jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mchambuzi,nashukuru sana kuja na kurespond.Sikujuwa kwamba tunakubaliana kuhusu hilo la rushwa.Umezungumza ukweli.Nilidhani kwamba ulimaanisha kuwa rushwa/ufisadi,siyo issue ambayo chadema should capitalize on kwenye mpambano wao na chama tawala.
Ni kweli rushwa ni adui wa haki.Ila jambo moja nalotaka kuweka msisitizo hapa,ni kwamba hilo neno,lilikuwa more relevant nyakati zile za mwalimu kuliko sasa.Yes ni adui wa haki,lakini it is more than that,na ndiyo maana sikushangazwa rushwa kuitwa ufisadi,kwasababu it is beyond that.
Nasema hivyo kwasababu madhara ya rushwa nyakati za mwalimu,siyo sawa kabisa na madhara haya tunayoyaona sasa,na nyakati za mwalimu hatukuwa na kina Lowassa wala Rostam Aziz just to name the few.
Rushwa kuwa adui wa haki,nyakati hizo,walengwa walikuwa ni wananchi masikini wasioweza kuhonga(rushwa kubwa wala wizi wa rasilimali havikuwepo kiasi kama chasasa) ili kupata huduma,kwani ina maana kama hawataweza kuhonga,basi hawatakuwa na haki za kimsingi.Hilo lina maana kuwa mwenye uwezo wa kuhonga,ndo mwenye kupewa haki,iwe mahakamani,kwenye huduma muhimu za kijamii,pengine kwenye upatikanaji wa rasilimali kama vile viwanja,nyumba nk.Lakini kuuza nchi kunalofanywa na watawala wa sasa ilikuwa bado!
Nyakati zile,hayo yalimake sense,yani kuishia tu kusema kuwa "rushwa ni adui wa haki"
Kumbuka pia kwamba nyakati zile,kulikuwepo na masikini wengi zaidi kuliko sasa(hapa ni relative to the total population),kwasababu pia inawezekana kuwa masikini wa sasa,ni wengi zaidi kuliko masikini wa kipindi kile(again relative to the total population).
Sasa hapa ndiyo maana statement yako kuhusu "internal development communty",msisitizo upo hapo kwamba suala la rushwa/ufisadi,limeanza kuchukuliwa kama "a development issue & development imperative" kama ulivyoainisha kwenye paragraph yako ya pili.
Nilivyosema kwenye statement ya bandiko langu uliloli quote,nimegunduwa kuwa hatukupishana kwenye hoja hiyo.Na ndiyo maana nika kumention ili uje hapa.Nilimwomba mleta mada aweke wazi kama aliku quote in what context.Lakini kufika kwako,umenisaidia kujuwa context nzima ya bandiko lako.
Pia kwenye issue ya "things right vs right things",ninakubaliana na wewe kwa kiasi flani pale uliposema kwamba dhana zote hufanya vyema kama zikitumiwa zote kwa pamoja.Lakini ndiyo maana nikamwuliza mleta hoja kwamba,je anatumia hizo dhana kwa muktadha gani wa chama cha kisiasa?ili again niweze kupata context pamoja na hoja ya kujadili.
Naona ametoa mapendekezo kwamba anaufunga mjadala huu,na wakati ukweli ni kwamba tulikuwa tukiwasubiri nyie ambao amewa quote ili tuwekane sawa kama nilivyomweleza ndugu Nguruvi3 pamoja na Mzee Mwanakijiji.
Nashukuru sana kwa bandiko lako hili pamoja na response yako.Nategemea tutaendelea kujadiliana na kuelimishana pale inapowezekana.Kiukweli napenda mijadala iende hivi,yani hoja kwa hoja,na kukubaliana pale tunapokubaliana,pia kukubaliana pale tusipokubaliana.
Ni kweli rushwa ni adui wa haki.Ila jambo moja nalotaka kuweka msisitizo hapa,ni kwamba hilo neno,lilikuwa more relevant nyakati zile za mwalimu kuliko sasa.Yes ni adui wa haki,lakini it is more than that,na ndiyo maana sikushangazwa rushwa kuitwa ufisadi,kwasababu it is beyond that.
Nasema hivyo kwasababu madhara ya rushwa nyakati za mwalimu,siyo sawa kabisa na madhara haya tunayoyaona sasa,na nyakati za mwalimu hatukuwa na kina Lowassa wala Rostam Aziz just to name the few.
Rushwa kuwa adui wa haki,nyakati hizo,walengwa walikuwa ni wananchi masikini wasioweza kuhonga(rushwa kubwa wala wizi wa rasilimali havikuwepo kiasi kama chasasa) ili kupata huduma,kwani ina maana kama hawataweza kuhonga,basi hawatakuwa na haki za kimsingi.Hilo lina maana kuwa mwenye uwezo wa kuhonga,ndo mwenye kupewa haki,iwe mahakamani,kwenye huduma muhimu za kijamii,pengine kwenye upatikanaji wa rasilimali kama vile viwanja,nyumba nk.Lakini kuuza nchi kunalofanywa na watawala wa sasa ilikuwa bado!
Nyakati zile,hayo yalimake sense,yani kuishia tu kusema kuwa "rushwa ni adui wa haki"
Kumbuka pia kwamba nyakati zile,kulikuwepo na masikini wengi zaidi kuliko sasa(hapa ni relative to the total population),kwasababu pia inawezekana kuwa masikini wa sasa,ni wengi zaidi kuliko masikini wa kipindi kile(again relative to the total population).
Sasa hapa ndiyo maana statement yako kuhusu "internal development communty",msisitizo upo hapo kwamba suala la rushwa/ufisadi,limeanza kuchukuliwa kama "a development issue & development imperative" kama ulivyoainisha kwenye paragraph yako ya pili.
Nilivyosema kwenye statement ya bandiko langu uliloli quote,nimegunduwa kuwa hatukupishana kwenye hoja hiyo.Na ndiyo maana nika kumention ili uje hapa.Nilimwomba mleta mada aweke wazi kama aliku quote in what context.Lakini kufika kwako,umenisaidia kujuwa context nzima ya bandiko lako.
Pia kwenye issue ya "things right vs right things",ninakubaliana na wewe kwa kiasi flani pale uliposema kwamba dhana zote hufanya vyema kama zikitumiwa zote kwa pamoja.Lakini ndiyo maana nikamwuliza mleta hoja kwamba,je anatumia hizo dhana kwa muktadha gani wa chama cha kisiasa?ili again niweze kupata context pamoja na hoja ya kujadili.
Naona ametoa mapendekezo kwamba anaufunga mjadala huu,na wakati ukweli ni kwamba tulikuwa tukiwasubiri nyie ambao amewa quote ili tuwekane sawa kama nilivyomweleza ndugu Nguruvi3 pamoja na Mzee Mwanakijiji.
Nashukuru sana kwa bandiko lako hili pamoja na response yako.Nategemea tutaendelea kujadiliana na kuelimishana pale inapowezekana.Kiukweli napenda mijadala iende hivi,yani hoja kwa hoja,na kukubaliana pale tunapokubaliana,pia kukubaliana pale tusipokubaliana.
Last edited by a moderator:
Closed Topic