Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Kwa upande mmoja, iwapo Lowassa atateuliwa kuwa mgombea, Chama kitameguka kupitia watu kama kina Sitta, Membe, Mwakyembe, Nape, Mwandosya, Salma Kikwete, Ridhiwani, Mengi na wafuasi wao mbalimbali ambao watahamishia nguvu zao kwa chama kingine cha upinzani.

Kwa upande mwingine, iwapo Jina la Lowassa litakatwa na sekretarieti ya Kamati Kuu ya CCM katika hatua za awali, Chama kitameguka kupitia ushawishi wake mkubwa kwenye NEC, UWT, UVCCM, "Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa", na marafiki zake nchi nzima wenye mafanikio kibiashara ambao ndio wafadhili wakubwa wa CCM katika maeneo yao.

Maswali muhimu yanayofuatia ni je:

a) Mpasuko upi ni nafuu kwa CCM? Kwanini/kivipi?
b) Mpasuko upi ni kheri kwa Chadema? Kwanini/kivipi?
 
Salma na Rizw wake zama zao zitakuwa zimeisha,wataenda mapumziko!siasa zao za msimu zimeishia hapo,tuangalie hao wengine nguvu zao za kumegua chama...6,Membe,Mwakyembe,Nape.....Kinana JK na Makamu wake wako upande upi!?na wale wa Zbar wako pande ipi?wale hawataki urais wa Muungano?basi Rais ni Shein!
 
Hayatuhusu kivyovyote vile ni advantage kwa cdm,najiuliza tu kwann lowassa anauhitaji Uraisi kwa ngivu nyingi sana,kwani ikulu kuna biashara gani?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwa upande mmoja, iwapo Lowassa atateuliwa kuwa mgombea, Chama kitameguka kupitia watu kama kina Sitta, Membe, Mwakyembe, Nape, Mwandosya, Salma Kikwete, Ridhiwani, Mengi na wafuasi wao mbalimbali ambao watahamishia nguvu zao kwa chama kingine cha upinzani.

Kwa upande mwingine, iwapo Jina la Lowassa litakatwa na sekretarieti ya Kamati Kuu ya CCM katika hatua za awali, Chama kitameguka kupitia ushawishi wake mkubwa kwenye NEC, UWT, UVCCM, "Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa", na marafiki zake nchi nzima wenye mafanikio kibiashara ambao ndio wafadhili wakubwa wa CCM katika maeneo yao.

Maswali muhimu yanayofuatia ni je:

a) Mpasuko upi ni nafuu kwa CCM? Kwanini/kivipi?
b) Mpasuko upi ni kheri kwa Chadema? Kwanini/kivipi?

Hapo kwenye RED:
Mada yako inaweza ikawa na malengo mazuri lakini hoja zake ni KAPUT na kama sivyo hivyo basi zitakuwa ni hoja za KIUDAKU na ama siyo za kiudaku basi wewe utakuwa ni Lowassa au mtu aliye karibu sana na Lowassa.

Utajenga vipi hoja kwa jambo ambalo halipo?. Kwani Lowassa katangaza kuwa atagombea na zaidi kabisa, hujasema kile atakacho gombea.
 
Cc CHADEMA tusi angali lowassa wa nape wa sitta cc tusonge mbele Mungu yuu pamoja nac 2015 nchi ni ya CHADEMA watazunguka lakini ukweli upo pale pale
 
Hapo kwenye RED:
Mada yako inaweza ikawa na malengo mazuri lakini hoja zake ni KAPUT na kama sivyo hivyo basi zitakuwa ni hoja za KIUDAKU na ama siyo za kiudaku basi wewe utakuwa ni Lowassa au mtu aliye karibu sana na Lowassa.

Utajenga vipi hoja kwa jambo ambalo halipo?. Kwani Lowassa katangaza kuwa atagombea na zaidi kabisa, hujasema kile atakacho gombea.

wewe ndiyo huyaelewi mambo. wewe tulia, wanaojua vitu wanafikiria mbali. kutokujua siyo kosa.
 
Ukweli ni kuwa CCM ina dalili zote za kuelekea kwenye kifo. maradhi yanayowasumbua yapo ndani yake.lakini kwa ujinga wao CCM wanahangaika na CDM kana kwamba CDM ndio watakaoiua CCM. Hivi mgawanyiko huo uliopo CCM kama wanashindwa kuushughulikia kwanini wanahangaika na CDM?

Kifo cha CCM hakiepukiki kwa sababu kuu mbili:
Moja, wananchi hawakiungi mkono kwa asilimia kubwa na hasa vijana.
pili, wana mgawanyiko mkubwa ndani mwake, tena unasababishwa na makundi yenye nguvu. Makundi hayo yakianza vita CCM haiwezi kubaki.

CCM wamejisahaulisha matatizo yao wakijaribu kuwaaminisha wanaCCM kuwa maadui wao ni CDM. Hilo nalo ni tatizo kwa sababu mgonjwa aneumwa malaria ukimtibu kwa dawa za tumbo, hayo siyo matibabu hata kidogo.
 
attachment.php
HHaya ni mambo ya wanarizombe jana.Ina maana watu hawaogopi milipuko tena watatishwa na nini sasa??????????????
 
Hii mbona simple, mpasuko wa kumtimua Lowassa una nafuu kubwa sana..! At least it will provide a room for good leader to excel..! Take it from me, wakimpa Fisadi nafasi hii CDM tunachukua nchi kiulaiiiniiiii
 
Kwa upande mmoja, iwapo Lowassa atateuliwa kuwa mgombea, Chama kitameguka kupitia watu kama kina Sitta, Membe, Mwakyembe, Nape, Mwandosya, Salma Kikwete, Ridhiwani, Mengi na wafuasi wao mbalimbali ambao watahamishia nguvu zao kwa chama kingine cha upinzani.

Kwa upande mwingine, iwapo Jina la Lowassa litakatwa na sekretarieti ya Kamati Kuu ya CCM katika hatua za awali, Chama kitameguka kupitia ushawishi wake mkubwa kwenye NEC, UWT, UVCCM, "Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa", na marafiki zake nchi nzima wenye mafanikio kibiashara ambao ndio wafadhili wakubwa wa CCM katika maeneo yao.

Maswali muhimu yanayofuatia ni je:

a) Mpasuko upi ni nafuu kwa CCM? Kwanini/kivipi?
b) Mpasuko upi ni kheri kwa Chadema? Kwanini/kivipi?

Duuu hoja yako hii ni kubwa sana, nahisi JF ingekuwa inajaza server yao hoja kama hizi na sio hoja za kipuuzipuuzi!
Ngoja kwanza Pasco aje atoe neno hapa nami nijifunze kwake!
 
Last edited by a moderator:
ccm yote imeoza , sisi cdm hatujali lolote , awe fisadi papa au fisadi dagaa 2015 hamtoki .
 
Ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa taifa letu, mtu ambaye anasaka urais kwa nguvu ya pesa? Mwogopeni sana huyo ni kama ukoma...Uhusika wake katika Richmond na alivyofaidika hajatueleza watanzania ukweli. Ripoti ya Mwakyembe iliweka mambo yote wazi. Ni fisadi na anadhaminiwa na mafisadi.
Angalia siasa zake zilivyo, ni kupita makanisani na misikitini kutafuta utakaso na utakaso huo anaununua kwa mamilioni ya pesa. Uliona wapi mtu anakwenda kuzima moto kwenye nyumba ya Jirani wakati yake nayo inaungua? Huwezi kuchangia mabilioni ya pesa majimbo mengine wakati lako halina chochote. Ananunua tu wapiga kura ili apite. Ni mshauri tu kwamba "c
harity begins at home".
Ipo siku fisadi ataiongoza nchi, tunasubiria ccm wafanye makosa katika teuzi zao, harafu sie cdm tuwapige gori la kisigino. There's a line that you cannot cross. Huo ndio ujembe wa watanzania wazalendo.
 
sidhani kama Lowasa ana nguvu ya kukimegua ccm badala yake akikatwa kitawapa nguvu ya kusema hawataki mafisadi ccm ni zaidi ya lowasa na hayo makundi mengine ila tu imefika hapo kutokana na udhaifu wa mwenyekiti wake
 
lowasa ndio mgombea urais 15 kwani ana nguvu ya ushawish ndani na njee kuliko yeyote na ukiangalia kwa umakini unaona yeye ni kama champion na hawa wengine ni challenger tu
 
Humu kuna wajuvi wa mambo na mahayawani......kama wewe sio hayawani nionyeshe ni wapi Lowassa kasema anagombea urais 2015?
 
Back
Top Bottom