PoleWataliano wanapigwa leo
Oyeeeee.Azzuri team,wakongwe ni wakongwe to,soccer oyeeeeeh
Wenger hamuoni ina maana?Huyu beki wa Croatia aliyefunga nywele yupo vizuri aisee. Mipira yote ya juu anapiga kichwa yeye.
Soma juu kabisa kwenye uzi wangu, niliwapa nafasi ya kufanya vyema!!croatia huwa wazuri sana hawa