Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Italy wana vitu flan vichache ambavyo timu nyingi hazina

Uzoefu...!!

Kunawachezaji wamecheza michuano ya Euro zaidi ya mitatu humo ndani, kama Kina Gig Buffon, De Rossi na wengine. Nawashangaa kina Messi wanatangaza kustaafu soka la kimataifa wakiwa wana umri wa miaka 29 tu kwa vijisababu uchwara. Hapa Italy kuna wacheza wako above 36 na wanapiga mzigo kama kawa!!

Na mimi nawaombea wafike mbali tu maana hakuna namna

BACK TANGANYIKA
 
nilitaka kusema Refa tuache njia panda kwa kuwabeba Spain ila yupo Sahihi Pique kamtoa kibeki inavyotakiwa wengi tunaiona kama foul! Good ref! ila Spain watolewe tu ForzaItalia! 2-1
 
Buffon ana miaka 38,na hapo anasema kombe la dunia kama watapenya yupo tayari kushiriki 2018,atakuwa na 40,Huyo Messi hasira tu,na inawezekana huko mbeleni atabadili huo uamuzi
 
Huyu Morata wa italiano wanamjua vizuri,ndo maana katolewa nini?
 
Hawa wakatoliki wamoto aisseee!!!

Degea kapangua jiwe huku anaona nyotanyota, hivi vibabu hatari sana

BACK TANGANYIKA
 
Dakika za majeruhi,hatari kweli kweli in ezekiel malongo voice,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…