Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,047
RaiaMbishi,Kwa upande mmoja, iwapo Lowassa atateuliwa kuwa mgombea, Chama kitameguka kupitia watu kama kina Sitta, Membe, Mwakyembe, Nape, Mwandosya, Salma Kikwete, Ridhiwani, Mengi na wafuasi wao mbalimbali ambao watahamishia nguvu zao kwa chama kingine cha upinzani.....
Kwenye italic nyekundu umekosea Big Time! Nakupa dondoo ndogo tu hapa chini kwa snap shot za tweet za Mengi ukishindwa kuelewa muulize Pasco wa JF
Last edited by a moderator: