Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Unaonaje ukiumpa urais kwenye familia yako safii,wtz hatutaki hata kumsikia licha kumuona.
 
Tagombea kwa chama gani? Bakwata au? sidhani kama kuna chama kingine ambacho kinatambua wanachama wake kwa u-sheikh, Mufti n,k zaidi ya Bakwata na CUF, kwa sasa hivi CUF hakina nguvu tena baada ya harusi yao huko Zenji kufana mno, labda Bakwata kwa sasa hivi kinajitahidi kufanya vizuri dhidi ya mpinzani wao Sheikh Ponda.
 
sheikh nyerere, sheikh mwinyi, sheikh kikwete and now sheikh lowasa.
aah! I dont think muslims will repeat the mistake again. Even julius kambarage nyerere used to wear the same.

pp34.jpg

Source: http://3.bp.blogspot.com/-Twa4q22WRBw/TleHuKMAzQI/AAAAAAABtfE/ZZXWw5xPn6Q/s640/pp34.jpg
 
Hivi sikuhizi jina la shekh limekosa thamani kiasi hicho,mpaka wezi kama el na yeye anaitwa shekh.kweli kazi ipo tz.
 
Inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya Chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.


Nashindwa kupata jibu ni mwana siasa yupi ndani ya chadema ambae atasimama haswa na kuwakinaisha Watanzania wamchaguwe badala ya Lowassa iwapo ataamuwa kugombea kiti cha Urais Tanzania?


Maana najuwa Mbowe hana hamu tena baada ya kugaragazwa vibaya sana na Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2005.

Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa Mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.

Nilidhani Zitto ataweza kwa kuwa ni damu changa lakini napata mashaka kuwa siasa za ukanda za chadema zitampa fursa ya kugombea, dalili zote zinaonesha chadema wa kanda ya kaskazini hawamtaki kabisa. Kwa hiyo huyu nnamtoa kwenye kinyan'ganyiro.

Shibuda hata akipitishwa kugombea akiambiwa Lowassa anagombea atakataa kuchuana nae.

Ka Mnyika, haka bado sana, hata ubungo inamshinda na sijui kama atashinda tena hata akigombea Ubunge huko. Kwishnei.

Halima Mdee, huyu hana ubavu, huyu akisikia Lowassa anagombea labda ajitafutie umaarufu tu - kwa hiyo huyu nje.

Nani mwingine?

Natamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu Lowassa atawaonea tu.

CCM inatisha.

Just because you cannot do it, does not mean no one else can. Mlishindwa siku 90 sasa unafikiri kila mtu ni crying wolf!
 
Inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya Chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.
Natamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu Lowassa atawaonea tu.
zomba, nafikiri ni swala la kuteleza tu...ulilotaka hasa kuliandika ni haya;
Zomba said:
Inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya CCM kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.


lowassa-important.JPG

Ninatamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau CCM waanze kuvurugana...
 
Last edited by a moderator:
akili ya zomba ni ndogo huyu tunamweka katika lile kundi la watu wa AKILI NDOGO ambalo hujadili watu na matukio.

1.mchakato wa campaign za uchaguzi unaenda sambamba na ilani ya uchaguzi na sera za chama siyo sura ya mtu mmoja
chama kinaweza kuanguka katika uchaguzi kikikosa ILANI na SERA nzuri

2.EL anaweza kuwa anakuvutia kwa sura yake, lakini je?? chama chake kina ILANI naSERA zinazowashawishi wananchi??ili ashinde uchaguzi????

3. huyu jamaa unadhani anafaa kuwa raisi kwa lipi la maana atakalotufanyia Watz. huyu si ni! mwasisi wa mtandao unaolitesa taifa kwa upuuzi wao. walimtanguliza ikulu jamaa yao DHAIFU ili wapate nafasi ya kupiga dubious deals.kwa kuwa ulikuwa ni mpango harumu dhidi ya watanzania wanyonge MUNGU akausambaratisha

4. Lowasa ni hopless kabisa wakati wa uchaguzi wa arumeru alifanikisha mgombea wake apite ndani ya chama chake kwa rushwa. kwa wazalendo hii ni NO ONE DISQUALIFICATION na alikuwa ana act against TAKUKURU kwa kulikisha information za utendaji wa TAKUKURU dhidi wagombea wanaotumia rushwa, ni aibu kwa waziri mkuu mstaafu (mfukuzwa)kuhujumu taasisi za serikari aliyokuwa akiitumikia alafu eti unataka uraisi, hivi mnadhani sis watz wajinga kiihvo

3. huyu jamaa namshauri hasithubutu hata kuchukua fomu ya kugombea ndani ya chama chake anajisumbua siasa zimeisha mkataa na akiendelea kuutamani uraisi kwa kumwaga vipesa vyake na mikakati yake haramu kama ya wakati ule hakika tutamshughulikia ipasavyo, uongozi haununuliwi, kwa faida gani na ya nani. kiongozi anaombwa au anpendekezwa. alafu kiongozi mzuri hawezi kutumia fedha na kuwahujumu wenzake ili apate madaraka
 
quote_icon.png
By Mag3

zomba, nakuunga mkono, sioni ni nani chadema mwenye ubavu wa kusimama na Lowassa ikiwa atagombea.

Ahsante sana kwa kuwa na muono huo, waambie!
 
Ww zoba mbona unajinyea na pombe hii acha pombe ya namna hii
 
Enzi za Lowassa zimekwisha. Ccm wameshammaliza kabisa na hana tena ndoto za kugombea urais ccm. Labda aende ADC. Kiukweli ccm wameshammaliza
 
Back
Top Bottom