Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Katika mashindano haya nimependezwa na golikipa wa Iceland hadi sasa. Muda si mrefu tutamsikia katika ligi kubwa za Ulaya(endapo hayupo huko). Jamaa anaonekana yupo vizuri, positioning yupo poa akipata msasa wa hapa na pale hususani kutotema mipira anaweza kuwa mzuri kuliko kina Simon Mignolet(Liverpool). Anaweza kuwa back-up kipa wa timu kubwa za England kama Liverpool , Man City, Everton ..
 
90Β±minutes #christiano ronald missed a penalty...matokeo #portugal 0 austria 0
 
Samata=Ronaldo si kwa kukosa panalt kule huku taifa zima lamtegemea yeye,ndo shida ya kumtegemea mchezaji mmoja
 
Ronaldo huwa hatakiwi kupiga penalty mara kibao huwa anawauza wenzake, na nilichoona kwa ureno hawana timu tishio, Kila mchezaji anacheza kivyake hawachezi kama timu, hata wakivuka hapa hawafiki mbali hawa
 
England vuvuzela itapigwa km sio raundi ya 2 bsi robo fainali watakua chali miguu juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…