Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kete yangu inaenda kwa aidha Germany, Italy au Croatia.
 
Hii game hii. Croatia own possession so far, lakini Portugal wamekuwa aggressive tangu mwanzo.
 
Modric kawafunika viungo wote wa ureno, hii timu inahitaji kocha mwenye mbinu mpya, maana wana wachezaji wote wazuri Lakini mpira vumbi tupu,
Ronaldo leo anacheza beki 3 naona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…