Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Hayo ya Richmond usituletee hapa, kwani mahakama za Kimataifa na za Tanzania zimeshamuwa na kumaliza kuwa Dowans walidhulumiwa na walipwe. Nini zaidi?
.....du! Unanikumbusha Zitto.
 
We ungejua kuwa M4C ni project inayofadhiliwa na huyu bwana, wala ucngejisumbua hata kuwaza hicho ulichopost. Ndo maana imeibuka wakati huu wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM na itapamba zaidi kuanzia Mwezi Octoba hadi Uchaguzi Mkuu wa CCM utakapomalizika. Cc wajanja tunajua ndo maana hiyo M4C haitusumbui.

Achana na M4C, mimi nataka kujuwa ni nani ndani ya chadema ana ubavu wa kusimama na Lowassa kwenye ulingo wa kinyang'anyiro cha Urais 2015.

M4C si kama Sangara tu, hata Zitto anaikacha hiyo.
 
Siasa za nchi changa.

Ever revolving around some cult of personality, seldom around policies.

Indeed Kiranga and some shrewd guys make calculations and announcements with intention of preparing speeches to jubilate the fulfilment of their self prophesy because the rest of would believe and follow what they have been telling us is true.
 
Last edited by a moderator:
Huyo shekhe atazidiwa kura na Dovutwa yahmi nassoro wa UPDP Aliyejizolea kura 13,176 sawa na 0.15% tanzania nzima 2010. mia
 
Achana na M4C, mimi nataka kujuwa ni nanai ndani ya chadema ana ubavu wa kusimama na Lowassa kwenye ulingo wa kinyang'anyiro cha Urais 2015.

M4C si kama Sangara tu, hata Zitto anaikacha hiyo.

Kwani wewe hujui kuwa CDM ni makuwadi wa Lowasa na M4C ni mkakati unaofadhiliwa na yeye
 
Hata mmlete mungu kwa tiketi ya CCM HATUMCHAGUI R.I.P MAGAMBA
 
Tundu Lissu kwa mtazamo wangu, ndiye mtu pekee kutokea Chadema mwenye uwezo wa kumnyima usingizi mgombea yoyote wa CCM 2015, iwe Lowassa, Sitta, Membe na hao wengine wanaotajwa tajwa; Hata mimi binafsi, akisimamishwa mgombea wa CCM wa ovyo ovyo dhidi ya Lissu, kura yangu itaenda kwa Chadema (Lissu);
 
mm KIBOKO MSHELI nasema hivi Lowasa ni mwizi na fisadi namba moja Tanzania hafai kuwa raisi!
 
Tuliza mshono, mda ukifika utaona kwa vitendo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tundu Lissu kwa mtazamo wangu, ndiye mtu pekee kutokea Chadema mwenye uwezo wa kumnyima usingizi mgombea yoyote wa CCM 2015, iwe Lowassa, Sitta, Membe na hao wengine wanaotajwa tajwa; Hata mimi binafsi, akisimamishwa mgombea wa CCM wa ovyo ovyo dhidi ya Lissu, kura yangu itaenda kwa Chadema (Lissu);

Huyu nilimsahau, huyu si mwanasiasa, hana haiba na mvuto wa kisiasa hata lugha ya kisiasa hana. Huyu hawezi kabisa akavaana na Lowassa. Huyu abaki kuwa wakili atapoukosa Ubunge, afadhali ungesema Mabere Marando.
 
Zomba,
Laiti ungelijua ya Lowassa wala usingemtia maji ukamtamani kiasi hiki..Pamoja na silaha kubwa mlizokuwa nazo dhidi ya Chadema na mnaendelea kuzitumia sana lakini siku mkimchagua Lowassa kuwa mgombea basi mmetupa sisi kila sababu ya Ushindi maana tutawamaliza...
Na Ishaallah mwenyezi Mungu atujalie Uzima huyu mtu achaguliwe tukiwa hai bado. kushuhudia jinsi mtakavyo sambaratika ndani ya CCM yenyewe halafu Chadema itapita kiulainiii kama kumsukuma Mlevi..
 
Back
Top Bottom