Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Barca kids wanataka kutuharibia topic Tu, magoli wafunge Morata na Nolito utuambie Barcelona inaongoza. Give us a break from the crap.

Pagan kumbe na wewe upo humu? Sasa nyie mnae mmoja tu...tena difence Ramos😀😀 kazi yake kubwa ni kulinda lango la Barca wasifungwe..
 
hahhahahaha,alikwenda lini?kesho ngoja tuone kama atadhihirisha ubora wake,au kule Real anashine kwa sababu kazungukwa na ma star tu

😀😀😀 Tuone kesho atafanya nini...maana Messi kishatupia ma3 ndani ya dkk 30 na alikuwa sub, kati ya Bolivia na Argentina
 
Peleka boring opinions zako Kule kwenye special thread yenu. Huu Uzi Ni wa Mussolin5 kuhusu Uefa-Euro16 usitake kuharibu pozi na Messi Ronaldo bullshit. Tuondolee makuzi kabisa hapa.

Wewe pagan acha zako, hii thread inajulikana aliyeianzisha ni nani! lkn why hakukurupuka kutoa speech kali namna ivo? Haya bana nikuache upumzike kila la heri ndugu yngu... tumsubiri kesho huyo jamaa yako akitua from nowhere to parc des princes
 
Back
Top Bottom