Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

By any means,Costa ni mzuri kwa Aduriz,Nolito na Morata
Morata hata Juve haanzi any more
Umewahi kumuona Costa akicheza Spain ?Kocha anachagua wanaofit kwenye mfumo wake na lazima ukubali baada ya David Villa kustaafu Spain bado hawajapata mrithi wake,Mfumo wa Spain unawapa nafasi viungo kufunga zaidi(Mata,Silva,Fabregas,Alonso) nakumbuka Euro 2012 kuna game walicheza bila pure striker Fabregas akacheza kama false striker na wakawa wanafanya vizuri.
Mfumo wa Spain bora wacheze pungufu kuliko kucheza na Costa
 
ce7141dd71f06e5a8308abd3e4d7adc2.jpg


65f3c618da116521a04d3ff7738e0812.jpg


b316b9c7c3d2f6ba2dc34259071a8046.jpg


4bd4e6e7ee7cf288fe9dd4f67a73b344.jpg


2a5abd0f61d7220c0384b0b1389a95f9.jpg
 
Ireland vs Sweden. Dk 25. Still 0-0
Game mbovu ile mbaya. Mshindi hapa hatapatikana kwa ubora wa timu bali kwa makosa ya wapinzani
 
Mpaka sasa naona Euro inakosa umaliziaji mzuri ... magoli ya kuotea otea tu ... big score 2 goals [emoji35] [emoji35]
 
Buffon ni Makipa wachache ambao wamefanya wakina sie tuliokuwa makipa kupenda kuwa Kipa na sio Striker zamani ukiwa mchezaji mbovu unakuwa kipa mtaani au Striker ndio Hero wangu yy na Mwameja.
 
Back
Top Bottom