Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
- #1,701
Buffon miaka 38wachezaji wetu wajifunze mpira ni kujitunza na sio umri #buffon anaokoa michomo ya hatari balaa na bado ananyumbulika mbaya...ila wale mtu tatu wa italia pale nyuma ni shda sijui ndo cementi ya #Nyati...
Barzagli miaka 35
Bonucci miaka 29
Chiellini miaka 31
Jumla miaka 133.
Kwahyo umri sii tatizo hata kidogo.