Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,944
Ni kweli kabisa , hakuna fisadi kama Dr Slaa.Kumuweka muadilifu na Fisadi katika mashindano sijui itakuaje
Ruzuku zinajieleza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa , hakuna fisadi kama Dr Slaa.Kumuweka muadilifu na Fisadi katika mashindano sijui itakuaje
okey mkuu lowasa ni mwadilifu sana.
uasi wake ulipelekwa mahakamani huyu padre mkuu?Ndio ni muadilifu.Hana historia ya kushtakiwa kwa mahakamani hata mara moja kwa kutumia vibaya madaraka yake. Wala hana tuhuma za ubadhirifu zilizodhibitishwa popote pale zaidi ya porojo za mitaani. Ni dhahiri kuwa kumlinganisha padri muasi na Mtu wa watu Lowassa ni sawa na kulinganisha Mlima Kilimanjaro na kichuguu.
Hakunah,.. morani haikubali. Hakuna shangiki nakua laigwenan!asha rose migiro