Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Duuh mkuu umeuaKuwawekea dhamna England ni sawa na kusubiria treni ya kwenda Zanzibar!!
Sorry Goli kali mpaka nimekosea ni Turkey 0 Croatia 1 ModricLuka Modric mpaka sasa ndio Goal of the tournament Turkey 1 Croatia 0
HahaaaaaaSorry Goli kali mpaka nimekosea ni Turkey 0 Croatia 1 Modric
Russia charged by UEFA following trouble in the UEFA EURO game vs. England Football Team game for:
- Crowd disturbances
- Racist behaviour
- Setting off fireworks
Hahaaa wapumzishe england mkuu ..... uefa huwa hawako sawaMi nashangaa fujo wameanza waingereza faini wanapigwa warussia. Fujo zote walizofanya leo hii wanajifanya victims. Hawa UEFA na media ni majipu tu. Wangekuwa na uwezo wangewapa kombe waende nalo mashwaini hawa. Na wapigwe tu si wanajifanya holigaans
Hahaha tulia wewe WalesHahaaa wapumzishe england mkuu ..... uefa huwa hawako sawa
Nadhani kazi yetu umeiona subiri kichapo tu hamvuki round hiiHahaha tulia wewe Wales
#teamEngland
Ushindi wa kuunga unga ule kama ile elimu ya hapa na pale.Nadhani kazi yetu umeiona subiri kichapo tu hamvuki round hii
Na watapigwa tu licha ya kubebwa.!Mi nashangaa fujo wameanza waingereza faini wanapigwa warussia. Fujo zote walizofanya leo hii wanajifanya victims. Hawa UEFA na media ni majipu tu. Wangekuwa na uwezo wangewapa kombe waende nalo mashwaini hawa. Na wapigwe tu si wanajifanya holigaans