Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Nilisema wiki 2 zilizopita golikipa wa Iceland ni kati ya wachezaji walionivutia mashindano haya.. Naomba awanyamazishe England leo.
 
Not stumble, ni dive... Steve McManamann anaanza kudai Delle Ali kajikwaa angekuwa mchezaji wa nchi nyingine angesema ni dive...
 
England wakisawazisha watakwenda kushinda.... Hii timu ya Iceland haijui kumiliki mpira
 
Hawa England washazoea Club zao wachezaji wakiengereza wamezumgukwa na Good skillfull players wa Nchi za Nje wanaonekana Good wakija Taifa madudu tu hasa huyu Harry Kane.
 
England wajitahidi bwana warudishe na washinde juu,hii aibu jamani,Mbuyu kuangushwa na sisimizi,
 
England Mafundi wao Nje nao Majipu hii timu ukitizama huoni Players kubadilishana sehemu wanakaa walipopangiwa mpira wa ovyo kabisa. wanaobafilishana ni Kane na Sturidge tena ubavu wa kulia wing na wote sio Striker ambao wanaweza kucheza Wing vizuri.
 
Leo hata Pombe watashindwa Kunywa HT! kwa style hii kama mpaka dk 70 2-1 tujitaarishe Rooney kuwa na Red bora wamsukume mbele waweke Middle!
 
Iceland ni wazuri kuliko USA

Iceland wakishinda leo itabidi England ijiangalie sana...itakuwa inaelekea kubaya sana

USA wangeshamaliza hili game. Ingekuwa USA 4-1 Iceland. Yaani na kelele zenu mnatolewa kamasi na walima barafu, aibu kinoma mkuu.
 
Back
Top Bottom