Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

uyu #de rossi naye anataka kuwa katili kama #Gattuso infact timu yenye Mbinu bora/kali ndo imeishinda wao wamecheza sisi tu tumefunga...#kati ya Buffon na Kaseja nan ana umri mkubwa zaidi??
Hili ni swali la kichochezi mkuu na unatutaka ubaya tu!!
 
Sasa mkuu mech ijayo vijana wetu wana kutana next

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Wana nipa mawazo sana hapa
Yaani nashindwa kujua siku hiyo niwe upande upi?

Nitakuwa upande wa Italy, nataka nione Buffon kabla hajastafu Italy awe na medali ya uefa euro ukizingatia level ya klabu hajawahi kushinda uefa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…