Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
- Thread starter
- #21
Akisaidiwa na Mburushi RABora kipindi Mkapa yupo alikuwa anakemea kidogo, amebaki JK dalali wa rasimali za nchi na mchuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akisaidiwa na Mburushi RABora kipindi Mkapa yupo alikuwa anakemea kidogo, amebaki JK dalali wa rasimali za nchi na mchuuzi
Ila nadhani Una mtindio wa ubongo. Hakuna mwenye akili timamu asiyeiona rushwa kwenye chaguzi za CCM. Hata Sasa wanaojipitisha toka CCM wanagawa hela bila aibu Kwa wapiga Kura na viongozi ngazi zote. Ni mwehu atakayekanusha hili. Hapo unasubiri Samia aseme kuna rushwa kwenye Uchaguzi ndo na wewe uje ukiri rushwa ipo. Chicken head wanasubiri kauli toka juu.Ungeweka ushahidi badala ya kuandika pumba Kwa sababu una chuki na Samia
Uwe unasoma na kuelewa sio kukurupuka kisengeremaIla nadhani Una mtindio wa ubongo. Hakuna mwenye akili timamu asiyeiona rushwa kwenye chaguzi za CCM. Hata Sasa wanaojipitisha toka CCM wanagawa hela bila aibu Kwa wapiga Kura na viongozi ngazi zote. Ni mwehu atakayekanusha hili. Hapo unasubiri Samia aseme kuna rushwa kwenye Uchaguzi ndo na wewe uje ukiri rushwa ipo. Chicken head wanasubiri kauli toka juu.
Taarifa yangu unayo wewe?Uwe unasoma na kuelewa sio kukurupuka kisengerema
Uchaguzi kwenye Vyama vya upinzani Kuna Rushwa Kwa taarifa yako
UpuuziTaarifa yangu unayo wewe?
Huyu ni hatari haswaAkisaidiwa na Mburushi RA
Kwakweli !! 🙏Duh... !, wewe kumbe ndio huzijui siasa za Bongo!. Mkono mtupu haulambwi!, mwenye kisu kikali ndie anakula nyama!.
P
ok sawa chadema...Wadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.
Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Siku za nyuma ilikuwa mwenye Kisu kikali ndio mla nyama, ila siku hizi wananchi wameamka, unatoa rushwa na kura hupati.Duh... !, wewe kumbe ndio huzijui siasa za Bongo!. Mkono mtupu haulambwi!, mwenye kisu kikali ndie anakula nyama!.
P
kumbe wengi hamuwajui Wabongo!, Tshert, kofia na shibe ya siku 1, inamaliza kila kitu!.Siku za nyuma ilikuwa mwenye Kisu kikali ndio mla nyama, ila siku hizi wananchi wameamka, unatoa rushwa na kura hupati.
Itapendeza sana ikiwa hivyo !!Siku za nyuma ilikuwa mwenye Kisu kikali ndio mla nyama, ila siku hizi wananchi wameamka, unatoa rushwa na kura hupati.
Nani kakwambia ccm wanategemea sanduku la kura?....unachoona kama uchaguzi ni mazingira yakupata ya misaada tuWadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.
Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Huyu ofisi yake imejaarushwa ila huwa anapenda sana kusingizia ofis nyingieneWadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.
Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Serikali ipi ya ccm Ilikuwa safiWadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.
Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Kama tshirts, shibe na kofia ingekuwa zinawabeba ccm, tusingeona wizi wa kura na uhayawani wa wazi. Matumizi ya vyombo vya Dola kusimamia uharamia kwenye chaguzi, kutangaza matokeo yasiyo ya halali huwa inatokana na Nini? Hiyo ya rushwa unazosema ni kweli, lakini kwa sasa Yana matokea hafifu kuliko hujuma nyingine za wazi kabisa.kumbe wengi hamuwajui Wabongo!, Tshert, kofia na shibe ya siku 1, inamaliza kila kitu!.
P
Rushwa ipi ilikuwa wakati wa magufuli? Rushwa haimalizwi kwa kuzuia vyombo vya habari kuwa huru kutangaza habari hizo.Mhe. Rais kwa suala la RUSHWA KIRI wazi kuwa umeshindwa. Mbona wakati wa Hayati Magufuli suala la rushwa ilikuwa kama historia.