifanye stock taking, walishauriwa nini, walifanya nini, walipuuza nini na matokeo ni nini!.

Pasco.
 
Ni rahisi sana kuuliza swali lolote kuliko kutoa jibu sahihi..

Umeandika mambo mengi lakini haujasema 'specifically' wabadilike katika mambo yapi..; ?




  1. wabadilike kutoka uana harakati wawe chama cha siasa
  2. waache kusubiri ccm wakosee ndio iwe mtaji wa kujitangaza
  3. wafanye evaluation za operations zoote walizo fanya waone kama zimesaidia kiasi gani the wabadili strategies zao.
  4. sera ya maandamano imesababisha vifo vya watu wengi kwa kupigwa na vitu vyenye ncha kali pamoja na mabomu ya kutoa machozi hivyo waangalie jinsi ya kunusuru maisha ya wapenzi/wanachama wao kwa kutumia njia mbadala
  5. kuna wapenzi wa cdm wanapenda kujibu matusi kwa watu ambao wanatofautiana nao kimawazo hii ina sababisha watu wadhani cdm ni chama cha vurugu na matusi (kama huamini watch the comment za pro cdms)
  6. and the list goes on.....
 
Jamani mimi ni mwanachamam wa ccm, ila kiukweli haya maneno yameniingia sana moyoni, viongozi wa chdm fanyieni kazi
 
Wanabodi, Preamble: "Kwa opinion yangu, Uchaguzi wa 2015, Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!"!Trend za Upepo wa Kisiasa kuelekea 2015, zinavuma kwa Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is nothing to stop it kuchukua nchi mwaka 2015 iwapo...
  • ili Chadema iweze kupata ushindi wa Tsunami kwa uchaguzi wa 2015, lazima Chadema ikubali kubadilika, isiendelee kuutegemea huu umaarufu wa muda kwa kushangiliwa na umati wa watu walioichoka CCM, bali Chadema sasa lazima iwape Watanzania sababu za kuichagua Chadema!.
  • So far so good, Chadema is doing a good job chini ya Uongozi Shupavu wa Kamanda Mbowe na kinara wa M4C, Dr. Wibroad Slaa, Chadema is doing the right thing!. Doing the right thing alone, doesn't guarantee sweet clear victory for Chadema, it got to do things right!. Hii inamaanisha ili Chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
  • Hivyo ndugu zangu viongozi wa Chadema najua 2015 mmedhamiria kwa dhati kuchukua nchi kwa ushindi wa kishindo!, lakini ili lengo hili litimie, ni lazima kwanza mkubali kusikiliza, pili mkubali kuzifanyia kazi hizi hoja na tatu mkubali kubadilika!.

  • Asanteni

    Pasco.
Naendeleza tafakuri ya uwezekano wa Chadema kushinda 2015!,kwa kuangalia niliona nini, na nini kimefanyika, nini bado na jee uwezekano bado upo?!.
Pasco
 
Thanks jamani mjadala ndio unatakiwa kuanza maana uchaguzi bado ndio unashika kasi huwez kufunga... mpaka 2015 nov tutafunga tukiwa na latest updates
 
Thanks jamani mjadala ndio unatakiwa kuanza maana uchaguzi bado ndio unashika kasi huwez kufunga... mpaka 2015 nov tutafunga tukiwa na latest updates

Mkuu,chadema kwa sasa hasa juu ya haya maamuzi ya kumfukuza Zito nafikiri wana rudi hatua mbili nyuma badala ya kwenda mbele.
 
Wanabodi, Preamble: "Kwa opinion yangu, Uchaguzi wa 2015, Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!"!Trend za Upepo wa Kisiasa kuelekea 2015, zinavuma kwa Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is nothing to stop it kuchukua nchi mwaka 2015 iwapo...
  • Hakuna ubishi kuwa siku zote, CCM imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali "kihalali" na mtaji wao mkubwa wa ushindi ni "watu".
  • Hakuna ubishi kuwa CCM kama chama, kimechoka, dalili zote za chama kichovu kinachosubiri kifo, tayari, zimeisha jitokeza kwa CCM, kinachosubiriwa sasa its only a matter of time ni lini kitaangwa rasmi, hiyo 2015 naiona kama vile ni mbali, unless wamsimamishe their one and only jewel!.

  • Pasco.

Kwa vile wamemkata, sasa njia ni nyeupe kwa UKAWA.

Pasco
 
Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?
Tatizo una fwata upepo hujielewi. kama kijana amka acha itikadi zaki zee wewe. haitaji darasa kuelimishwa hilo sio chadema tena ni UKAWA acha uzoba ndugu
 
Back
Top Bottom