Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Mkikosa hoja mnaanza viroja.
Unapenda sana kutumia hii kauli; naomba nikuulize, je wewe ni:

-Mwana CCM wa Ikulu?
-Mwana CCM wa Lumumba?
-Mwana CCM nje ya taasisi hizi mbili, lakini una wenzako NEC mnajipanga kwenda Ikulu?


Kujua haya itatusaidia sana wengi wetu humu kubaini namna ya kujipanga kukujibu aidha Kihoja au Kiviroja.
 
Nadhani sasa tuache kuwalaumu watanzania kwa kuchagua WATU badala ya MASUALA yanayosimamiwa na WATU (wagombea) katika chaguzi zetu kuu kwani hata kwenye majukwaa kama haya yenye WATU wenye upeo mkubwa kabisa uli tofauti na wenzetu wa vijijini ambao kwa bahati mbaya hawakujaliwa elimu na exposure, hata sisi humu tunajazana kwenye Mada zinazojadili WATU, na kuzikimbia mada zinazojadili MASUALA ambayo yatakuwa muhimu kuja kusimamiwa na WATU (wagombea) 2015; Tubadilike Wenzangu;
 
Unapenda sana kutumia hii kauli; naomba nikuulize, je wewe ni:

-Mwana CCM wa Ikulu?
-Mwana CCM wa Lumumba?
-Mwana CCM nje ya taasisi hizi mbili, lakini una wenzako NEC mnajipanga kwenda Ikulu?


Kujua haya itatusaidia sana wengi wetu humu kubaini namna ya kujipanga kukujibu aidha Kihoja au Kiviroja.

Nani aliyekwambia mimi ni mwana CCM?
 
Nadhani sasa tuache kuwalaumu watanzania kwa kuchagua WATU badala ya MASUALA yanayosimamiwa na WATU (wagombea) katika chaguzi zetu kuu kwani hata kwenye majukwaa kama haya yenye WATU wenye upeo mkubwa kabisa uli tofauti na wenzetu wa vijijini ambao kwa bahati mbaya hawakujaliwa elimu na exposure, hata sisi humu tunajazana kwenye Mada zinazojadili WATU, na kuzikimbia mada zinazojadili MASUALA ambayo yatakuwa muhimu kuja kusimamiwa na WATU (wagombea) 2015; Tubadilike Wenzangu;

Ungejuwa kuwa 90% au zaidi ya wasomi wote wanatokea vijijini usingeyasema hayo.
 
Ungejuwa kuwa 90% au zaidi ya wasomi wote wanatokea vijijini usingeyasema hayo.
Hakuna anayebisha kuhusu "WANATOKEA", kilicho relevant katika discussion yangu ni Wanaoishi kule kama wapiga kura; Vinginevyo KUTOKEA sehemu sio kigezo, kwani wapo watu ambao wanajua wametokea kwenye matumbo ya mama zao lakini hawana heshima kwa wanawake, wengine hata mama zao wazazi;
 
Nadhani sasa tuache kuwalaumu watanzania kwa kuchagua WATU badala ya MASUALA yanayosimamiwa na WATU (wagombea) katika chaguzi zetu kuu kwani hata kwenye majukwaa kama haya yenye WATU wenye upeo mkubwa kabisa uli tofauti na wenzetu wa vijijini ambao kwa bahati mbaya hawakujaliwa elimu na exposure, hata sisi humu tunajazana kwenye Mada zinazojadili WATU, na kuzikimbia mada zinazojadili MASUALA ambayo yatakuwa muhimu kuja kusimamiwa na WATU (wagombea) 2015; Tubadilike Wenzangu;

Utasemaje hivyo wakati kina Kiranga wameonyesha udhaifu wa siasa za kujadili watu badala ya itikadi kitambo tu?

Utasemaje hivyo wakati watu tushaongea humu kwamba the very label "Ujamaa na Kujitegemea" carries within itself an inherent oxymoronic contradiction if at all you value the individual as the well and litmus test of ideologies?
 
Kumuweza kwa lipi, mvi au safari za kuingia misikitini na kanisani?
zomba una kazi sana ndugu yangu. Hivi una hakika gani atakuwa hai huyo unapokaribia mwaka 2015?

Kwa hali ya kupenda kula ilivyo juu ndani ya CCM sina hakika kama tutafika salama. Wengi wenye akili finyu nchi hii wanadhani upinzani utaleta fujo na vita lkn amini nakuambia, fujo na vita tutavishuhudia kwenye kura ya maoni ya kumpata mgombea wa kushindwa na mgombea wa CDM kwenye GE.

Lowasa anagawa fedha kila sehemu, yupo makanisani na misikitini (km anavyoonekana pichani) hiyo si kwa ajili ya kampeni za urais bali ni kwa ajili ya kampeni za kura ya maoni.

Kama juzi hapa Bashe na mwenzake sijui nani walishikiana bastola kwa uchaguzi wa tawi, umeshajiuliza itakuwa vipi kura ya maoni ya urais?


Nikukumbushe kuwa CCM ina vijana wa fujo na mauaji kwa jina la Green Guards na kila mkoa una wa kwake na kwa kawaida ya CCM anayetoa pesa ndio hufanyiwa kazi yake, you just wait and see namna mtakavyouana kugombea nafasi ya kushindwa na CDM
 
Last edited by a moderator:
Maana ya Sheikh ni Mzee, sasa Lowassa siyo Mzee?

Hawa wasiosadifika na kusarifika hawawezi kujua maana ya Sheikh.....
zomba hapa jamvini uko peke yako....lakini jinsi unavyowapelekesha mpaka wanatia huruma...
Kama kungekuwa na zomba wa tano hapa jamvini sijui ingekuwaje?? ....labda Jf ingefungwa
 
Last edited by a moderator:
Hawa wasiosadifika na kusarifika hawawezi kujua maana ya Sheikh.....
zomba hapa jamvini uko peke yako....lakini jinsi unavyowapelekesha mpaka wanatia huruma...
Kama kungekuwa na zomba wa tano hapa jamvini sijui ingekuwaje?? ....labda Jf ingefungwa

Karibu kibarazani yakhe. . .
ImageUploadedByJamiiForums1347565980.808859.jpg
 
Last edited by a moderator:
Shida ya nini kuwa kibaraka wa chama unachokionea aibu kwa jinsi kilivyooza?

Well then, sio CCM kumbe ni nani, mkewe CUF?

Mimi ni mlezi wa CCM, wana ni walioikuta, mimi imenikuta, nimeanzia TANU Youth League na halaiki nimecheza!
 
Inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya Chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.
lowassa-important.JPG


Nashindwa kupata jibu ni mwana siasa yupi ndani ya chadema ambae atasimama haswa na kuwakinaisha Watanzania wamchaguwe badala ya Lowassa iwapo ataamuwa kugombea kiti cha Urais Tanzania?


Maana najuwa Mbowe hana hamu tena baada ya kugaragazwa vibaya sana na Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2005.

Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa Mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.

Nilidhani Zitto ataweza kwa kuwa ni damu changa lakini napata mashaka kuwa siasa za ukanda za chadema zitampa fursa ya kugombea, dalili zote zinaonesha chadema wa kanda ya kaskazini hawamtaki kabisa. Kwa hiyo huyu nnamtoa kwenye kinyan'ganyiro.

Shibuda hata akipitishwa kugombea akiambiwa Lowassa anagombea atakataa kuchuana nae.

Ka Mnyika, haka bado sana, hata ubungo inamshinda na sijui kama atashinda tena hata akigombea Ubunge huko. Kwishnei.

Halima Mdee, huyu hana ubavu, huyu akisikia Lowassa anagombea labda ajitafutie umaarufu tu - kwa hiyo huyu nje.

Nani mwingine?

Natamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu Lowassa atawaonea tu.

CCM inatisha.

nna mashaka kuwa mtoa hoja ana ajenda ya siri,siamini kuwa anampenda Lowassa kwa kiwango hicho bali amemuweka hapo akiwa na kanzu ili wana JF wamchafue zaidi na kuwanufaisha wapinzani wake ndani ya CCM, kwa uchafu aliopakwa FL kumsimamisha adhalani na kumlinganisha na mtu kama Slaaa ambaye ata CCM wameshalaumiana na kujutia kumfanyia fitina zilizosababisha ajiondoe ni propaganda tu.
 
Hawa wasiosadifika na kusarifika hawawezi kujua maana ya Sheikh.....
zomba hapa jamvini uko peke yako....lakini jinsi unavyowapelekesha mpaka wanatia huruma...
Kama kungekuwa na zomba wa tano hapa jamvini sijui ingekuwaje?? ....labda Jf ingefungwa

Wacha niwape darsa. Nikiwa sipo wanani miss ile mbaya. Huwa wanantafuta.
 
nna mashaka kuwa mtoa hoja ana ajenda ya siri,siamini kuwa anampenda Lowassa kwa kiwango hicho bali amemuweka hapo akiwa na kanzu ili wana JF wamchafue zaidi na kuwanufaisha wapinzani wake ndani ya CCM, kwa uchafu aliopakwa FL kumsimamisha adhalani na kumlinganisha na mtu kama Slaaa ambaye ata CCM wameshalaumiana na kujutia kumfanyia fitina zilizosababisha ajiondoe ni propaganda tu.

Kanzu vazi la heshima, hata Mbowe huwa anatinga nalo bungeni, unabisha?
 
inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya tanzania.
lowassa-important.jpg


nashindwa kupata jibu ni mwana siasa yupi ndani ya chadema ambae atasimama haswa na kuwakinaisha watanzania wamchaguwe badala ya lowassa iwapo ataamuwa kugombea kiti cha urais tanzania?


Maana najuwa mbowe hana hamu tena baada ya kugaragazwa vibaya sana na jakaya mrisho kikwete mwaka 2005.

Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.

Nilidhani zitto ataweza kwa kuwa ni damu changa lakini napata mashaka kuwa siasa za ukanda za chadema zitampa fursa ya kugombea, dalili zote zinaonesha chadema wa kanda ya kaskazini hawamtaki kabisa. Kwa hiyo huyu nnamtoa kwenye kinyan'ganyiro.

Shibuda hata akipitishwa kugombea akiambiwa lowassa anagombea atakataa kuchuana nae.

Ka mnyika, haka bado sana, hata ubungo inamshinda na sijui kama atashinda tena hata akigombea ubunge huko. Kwishnei.

Halima mdee, huyu hana ubavu, huyu akisikia lowassa anagombea labda ajitafutie umaarufu tu - kwa hiyo huyu nje.

Nani mwingine?

Natamani lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu lowassa atawaonea tu.

Ccm inatisha.

sheikh nyerere, sheikh mwinyi, sheikh kikwete and now sheikh lowasa.
aah! I dont think muslims will repeat the mistake again. Even julius kambarage nyerere used to wear the same.
 
Back
Top Bottom