Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Thanks Mukandara.
Nadhani hayo ni sehemu ya mabadiliko anayosema Pasco. Kwamba wabadilike kutoka hapo walipo na kurudi katika nafasi yao. Ni ukweli moja ya mambo yaliyowajenga CDM ni sehemu kama hizi, sijui kwanini wameamua kuwa 'out of touch' na public

Pasco ana point kuwa CCM wamechokwa, hata bila sababu nzito watu wamechoka kwasababu hakuna jipya. Wanajua utendaji wa serikali ya CCM, Chama na Bunge. Hawatarajii jambo lolote zaidi kwamba wamefika 'yield point' beyond that..

Matarajio ya Wananchi ni kuona Chademawanaongoza kwa mtazamo na njia tofauti.
Inaonekana huko siko wanakoelekea!
Ifike mahali wananchi waone tofauti ya vyama hivi viwili kiitikadi, kiutendaji na kuwajibika.
Endapo hawatabadilika itafika mahali watu wanasema, better the devil you know than the angel yo don't know.
There should be a clear demarcation between the past and the future.
Mkuu Nguruvi3, sina neno la kuongeza, wenye masikio, wamesikia.
 
Pasco.Kila mtu ataona juhudi yako ya kutoa ushauri na kujadili sana hoja.Ila hili hapa mimi nabisha.Na nina bisha neno "kihalali" na neno "watu".

Kwa jinsi chaguzo zimeendeshwa ni wazi neno halali si valid kama lilivyo zoezi zima la uchaguzi.Sheria inarushuru tume kutangaza mshindi.Jua kutangaza mshindi si kuchunga ushindi wa mshindi.

Uchaguzi ni process ni process inayoanzi mbali,kuanzia uteuzi, tume kuridhis wateule, kampaeni, kupiga kura, na matokeo.Bila kote kufanyika kwa kiwango kinachokubalika kisheria na uadilifu matokeo yanaweza yasilingane na uhalisia na hivyo kufanya yasiwe "halali au valid" nadhani umeshalewa ninapoelekea.Hakuna ubishi kuwa tume haipo huru na hivyo haina "uhalali" kuleta matokeo "halali".

Tofauti ya CCM na watu wengine ni kwamba CCM kama ilivyo TBS yao huwa wanaangalia matokeo katk zoezi lenye stage nyingi.TBS wanaangali ubora wa Ufungaji wa asali ila hawana uangalizi wala viwango kwa uzalishaji wa asali huko kwa wafugaji wa nyuki,na hivyo kutoguarantee(kutohakikisha au halalisha),ubora wa asali kwa mtumiaji.Ndio maana si TBS walioona kuwa asali ya Tabora ina sumu iliyotokana na sumu iliyipigwa katika tumbaku.Tupo pamoja mkuu wangu?

Kuhusu watu huwezi sema kuwa CCM ilikuwa na mtaji watu halafu ukaenda halalisha kuwa ndio maana CCM kushinda utakuwa unarahisisha sana mambo.This is politics n apolitics mtaji wa kila chama cha kisiasa ni watu,so huwezi sema watu walikuwa mtaji kwa CCM na wasiwe kwa CDM.Nadhani umeshaanza ona how Logically flawed is your concept?

Mtaji watu ni too Obvious and against CCM,tofauti zita base on "how many" people would vote.Na hawa si lazima wawe wanachama.Records zinaonyesha raia walio wanachama kwa ujumla wake ni wachache kuliko wasio wanachama.Kwa hiyo wanachama wa CCM hawana influence sana.CDM walikuwa na impressive records ya kuwa na wahudhuriaji wengi na wao ndio wamechangia kutokeza kwa wapiga kura wengi ingawa pia watu wanegi walikosa kwa kutokuwa na vitambulisho au kuhama n ahivyo kushindwa piga kura.


Hii hoja ni mfu na wametumia sana mkandara na mchambuzi na occasionally Pasco.Tofauti ni lugha tuu katik ya mchambuzi na Mkandara

Na kusisitiza kuwa chadema lazima wabadilike bila kuwa na solution wabadilike katik nini ni kufanya ushauri mfu kama si kuita upinzani.CDM wapo dyanimic na M4C imekuja na concepts za mageuzi na mabadiliko kila idara,kuanzia agenda,propaganda, kuongeza wanachama, etc.Kwa hiyo kitu "kubadilika" si kuwa wewe ndio unawafundisha ila wana ki practice sasa hivi kwa kasi ya ajabu ndio maana CCM wapo katika mawazo yaleyale na propaganda zilezile ila failures zilezile wakati CDM igunga hawakuwa na hata mgombea ila sasa kura walizozipata n astronomical", arumeru hawakuwa na mbunge leo wana mbunge waliyempata kwa kumbana CCM na tume katik kila angle kama hewa inavyobanwa ndani ya tube.


Ushauri si amri kwa hiyo si lazima kuufuata kama unaona hauna manufaa, n aushauri hautolewi kwa mtu kwa kumwambia sokoni kwa kutumia Microphones.

So far wapo successful inaonyesha kuwa wamesikiliza ushauri wa watu wengi,na kuuafanyia kazi,pia wamesikia ushauri wenye malengo ya kipumbavu sana tena mara nyingi sana na hawakuufanyia kazi.mfano upo kwenye ushauri wa WanaCCM ambao hata kushauri chama chao hawajaweza ni vipi wataweza mshauri mpinzani ambaye kila siku anwashida kwa hoja,mbinu na kila kitu.Na its illogical kufikiri kuwa mtu mwenye akili timamu akimshauri adui jinsi ya kushinda vita.Hizi postings ushauri wa wengi ni kama ushauri wa mtu anayetaka fanya "suicide".

Its funny kuwa Mwanakijiji namheshimu na anaheshimika sana katika tasnia ya habari, na hii quote niliona katika thread husika.Ingawa sikuweza ipatia tafsiri sahihi hivyo nikaipotezea na sikuona haja ya kutaka kueleweshwa sana.Ila nakumbuka wapo watu walikuwa wakisuggest sana CDM imjukuishe katik safu ya uongozi.Na mmojawapo ya wachangiaji waliowahi shauri hilo si mwingine ni Mkandara.Its no coincidence huyu controversial mkandara alikwenda mbalia sana kushauri vijana aliowaona kuwa wasomi mmojawapo ni Michuzi. Nadhani unaweza ona mambo jambo issues za wachangiaji humu ndani.Nimekupa hii highlight ili uwezo kuona kwamba kuwa, mbali na wewe kuipa credibility hii posting kwa vile unadhani inasupport nortion zako,pia hatuna hakika kuwa mwanakijiji hakuathirika na mawazo ya akina Mkandara.Na pengine majaribio yake hayakuleta matokeo aliyoyategemea na hivyo hakuwa katika position ya kukubali procedures za kuingia CDM na ku climb ladders.Hii inaweza pia kuelezea kilichoandikwa.

Kwanini watu wasione ugumu wa CDM kushaurika nndio power yao badala yake watu wanakimbilia kuita udhaifu wao?Kwa jinsi nimeona washauri wengi tuu,tena wengine wana wafuasi kibao na katika media wana mawazo ya kukurupuka sana.Pia si best options in a long term.

NIMEONA GAZETI MOJA LINA ARTICLE KAMA WARAKA WA MKANDARA KWA CDM.Sisemi uongo lile gazeti nimeliweka katik list ya vimeo,nimelichanachana palepale.Its funny huyu mkandara anaye fumble kuelezea hiyo "big theory yake ya doing right thing in a right way" hapa JF ndio kapata hiyo coverage nyepesi.Hili ni anguko la utashi na wepesi wa wachambuzi wa taifa.taifa hili limekuwa na magazeti kama takataka tuu,hakuna gazeti mtu anaweza liweka ktik shelf n akulisoma siku unataka angalia concepts na approaches za watu wengine.


Pasco unajua mnakuwa wepesi sana kama wale watu walikuwa wakipigwa na kuwapiga wengine pasi enzi zile kunyoosha na kutibu maumivu ya mgongo.

CDM wala hawahitaji wazo la kubadilika na hata jinsi ya kubadilika,wana njia zao za kupata data na wanafanya choices zao si kwa porojo za vijiweni ina based on conreate facts.

Kuhusu mgombea wako sipendi pinga kuwa ni influencial ila lazima atengue kitendaliwi hiki.(Yeye asiwe Mzigo kwa CCM, na CCM isiwe mziko kwake),pia aweze washawishi wazee wote pale CCM ambao hawapo tayari tena kusubiri miaka inayoweza kuwa 10 au zaidi.Aweze washawishi kwa kiasi cha kuwafanya wakubali kushindwa na kubaki bila hasira na tamaa itakayofanya wamchafue zaidi huku wengine wakijidai kuwa wanamsapport.

NADHANI HAPA NDIPO PANAHITAJI USHAURI WAKO KULIKO CDM.Chadema wanauwezo wa kumbomoa yeyote katik CCM pamoja na CCM yenyewe.ILa watafaidi sana CCM ikijivunja yenyewe.Uchaguzi ujao CDM ikiwepo yeyote atakayesimama anashinda kama hakuna big and samart move upande wa CCM."Big sacrifice".

Muda si mrefu msajili wa vyama anakuwa useless kw ahivyo hawezi futa CDM tena, majeshi tayari kuna vijana kibao si wana CCM achilia mbali wazee.

"Naomba msinione kuwa mnoko n ampiga sumu katika kila mazalia yenu"
Mkuu Nicholas, leo ndio nimekufikia na kiukweli hoja zako nyingi zimeisha jijibu kupitia majibu kwa wengine, tusiurefu sana huu mjadala bila sababu za msingi, walengwa wamesha sikia, unless kama bado kuna burning issue kwenye post zako za mbele, nitazikia na nitazijibu!.

Ila pia na wewe naomba unijulishe kabla kama na wewe unazo tabia za "kike" za kususa, ili nizijibu posti zako zote kabla hujasusa!.
P.
 
Kumbe kuna watu humu wanataka likes, hivyo sasa likes zangu ndio huzitaki!.
Ila pia kama ulidhania mimi natoa likes kwa sababu ndio nimependa sana ulichopost, you've mistaken,
mimi natoa likes as a notification kuwa nimekusoma, na ni kawaida yangu kutoa like kwa kile anayechangia thread zangu.
Ushauri tuu, ili likes zangu zisigeuke kero kwako, nakushauri usichangie tena thread yangu yoyote, like yangu kamwe hutakaa uione!. Please usijisumbue kuijibu hii post kwa sababu sitakujibu kitu tena!.
Mzee wa things right usiyeelewa hata maana yake.Nilikwambia usiijibu kama hutaki nirudi hapa.We mnafiki sana!Hasira kwasababu huwezi jibu hoja,umebakia kujibu post nyingine na kudai eti unarudi kinyumenyume!wapi wewe na mchezo wako huo.PM upate upate msaada kama yamekushinda!Nimeshakwambia sitojibu kama usipojibu.Ninajuwa kuna ambao wanayasimamia maswali yangu na mengine mengi unayo ya ignore!mambo ya kitooto!eti hata nikianzisha thread nisichangie kwasababu unatoa likes!kwani ukimquote mtu hapati notification?like miye sitoi kinaifki,nikiitoa ni kwamba kweli nimelike something about it!si kila mtu anauweza unafiki!Na wala miye sina style ya ku ilke posti ambayo siipendi contents zake kama wewe.

Ninaweza kuilike post kama nataka kuja kuifanya reference amakuipitia baadaye na kusioma nk.Hayo ya notification ili mtu arudi kujibu,inatakiwa umquote ili akirudi ajuwe cha kujibu.Hilo la kulike kwasababu ya kuchangia sijalizungumzia,na sababu uliyoitoa mwanzoni ni hilo la notification.

Unaweza kuendelea na mjadala wako,again,kama hutaki,do not quote.Na kama you don't like it,then don't give it a "like"
 
Nguruvi3,heshma mbele,unaweza kuja hapa kuchangia mkuu ili tuelewane?nimeshindwa kuelewa naomba uje hapa utoe msaada.Ni ombi mkuu maana inaonyesha mnakubaliana na ndugu Pasco.

Tafadhali sana mkuu ningependa uje hapa,na ndugu Mchambuzi ambaye ulilizungumzia suala la things right vs right things,unaweza kuja hapa mkuu?maana ndugu Pasco amelitumia bandiko lako kwenye hoja yake,kama umemwelewa,naomba uje hapa kuelewesha wengine ambao tuna maswali. Wale ambao bado hawajawaelewa nyie ma great thinkers,ni ombi mkuu.
Mzee Mwanakijiji pia na wewe kwa mara nyingine,nakuomba uje hapa ili tuweze kueleweshana.Nilimwomba ndugu Pasco aniwekee link ya thread ili niweze kuona context ulyoitumia kuyasema maneno ambayo Pasco ameyatumia kama mojawapo ya kauli za kuiback up hoja yake.Ni muhimu mkaja na kutuelewesha.

Natanguliza shukran!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukitaka kupunguza pressure jifunze kuchukulia mambo in a positive way.
Umemjibu pasco kwa busara but kuna chuki ndani yake, mimi ni mwanachama wa chadema so ikitokea mtu kakunyoshea kidole jiulize tuu kwanini? then unaangalia kama lina manufaa ama la kama halina unalitupilia mbali, kumbuka sio kila ushauri una madhara kwako unaweza utupilia mbali. Viongozi wote ni binadamu kama sisi tukubali kukosolewa then watch our back!!!.

sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm
Mkuu The One, nafanya marejeo kabla ya kuhitimisha hii thread, wewe ni mmoja wa wanachama ambao ni hazina kubwa kwa Chadema, nimeipenda sana reasoning yako. Thanks!.
P.
 
Mkuu Mkandara, hili la viongozi wa Chadema kurudi humu kuendeleza mijadala ni gumu, kwa sababu jf hii ya sasa sio jf ile, enzi zile kulikuwa na mijadala watu wakibishana kwa hoja na lugha za heshima na staha, sasa watu wanabishana kwa viroja, dharau, kebehi na matukana ya kila aina!. Mfano nimencheki Dr, post yake ya mwisho ni April, Zitto angalau anapita tuu kuperusi. Humu ndani sasa ni utoto mwingi, ujinga mwingi, kunyoosheana vidole kila kukicha, hivyo watu very serious, wanaona its a wastage of time ila naamini hoja zako zimefika,kuna watu makini type ya JJM haya watayazingatia!.

P.

Wakuu zangu Mkandara na Pasco,

Ni wazi kuwa JF ya siku hizi imepoteza mvuto kwa watu serious! Kwa kweli Pasco ameleta bandiko linalogusa epicenter ya ushindi wa CDM 2015! Surely ningetamani CDM wawemo humu, kama ZZK, JJM, TL na wengineo ambao naamnini wana uwezo kuchangia growth ya CDM!

Ni wazi kuwa kama CDM watabadili na kufanyia kazi kero chache chache zinazoelekezwa kwao, 2015 itakuwa huree kwao. Hata kama CCM watamsimamisha EL, CDM wana nafasi nzuri sana ya kubadili dola 2015! Waache mambo ya kubweteka na nyomi ya sasa, muda bado sana, sijui kama kuna strategies zozote serikali za mitaa, hapa ndipo wanapotakiwa kutumia uchaguzi huo kama "mtihani wa moko" kuelekea 2015!!

Pasco dont loose tamper, tutashindwa kumjua nani ni nani!!!
 
Mkuu Nyunyu,kama unakubaliana na Pasco kwamba mabadiliko ya chadema ni kumsimamisha Zitto,basi na wewe umepotoka.Zitto huyo ambaye hatoi ushirikiano na wenzake ndo mnataka aje kujibu hapa?sidhani kama atafanya hivyo.

Nisikufiche mkuu,humu tunatoa ushauri tu,lakini kazi ya chadema wanayoifanya especialy m4c,ndicho kinachotakiwa,kuwafikia wananchi wa kweli na si hivi vivuli humu ndani!Tena wala usjidanganye eti sapoti ya JF ndo sapoti ya wananchi.Kama ni ikulu mbona JF ilishawaingiza chadema 2010?ilikuwa ukiingia hapa,unadhani kuwa nchi haina kipingamizi inachukuliwa!

So kwa kifupi,hao uliowataja,pamoja na kwamba tunahitaji maoni yao,wao pia wanahitaji yetu.

Sijasema kwamba chadema ni perfect na kwamba haiitaji mabadiliko,tatizo ni hamsemi ni mabadiliko gani hayo ili tujadiliane kwa hoja.

Pasco,ameongezea bandiko la Mchambuzi,sikufanikiwa kuchangia kwenye thread ile,lakini madhali yumo humu na nimem mention,hopefuly atakuja tujadiliane kwa hoja,maana nimeona ziko za kumjibu vyema kabisa bila wasiwasi,na amezungumzia mbali na "things right vs right things",pia amesema ufisadi siyo hoja ya kuwakomboa watanzania,jambo ambalo sikubaliani naye kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale ambao tulikuwa wasomaji tu kwenye mtanange huu wa magreat thinkerz hadi kufikia hapa kila mmoja
anajibu lake kichwani.

Wenye macho wameona na wenye masikio wamesikia...MCHELE umeonekana na PUMBA zimeonekana.

So hakuna haja ya kugombana! munaweza kuifunga hii thread kwa amani tu.
 
Mchele tunauchukua...Pumba tunaenda kuzitupa kwenye dampo.

Na bado tutaendelea kujifunza na kuchagua yale mazuri kutoka kwenu.
 
Wakuu zangu Mkandara na Pasco,

Ni wazi kuwa JF ya siku hizi imepoteza mvuto kwa watu serious! Kwa kweli Pasco ameleta bandiko linalogusa epicenter ya ushindi wa CDM 2015! Surely ningetamani CDM wawemo humu, kama ZZK, JJM, TL na wengineo ambao naamnini wana uwezo kuchangia growth ya CDM!

Ni wazi kuwa kama CDM watabadili na kufanyia kazi kero chache chache zinazoelekezwa kwao, 2015 itakuwa huree kwao. Hata kama CCM watamsimamisha EL, CDM wana nafasi nzuri sana ya kubadili dola 2015! Waache mambo ya kubweteka na nyomi ya sasa, muda bado sana, sijui kama kuna strategies zozote serikali za mitaa, hapa ndipo wanapotakiwa kutumia uchaguzi huo kama "mtihani wa moko" kuelekea 2015!!

Pasco dont loose tamper, tutashindwa kumjua nani ni nani!!!
Mkuu Nyunyu, asante kwa ushauri. Natamani kulitumia bandiko lako hili as closing remarks!. Thanks.
P.
 
Tatizo la Pasco na group lake hawasemi chadema ibadilike nini? anasema vitu kwa mafumbo mafumbo

Labda


  1. [* Pasco unataka viongozi wa chadema ambao hawajaoa wala kuolewa, basi waoe ama kuolewa kabla ya 2015 kufika?
    [* Pasco unataka waache kuvaa kombati may be wanawatisha wananchi?
    [* Pasco unataka chadema isitishe mara moja M4C, wasubili uchaguzi 2015?
    [* Pasco unataka wajifunze na wao kuwanunulia ubwabwa, kofia, kanga, vilemba, na kuwagawia pesa wananchi kipindi cha uchaguzi kama wanavyofanya ccm?
    [* Pasco unataka chadema ihache kumtaja taja Lowasa kwamba ni mwizi na ni waziri mkuu aliejiuzuru kwa kashfa ya aibu ya ufisadi
    [* Pasco unataka chadema imuunge mkono na kumpa ushirikiano Tendwa?
    [* Pasco unataka chadema ihache udikteta wa kufukuza madiwani walichaguliwa na wananchi?
    [* Pasco unataka chadema ihache kususia na kutoka nj'e bungeni
    [* Pasco unataka chadema isitishe maandamano kwa sababu hayana tija kwa watanzania?
    [* Pasco labda anataka chadema ifunge ndoa na ccm kamailivyo CUF kule visiwani?
    [* Pasco labda ????
    [* Pasco labda ???
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale ambao tulikuwa wasomaji tu kwenye mtanange huu wa magreat thinkerz hadi kufikia hapa kila mmoja
anajibu lake kichwani.

Wenye macho wameona na wenye masikio wamesikia...MCHELE umeonekana na PUMBA zimeonekana.

So hakuna haja ya kugombana! munaweza kuifunga hii thread kwa amani tu.
Mkuu Mshikachuma, the matchmaker, nakupa urefa, raund 12 zimemalizika, tangaza kuisha kwa pambano. Toa points za Chadema Ibadilike vs Iendelee Hivyo Hivyo ilivyo!.
 
TEHE! TEHE! HII BAHARI UNAIJUA AU UNATAKA KUISUMBUA MAHAKAMA. Just to help you.


Actus Reus Non Facit Reum Nisi Mens Sit Rea: (Latin): conviction of a crime requires proof of a criminal act and intent. (Evidence is weighted not counted) N.B weighed is a primary school english(SHULE ZA KATA) in law.


AdProximum Antecedens Fiat Relatio Nisi Impediatur Sentintia(Latin): relative words must ordinarily be referred to the last antecedent, the last antecedent being the last word which can be made an antecedent so as to give a meaning.

Hey:
Kwanza unakubali
Evidence is a piece of information that supports a conclusion

Pili unakubali

There is more than one type of evidence

Hiyo paragraphy ya pili iangalie vizuri kama in support unachobishania.
 
Tatizo la Pasco na group lake hawasemi chadema ibadilike nini? anasema vitu kwa mafumbo mafumbo

Labda


  1. [* Pasco unataka viongozi wa chadema ambao hawajaoa wala kuolewa, basi waoe ama kuolewa kabla ya 2015 kufika?
    [* Pasco unataka waache kuvaa kombati may be wanawatisha wananchi?
    [* Pasco unataka chadema isitishe mara moja M4C, wasubili uchaguzi 2015?
    [* Pasco unataka wajifunze na wao kuwanunulia ubwabwa, kofia, kanga, vilemba, na kuwagawia pesa wananchi kipindi cha uchaguzi kama wanavyofanya ccm?
    [* Pasco unataka chadema ihache kumtaja taja Lowasa kwamba ni mwizi na ni waziri mkuu aliejiuzuru kwa kashfa ya aibu ya ufisadi
    [* Pasco unataka chadema imuunge mkono na kumpa ushirikiano Tendwa?
    [* Pasco unataka chadema ihache udikteta wa kufukuza madiwani walichaguliwa na wananchi?
    [* Pasco unataka chadema ihache kususia na kutoka nj'e bungeni
    [* Pasco unataka chadema isitishe maandamano kwa sababu hayana tija kwa watanzania?
    [* Pasco labda anataka chadema ifunge ndoa na ccm kamailivyo CUF kule visiwani?
    [* Pasco labda ????
    [* Pasco labda ???
Watu mna njaa na kiu ya mabadiliko,
Chakula mpikiwe, mpakuliwe kwenye hotpot, muwekewe mezani, mpakuliwe kwenye sahani, kula huli hadi mlishwe, haya mpaka umelishwa tafuna basi umeze, hutafuni hadi nimewatafunia imebaki kumeza tuu!, sasa hata kumeza mnashindwa?!. Kasome Mchunguzi amewatafunia, sasa meza!.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Only83, mimi kazi yangu ni mwandishi wa kujitegemea na nimejibobesha kwenye siasa. Siitegemei CCM wala Chadema, au chama chochote kuendesha maisha yangu kiasi kwamba unadhania nasubiria shilingi itaangukia upende upi ndipo nichague!. Ila pia miiko ya taaluma yangu, inanitaka nisiegemee upande wowote na hivyo ndivyo nilivyo, siegemei upande wowote!. Ofisi za CCM Lumumba huwa nakwenda, pale Mtaa wa Ufipa yalipo makao makuu ya Chadema pia huwa nakwenda, na makao makuu ya CUF buguruni pia hufika na kote huko hufika kutekeleza majukumu yangu bila kuegemea chama chochote!.

Nilipoendesha kipindi cha "Kiti Moto" sikupendelea upande wowote, na soon nitapandisha program nyingine ambayo haitaegemea upande wowote!.
wewe kama mwandishi unatia aibu.Postings zako zimeonyesha jinsi ulivyo biased.Hujasupport hoja zako kwa hoja,ila kwa nguvu za kupost vitu vingi,kudanganya,kupotosha kwa makusudi etc.
Naomba nikiri udhaifu wangu, ni kusema ukweli kupindukia na kusema ukweli huku, kumeisha nicost sana kwenye maisha yangu lakini ndio ukweli wenyewe!. Just imagine una mke wako wa ndoa, shetani anakupitia, unachepuka kidogo, mke anaambiwa, unakiri kuchepuka, anafungasha anaondoka ndoi imeishia hapo!, mnasuluhishwa anakaa kata kata kisa ulikiri, kwenye vikao vya usuluhishi wazee wanakushauri next time kanusha, hata kama ni kweli, kataa kata kata!. Mimi nilisimama na ukweli and paid the price!.

Hili la CCM kuchokwa ndio ukweli wenyewe!, na hili la Chadema haijajipanga, nalo ndio ukweli wenyewe na hili angalizo ninalowapa humu, kuwa Chadema isipobadilika, Ikulu mtaishia kuisikia tuu!. Huu ni ukweli mchungu ila ndio ukweli wenyewe!.

Mashabiki wa Chadema humu, wanajiaminisha kila unaye wakosoa lazima ni CCM, na hivyo ndivyo hata wewe unavyoamini!. Endeleeni kubeza huku siku zinasogea, by the time you realize the truth, it might be too late too little time to do things right!.
P.

Wakati unapiga blah blah zako uliponifurahisha ni hii trick ya novice ya "kutaja mapungufu kwa kutumia positive qualities" .Tupo dunia tofauti sana.Hizi ni trick wale jamaa watoa ushauri kwa recruits,ambao huwaambia watu ktk maswali wataulizwa maswali haya na haya halafu majibu yao yawe hivi na hivi.Mi nilishaapa kutopoteza muda kusoma non-sense za interviews za kazi, ila nitajifunza negotiation skills kwani zingenisaidia ktk business na hata katk conflicts. mimi huwa interview nilikuwa nawa interview pia hao interviers wengine wali kasirika na wengine waliofunguka kifikra walikubaliana nami na kunipa kazi. Maswali ya kijinga kama "can you work under pressure? bila kuniambia pressure gani , ni kusaini mkataba wa kinyonyaji au kumuonyesha muajiari mwenye akili kuwa upo tayari kuuza haki zako za msingi. Hapa kwa waliofanya kazi na wanyonyaji wa kichina/wahindi/waarabu and the type watanielewa, Kwanini mimi huwa nawataka waweke kauli sawa.Yaani hiyo pressure itatoka wapi?katika demands za task au pressure za kipuuzi toka kwa supervisors?Mimi nilikuwa nikiwapa kiasi cha malipo nitakacho,longolongo nyingine niliwapa live kama hawawezi lipa ni wazi hawana uwezo wa kuniajiri,full stop.Wapo waliweza elewa na wapo waliweka hisia zao.Siwezi shangaa kwa majibu yenu ya kukariri na kuchekesha kama ya Zitto alipokuwa akijibu maswali kuhusu magari ya kifahari .Hakuacha jiwekea vionjo ya ubishoo ambavyo this time,vilikuwa vinathibitisha against himself.
 
Mkuu Nicholas, leo ndio nimekufikia na kiukweli hoja zako nyingi zimeisha jijibu kupitia majibu kwa wengine, tusiurefu sana huu mjadala bila sababu za msingi, walengwa wamesha sikia, unless kama bado kuna burning issue kwenye post zako za mbele, nitazikia na nitazijibu!.

Ila pia na wewe naomba unijulishe kabla kama na wewe unazo tabia za "kike" za kususa, ili nizijibu posti zako zote kabla hujasusa!.
P.

haha..kwa hiyo unadhani huhitaji jibu?Acha upuuzi kwanini nisuse sasa?naona unajitahidi tafuta support za kizembe kutojibu palipo kushinda.Pia kwa vile umeshaona jinsi gani unafanya wrong things right.Sasa adhabu yako ni kufunga mjadala na kuenda jipanga upya.ili ukaanze kwa kufanya right thing.

By the way mimi nafanya multiple tasks at the same time.Hivi ndivyo ubongo unapenda.So kama nina kitu nafanya nje ya computer na outdoors then its obvious sitakuwa na uwezo wa kufuatilia mambo.
 
Pasco,unaposema "things right" una maanisha kitu gani kwenye muktadha wa chama cha kisiasa?
 
Last edited by a moderator:
I salute you Pasco, ushauri mzuri ni jukumu la CDM kuangalia wapi panafaa wanyofoe wakayafanyie kazi......sasa itakuwaje yule mgombea wako akiona hiki ulichoandika, si ataona umeanza kuvaa gwanda?
 
Mkuu Nyunyu,kama unakubaliana na Pasco kwamba mabadiliko ya chadema ni kumsimamisha Zitto,basi na wewe umepotoka.Zitto huyo ambaye hatoi ushirikiano na wenzake ndo mnataka aje kujibu hapa?sidhani kama atafanya hivyo.

Nisikufiche mkuu,humu tunatoa ushauri tu,lakini kazi ya chadema wanayoifanya especialy m4c,ndicho kinachotakiwa,kuwafikia wananchi wa kweli na si hivi vivuli humu ndani!Tena wala usjidanganye eti sapoti ya JF ndo sapoti ya wananchi.Kama ni ikulu mbona JF ilishawaingiza chadema 2010?ilikuwa ukiingia hapa,unadhani kuwa nchi haina kipingamizi inachukuliwa!

So kwa kifupi,hao uliowataja,pamoja na kwamba tunahitaji maoni yao,wao pia wanahitaji yetu.

Sijasema kwamba chadema ni perfect na kwamba haiitaji mabadiliko,tatizo ni hamsemi ni mabadiliko gani hayo ili tujadiliane kwa hoja.

Pasco,ameongezea bandiko la Mchambuzi,sikufanikiwa kuchangia kwenye thread ile,lakini madhali yumo humu na nimem mention,hopefuly atakuja tujadiliane kwa hoja,maana nimeona ziko za kumjibu vyema kabisa bila wasiwasi,na amezungumzia mbali na "things right vs right things",pia amesema ufisadi siyo hoja ya kuwakomboa watanzania,jambo ambalo sikubaliani naye kabisa.

Mkuu umenena, tatizo tulio wengi hatujui kuwa wanasiasa wanaiitaji JF kuliko JF inavyowaitaji wao. Mi naamini hapa yamekosekana majina tu lakini kimichango tupo nao muda wote.!!
 
Last edited by a moderator:
I salute you Pasco, ushauri mzuri ni jukumu la CDM kuangalia wapi panafaa wanyofoe wakayafanyie kazi......sasa itakuwaje yule mgombea wako akiona hiki ulichoandika, si ataona umeanza kuvaa gwanda?

Inaonyesha kuna sizable group of members who fear brightness very much.Hakuna ubishi wapenda giza hushirikiana kwa vile hupotea mara nyingi kuliko wapenda mwanga ambao wapo huru kuenda wapaonapo.
 
Back
Top Bottom